Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann umewaza kwa upande uo kwann isiwe ni visa vya mwanamke(mke wa mtu)Sishani kama ni wanawake.......dogokuna vitu inabidi Atubu tu na kuweka wazi.
Hicho ni kisasi.
Na wakati mwingine Makosa hayakufanywa na yeye.
Kuna mambo inabidi tufikirie na kuyaepuka.
Dogo huenda anatumikia dhambi ya wazazi wake.
Bibilia inatueleza Mungu hupatiliza Kizazi cha wana wa maovu hadi kizazicha Nne.
Huyo dogo huenda Babu yake au Baba yake alishiriki mambo maovu ya kuua, kutesa na au kupoteza watoto wa wengine.
Sasa kama Ilivyo Karma hilo hutokea ili wazazi nao waumie kama walivyowafanyia wengine.
Walifunga miguu na mikono kwa kukaza sana halafu wakamtupa kwenye jumba bovu akakaa kwa siku kadhaa bila msaada hivyo viungo vikaoza.Yani walimfungia sehemu?
Kwakweli inasikitisha na inafikirisha sanaIndeed dear.
Apo ni visa vya mapenzi.
Kuna watu washenzi sana. Hata hiyo pikipiki inaweza kuwa chanzo.Aah ila ndo lengo la watekaji.
Ngoja nikuambie. Mimi nilishamwokoa jamaa mmoja aliporwa gari la serikali halafu wakamfunga wire mikono na miguu. Ni hivi: Majambazi wakikufunga kamba wanakaza sana sana. Jamaa alikuwa amefungwa kwa kukaza na damu haitembei kabisa. Angebaki hivyo kwa muda mrefu nadhani sehemu za mkono kuanzia pale alipofungiwa kwenda chini zingeoza kwa kukosa damu.Aah ila ndo lengo la watekaji.
Duh nimesikiliza lengo la wezi ni afe.Walifunga miguu na mikono kwa kukaza sana halafu wakamtupa kwenye jumba bovu akakaa kwa siku kadhaa bila msaada hivyo viungo vikaoza.
Nimekuelewa mkuu.Ngoja nikuambie. Mimi nilishamwokoa jamaa mmoja aliporwa gari la serikali halafu wakamfunga wire mikono na miguu. Ni hivi: Majambazi wakikufunga kamba wanakaza sana sana. Jamaa alikuwa amefungwa kwa kukaza na damu haitembei kabisa. Angebaki hivyo kwa muda mrefu nadhani sehemu za mkono kuanzia pale alipofungiwa kwenda chini zingeoza kwa kukosa damu.
Mwandishi hajauliza iwapo pikipiki waliichukua au laa.Hiki ni kisasi. Maana hawakutaka kumuua bali kumkomoa. 70% ni ishu ya mwanamke.
Edit: kichwa cha habari kinapotosha.
acha tuu mkuu inasikitisha sana kwakwelii, mpka hiloo tukio linatokea limechukua mda ina maanisha walidhamiria na walikuwa zaidi ya watatu.Kweli mkuu. Kosa sio la mwanaume ni Demu wako aliemkubalia unakuta uyo kijana ndo alikuwa nategemewa na familia saiv ndo anaitegemea kwa kila kitu.
hii habari nayo inachanganya kumfunga na kukatika hapo inakuaje?Huyu aliporwa pikipiki, walimkodi wakamfunga kitambaa usoni, kamba miguuni na mikononi. Wakamtupa kwenye boma mbali na mji huko dumila.
Ndiyo maana nikasema heading ya uzi inapotosha.Hakukatwa na wezi. Alikatwa hospitalini baada ya kukaa kwa muda mrefu na kuoza.
Alikaa na kamba muda mrefu mpaka akaoza, alikuwa anakula nn huo muda mrefu, mbona hakufa kwa njaa?Mwandishi ametia chumvi kwenye kichwa cha habari. Siyo hao wezi walimkata. Alikatwa hospital baada ya kufungwa kamba na kukaa nazo kwa muda mrefu hivyo akaoza.
Kwa sasa neno karma linatumika sana hata pale pasipostahili. Kwani motive ya kufanyiwa hivyo haiwezi kuwa ni kuchukua pikipiki yake? Lawama sasa mnazihamishia kwa babu na baba yake!Sishani kama ni wanawake.......dogokuna vitu inabidi Atubu tu na kuweka wazi.
Hicho ni kisasi.
Na wakati mwingine Makosa hayakufanywa na yeye.
Kuna mambo inabidi tufikirie na kuyaepuka.
Dogo huenda anatumikia dhambi ya wazazi wake.
Bibilia inatueleza Mungu hupatiliza Kizazi cha wana wa maovu hadi kizazicha Nne.
Huyo dogo huenda Babu yake au Baba yake alishiriki mambo maovu ya kuua, kutesa na au kupoteza watoto wa wengine.
Sasa kama Ilivyo Karma hilo hutokea ili wazazi nao waumie kama walivyowafanyia wengine.