jilogamawepyee
Member
- Aug 11, 2018
- 57
- 48
sina neno ila mtesa hafi hivi hivi ila na yeye lazima mateso yamkute hata kama ni ya nafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni nyama kweli ,mimi ni askari njoo nikupige doleKwa akili ya kawaida ni lazima waliofanya haya walikuwa na sababu ya kuhalalisha kuyafanya haya.Tumesikia kuwa gari la Rais Museveni lilipigwa mawe na hata kama Bobi wine hakupiga yeye inawezekana tuhuma zikawaangukia washabiki wake na hii ikiwa ndiyo sababu ya kulipa kisasi kwa nguvu kubwa.
Kwa Tanzania tuna ya kujifunza ingawa kwa sasa ni vigumu kwa watu kuelewa.Tuna la TL kupigwa risasi na watu wasiojulikana,tuna na maandamano ya Chadema na kufa mwanafunzi lakini mimi ninachokiona kikubwa na taarifa nyingi za watu kuteswa wakiwa katika vituo vya Polisi na wengine kupoteza maisha.
Uganda limemkuta mbunge na ameelezea kilichotokea,kwetu inawezekana yanawakuta wengi lakini fursa ya kuelezea haipo.
Kwa ujumla hakuna tofauti kwani kama ni darasa tupo ndani ya darasa moja (mwandishi wa habari aliyekula kipigo kwa kubishana na askari na mwisho akaambiwa amemkwida askari).
Ujumbe wangu-Tujiepushe kukabiliana na askari kwa gharama yoyote,tuwe wanyenyekevu hata kama unahisi unaonewa.
Asante kwa matusi.Naamini wenye busara na hekima watajua kati yangu mimi na wewe nani bwege.Hata hivyo nakushukuru,sijatukanwa siku nyingi!!!Bwege wewe..au na wewe ndiyo mmoja wapo ya hao chinja chinja? Badala ya kuhamaaisha watu kupigania na kulinda haki wewe unawaigopesha! " eti gari la rais lilipigwa mawe"! Stupid kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana.Mbona mchezo wa kawaida huo,umesikia nani kafa kwa kupigwa dole?Wewe ni nyama kweli ,mimi ni askari njoo nikupige dole
Asalalee!
Kawaida tu..siyo tusi la chuki mjomba..sina chuki na wewe! Agiza 1 nalipa..Asante kwa matusi.Naamini wenye busara na hekima watajua kati yangu mimi na wewe nani bwege.Hata hivyo nakushukuru,sijatukanwa siku nyingi!!!
Wapi ambapo bobi wine alikabiliana na askari?? Vipi dereva wake aliyepigwa risasi akiwa kwenye gari tena kafunga vioo naye alikabiliana na askari??
Tusitafute sababu ya kuhalalisha uhuni huu wa dikteta museveni.... Kila kitu kina mwisho
Kumbe sio kosa lako ,sitaki tena wewe mrahisi sana ,ungenikataa kidogo ningeongeza juhudiAsante sana.Mbona mchezo wa kawaida huo,umesikia nani kafa kwa kupigwa dole?
Kwa umri na imani yangu,nakushukuru kwa dhati kabisa.Kawaida tu..siyo tusi la chuki mjomba..sina chuki na wewe! Agiza 1 nalipa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni maisha ya kawaida katika historia ya Mwanadamu.Siujui umri wako lakini mimi nilisoma Mnazi Moja shule ikiitwa Lumumba na ndipo yalikuwa makao Makuu ya Bakwata.Katika miaka hiyo ya sabini palikuwa na Hoteli jirani na nakumbuka kuna mtu alikuwa akitaniwa kuwa ni faruku lakini kwa dunia ya leo mnawaita mashoga.Hivyo kunitukana tusi hilo si ajabu sana kwani nimewaona weye tabia hizo miaka iliyopita na wataendelea kuwepo.Karibu tena.Kumbe sio kosa lako ,sitaki tena wewe mrahisi sana ,ungenikataa kidogo ningeongeza juhudi
Asalalee!
Kumbe umesoma Lumumba ? Ndio maana mawazo ya Kilumumba hayo mwanao akibakwa kisa kabakwa na Baunsa utakaa kimya kwa sababu unaogopa mangumi ?Haya ni maisha ya kawaida katika historia ya Mwanadamu.Siujui umri wako lakini mimi nilisoma Mnazi Moja shule ikiitwa Lumumba na ndipo yalikuwa makao Makuu ya Bakwata.Katika miaka hiyo ya sabini palikuwa na Hoteli jirani na nakumbuka kuna mtu alikuwa akitaniwa kuwa ni faruku lakini kwa dunia ya leo mnawaita mashoga.Hivyo kunitukana tusi hilo si ajabu sana kwani nimewaona weye tabia hizo miaka iliyopita na wataendelea kuwepo.Karibu tena.
wat the hell yani unaona unaonewa kwa makusudi ukae kimya how?Kwa akili ya kawaida ni lazima waliofanya haya walikuwa na sababu ya kuhalalisha kuyafanya haya.Tumesikia kuwa gari la Rais Museveni lilipigwa mawe na hata kama Bobi wine hakupiga yeye inawezekana tuhuma zikawaangukia washabiki wake na hii ikiwa ndiyo sababu ya kulipa kisasi kwa nguvu kubwa.
Kwa Tanzania tuna ya kujifunza ingawa kwa sasa ni vigumu kwa watu kuelewa.Tuna la TL kupigwa risasi na watu wasiojulikana,tuna na maandamano ya Chadema na kufa mwanafunzi lakini mimi ninachokiona kikubwa na taarifa nyingi za watu kuteswa wakiwa katika vituo vya Polisi na wengine kupoteza maisha.
Uganda limemkuta mbunge na ameelezea kilichotokea,kwetu inawezekana yanawakuta wengi lakini fursa ya kuelezea haipo.
Kwa ujumla hakuna tofauti kwani kama ni darasa tupo ndani ya darasa moja (mwandishi wa habari aliyekula kipigo kwa kubishana na askari na mwisho akaambiwa amemkwida askari).
Ujumbe wangu-Tujiepushe kukabiliana na askari kwa gharama yoyote,tuwe wanyenyekevu hata kama unahisi unaonewa.
Hahahaha mkuu umeongea kwa uchungu sana.... Ndio JF ya siku hizi hiyo ukitofautiana mawazo tu unalowa matusiNashukuru angalau wewe hukunitukana.Nakuomba,ebu soma kwa umakini nilichoandika.
Can't you even read between the lines?wat the hell yani unaona unaonewa kwa makusudi ukae kimya how?
Nimekujulisha kuwa mimi ni mtoto wa mjini na matusi nayajua.Nilitoka Lumumba nikaenda Tambaza wakati Tambaza ikiwa Tambaza kweli.Kumbe umesoma Lumumba ? Ndio maana mawazo ya Kilumumba hayo mwanao akibakwa kisa kabakwa na Baunsa utakaa kimya kwa sababu unaogopa mangumi ?
Halafu unaitwa baba kabisa unakenua ?
Nenda zako huko sitaki laana na Wazee mimi
Asalalee!
Vijana wetu hawa.Hahahaha mkuu umeongea kwa uchungu sana.... Ndio JF ya siku hizi hiyo ukitofautiana mawazo tu unalowa matusi
Nimezaliwa Ocean Rd hapo nikakulia Kariakoo sasa sijui unataka kuniambia niniNimekujulisha kuwa mimi ni mtoto wa mjini na matusi nayajua.Nilitoka Lumumba nikaenda Tambaza wakati Tambaza ikiwa Tambaza kweli.