Bobby Brown amefikisha miaka 54. Kheri ya kumbukumbu ya kuzaliwa Bobby

Bobby Brown amefikisha miaka 54. Kheri ya kumbukumbu ya kuzaliwa Bobby

Hapo mkuu ni kujitunza tu
nakupa list ya blacks ambao hawafananii na umri wao.
  1. Lenny Kravits (58)
  2. Montell Jordan (54)
  3. Samuel L Jackson
  4. Phareel Williams
  5. Idris Elba
Muongezee na:
1. Angela Basett 63.
2. Harry Berry 54
3. Gabrielle Union 49
4. Brandy Norwood 43 ( Huyu kama ana 25)
5. Taye Diggs 51
6. Jammie Foxx 55
7. Michael Earl 48
8. Nia long 51
 
Kule wenzetu sijajua sababu inayowafanya wanaonekana wazee haraka,muangalie hata Mike Tyson ana miaka 56 lakini anaonekana mzee kama wa maiak 60 au hata Brian Mcnight ana miaka 53 lakini pia inaonekana ni mzee wa 60yrs plus...
Kwa mawazo yangu nafikiri hayo mavitu wanayo kula yale ya mfano wa maabara, ukiangalia hata wachezaji mpira wakifikisha mika 31 kwenda mbele kidogo tu wanaanz kukatika nafikiri mavirutubisho ya kimaabara zaidi yanawatesa kuliko magimbi na uji wa ulezi tunao ula sisi, ni mawazo yangu tu.
 
Hapo mkuu ni kujitunza tu
nakupa list ya blacks ambao hawafananii na umri wao.
  1. Lenny Kravits (58)
  2. Montell Jordan (54)
  3. Samuel L Jackson
  4. Phareel Williams
  5. Idris Elba
Yule jamaa anaitwa omario sijui mario aliomba na diamond-african beauty mpaka sasa ana umri gani...

Mana nimemwona anaimba toka niko mtoto ila ukimwangalia hakui wala hazeeki.
 
Yule jamaa anaitwa omario sijui mario aliomba na diamond-african beauty mpaka sasa ana umri gani...

Mana nimemwona anaimba toka niko mtoto ila ukimwangalia hakui wala hazeeki.
hajafika miaka 40.
ngoja tuone akifika 50plus atakuwaje
 
Kwa mawazo yangu nafikiri hayo mavitu wanayo kula yale ya mfano wa maabara, ukiangalia hata wachezaji mpira wakifikisha mika 31 kwenda mbele kidogo tu wanaanz kukatika nafikiri mavirutubisho ya kimaabara zaidi yanawatesa kuliko magimbi na uji wa ulezi tunao ula sisi, ni mawazo yangu tu.
kweli kabisa mkuu.
mfano mzuri hata Dr. Sebi kama sikosei alikuwa anazungumzia juu ya vyakula na awareness juu ya vyakula ambavyo vina madhara mwilini ikiwa ni pamoja na kuuchosha mwili.
 
Kwa mawazo yangu nafikiri hayo mavitu wanayo kula yale ya mfano wa maabara, ukiangalia hata wachezaji mpira wakifikisha mika 31 kwenda mbele kidogo tu wanaanz kukatika nafikiri mavirutubisho ya kimaabara zaidi yanawatesa kuliko magimbi na uji wa ulezi tunao ula sisi, ni mawazo yangu tu.
Japo mimi naamini mtu ukiwa fit yaani inshape na ukiwa na consistancy ya fitness yako you will be fine.
Nandio maana hao watu waliotaja kuwa they are aging like fine wine kuna kitu in common wanashare.
  1. fitness
  2. In shape
  3. Well being
  4. Personality/handsomeness
 
Kule wenzetu sijajua sababu inayowafanya wanaonekana wazee haraka,muangalie hata Mike Tyson ana miaka 56 lakini anaonekana mzee kama wa maiak 60 au hata Brian Mcnight ana miaka 53 lakini pia inaonekana ni mzee wa 60yrs plus...
Mbona si hivyo...
Ni pozi la picha tu..
 
Yani mtoto wa bobby brown naye alifariki au sijaielewa sentensi yako?
 
Huyu ndiye kaimba 'beautiful' na Damian Marley? mbona kazeeka ghafla
Pombe, drugs, stress za maisha,kula ovyo, kukosa usingizi & mazoezi etc na miaka nayo 54 siyo midogo sana ukifika huko good chance utaonekana umechapa, dawa ya kuonekana kijana ni keep slim feet na pata usingizi wa kutosha
 
Siyo wote mwangalie Will Smith ana miaka 54 ila bado anaonekana kijana, mcheki Martin Lawrence mshkaji wa Will Smith kwenye movie za Badboys yule ana miaka 57 ila bado anaonekana mdogo
Will Smith gym inamhusu sana ndio maana anaonekana kijana
 
Huyu ndiye kaimba 'beautiful' na Damian Marley? mbona kazeeka ghafla
Ile ngoma ni chini ya mwaka 2010.

Hana uzee huo, anaonekana fresh kimtindo labda unga ulichangia kidogo, ila anapaswa kuwa hivyo 50+ si mchezo.
 
Back
Top Bottom