The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Soon Kenya unaweza kuwa ya kidiktetaYule msomali mwenye hii hoja ni hatari Sana!
Ulitaka kusema nn hapa, mmarekani wa igunga?That was is fucking
Hahahahaha. JF bwana, asant kwa kunifanya nicheke mkuuUlitaka kusema nn hapa, mmarekani wa igunga?
Ulitaka kusema nn hapa, mmarekani wa igunga?
Kwa Nini lisiwezekane kwa sababu linaanza na Bunge then wanaenda kwenye Kura ya maoni hapo Mahakama hauwezi ku block wakishinda..Hilo Kenya haliwezekani
Akikna kina PK na Museven wanavyokula maisha hatamani kuondoka 👇Jamaa kanogewa mapema mno,sijui kala vitu gani huko Ikulu,huku kwetu ni Mungu tu ndiye aliyetunasua
Watu wa hivi huwa wanakamata wajinga,wakishawaridhisha vitu vidogo dogo Tena vya kijinga jamaa wanaunga mkono.Script ni ile ile kwanza kujifanya mtu wa Mungu sana, rafiki wa masikini (wanyonge/hustlers), then mtu mmoja anaanza penyeza agenda ya kubadili katiba.