Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Hongera zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika?Ndie aliyemuingiza mkewe kwenye uteja, akafa teja
Mziki na ustar una mambo mengi sanaUlevi na wanawake havichanganywi lazima uonekane kama ulizaliwa wa kwanza kwanza kabisa
Madhara ni mengi kuliko faidaMziki na ustar una mambo mengi sana
Ova
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ulevi na wanawake havichanganywi lazima uonekane kama ulizaliwa wa kwanza kwanza kabisa
My first born anaweza kuwa umri wako, toka nimehama TZ kuja kupiga box nikiihesabu miaka inaweza ikawa ndiyo umri wako.Kama New Edition ilikua favourite yako basi utakua unasubiri kikokotoo.
Nawakumbuka NEW EDITION, it used be my favorite group when I was a kid.
Sana.Maisha ni km upepo aise we are getting old
Hadi usama bin laden akimpenda kiasi akamwambia mkewe 'whitney Houston nikionana nae namuoa'Whitney Houston alikua na sauti kali sana,alikufa kwa drugs kisha akafuata Binti yake pia.
Siyo wote mwangalie Will Smith ana miaka 54 ila bado anaonekana kijana, mcheki Martin Lawrence mshkaji wa Will Smith kwenye movie za Badboys yule ana miaka 57 ila bado anaonekana mdogo
Wewe ulimpendea machoHata Terrence Howard pia ila yule baba mzuri weeee
Virse versa kwa wanawake wao..muone Marry J Blige..Victoria Beckham...na wengine wengiiKule wenzetu sijajua sababu inayowafanya wanaonekana wazee haraka,muangalie hata Mike Tyson ana miaka 56 lakini anaonekana mzee kama wa maiak 60 au hata Brian Mcnight ana miaka 53 lakini pia inaonekana ni mzee wa 60yrs plus...
Hapo mkuu ni kujitunza tuKule wenzetu sijajua sababu inayowafanya wanaonekana wazee haraka,muangalie hata Mike Tyson ana miaka 56 lakini anaonekana mzee kama wa maiak 60 au hata Brian Mcnight ana miaka 53 lakini pia inaonekana ni mzee wa 60yrs plus...