Bodaboda atekwa, akatwa mikononi na miguu, afungwa kamba

Bodaboda atekwa, akatwa mikononi na miguu, afungwa kamba

Hao walimfanyia hivyo wasakwe na wafikishwe mahakamani na adhabu yao iwe ni kumhudumia mahitaji yake yote pamoja na familia yake kwa maisha yake yote. Kuwafunga watatoka baada ya muda fulani huku wakiwa wamemsababishia mtu ulemavu wa maisha
"iwe ni kumhudumia mahitaji yake yote pamoja na familia yake kwa maisha yake yote".
Yaani dume kwa dume! Na ulaaniwe.
 
So sad....

Huyo bwam dogo sijui nini kimemfanya mpaka wamkate mikono na miguu

Ukweli anaujuwa yeye mwenyewe

Ova
 
Acha mzaha kwenye issue kama hizi, mtu kapata ulemavu wa kudumu we unaona ulete sifa zako hapa
hakuna mzaha wala sifa nilizofanya hapa, mkuu ukiwa kwenye hatari unatakiwa utumie mbinu zozote kujiokoa.
 
Back
Top Bottom