Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo wimbo umetoka mwaka gani?Huyu ndiye kaimba 'beautiful na Damian Marley? mbona kazeeka ghafla
Kule wenzetu sijajua sababu inayowafanya wanaonekana wazee haraka,muangalie hata Mike Tyson ana miaka 56 lakini anaonekana mzee kama wa maiak 60 au hata Brian Mcnight ana miaka 53 lakini pia inaonekana ni mzee wa 60yrs plus...Huyu ndiye kaimba 'beautiful na Damian Marley? mbona kazeeka ghafla
Ndie aliyemuingiza mkewe kwenye uteja, akafa teja
Huzuni sanaWhitney Houston alikua na sauti kali sana,alikufa kwa drugs kisha akafuata Binti yake pia.
Ndie aliyemuingiza mkewe kwenye uteja, akafa teja
Kabla hakuwaSio kweli wote walikuwa watumiaji!
Whitney ni mtoto wa DC
mkuuNdie aliyemuingiza mkewe kwenye uteja, akafa teja
Bobby was considered a king of RNB.Flashback enzi za kuvunja mabrek dance,
Whitney alianza kutumia madawa kitambo sana.Kabla hakuwa
Siyo wote mwangalie Will Smith ana miaka 54 ila bado anaonekana kijana, mcheki Martin Lawrence mshkaji wa Will Smith kwenye movie za Badboys yule ana miaka 57 ila bado anaonekana mdogoKule wenzetu sijajua sababu inayowafanya wanaonekana wazee haraka,muangalie hata Mike Tyson ana miaka 56 lakini anaonekana mzee kama wa maiak 60 au hata Brian Mcnight ana miaka 53 lakini pia inaonekana ni mzee wa 60yrs plus...
Nawakumbuka NEW EDITION, it used be my favorite group when I was a kid.View attachment 2509009
Moja ya nyimbo zake zilizokonga wahenga ni ‘Two can play that game’.
Enzi hizo Janet Jackson alimpenda kweli Bobby na ni Whitney aliyebahatika kufunga ndoa na Bobby na walibarikiwa mtoto wa kike ambae sasa ni marehemu.
Ulevi na wanawake havichanganywi lazima uonekane kama ulizaliwa wa kwanza kwanza kabisaKule wenzetu sijajua sababu inayowafanya wanaonekana wazee haraka,muangalie hata Mike Tyson ana miaka 56 lakini anaonekana mzee kama wa maiak 60 au hata Brian Mcnight ana miaka 53 lakini pia inaonekana ni mzee wa 60yrs plus...