Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Mwanaume anakufa iwapo atakaa siku 7 bila kula.Alikaa na kamba muda mrefu mpaka akaoza, alikuwa anakula nn huo muda mrefu, mbona hakufa kwa njaa?
Huyu alikaa siku 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume anakufa iwapo atakaa siku 7 bila kula.Alikaa na kamba muda mrefu mpaka akaoza, alikuwa anakula nn huo muda mrefu, mbona hakufa kwa njaa?
Certainly no.2Duh .....
Apo ni
1. Madeni
2. Mke/demu/msichana wa mtu mwingine
3. Wizi
4. Etc
mwanaume unakaa na kamba siku tatu na meno unayo, we mwanaume [/QUOTE]mwanaume unakaa na kamba siku tatu na meno unayo, we mwanaume gani sasa?Mwanaume anakufa iwapo atakaa siku 7 bila kula.
Huyu alikaa siku 3
Hakukaa siku ambazo angeweza kufa. Kma nakumbuka vizuri nadahni alisema siku mbili au tatu. Hizi mtu hawezi kufa kwa njaa. Ila hao jamaa ni zaidi ya mashetani.Alikaa na kamba muda mrefu mpaka akaoza, alikuwa anakula nn huo muda mrefu, mbona hakufa kwa njaa?
Unajua hizo kamba amesema walichanganya na mipira ile ya manati hivyo ina maana ilizuia damu kusafiri kufika sehemu za viganjani ndiyo maana tissues (nyama) zinazoishia sehemu aliyofungwa zilikufa na kuoza.Alikaa na kamba muda mrefu mpaka akaoza, alikuwa anakula nn huo muda mrefu, mbona hakufa kwa njaa?
#2 na #3 nina uhakika nazo kwa 100%Duh .....
Apo ni
1. Madeni
2. Mke/demu/msichana wa mtu mwingine
3. Wizi
4. Etc
Afe kwa njaa we ndo munguAlikaa na kamba muda mrefu mpaka akaoza, alikuwa anakula nn huo muda mrefu, mbona hakufa kwa njaa?
mrangi hawa wadudu ukisikia wamemfunga mtu kwa kamba huwa wanazi-tight vibaya sana ili asiweze kufungua kabla hawajafika mbali. Siku moja alfajiri nilikuta jamaa amevamiwa na kunyang'anywa gari wakaenda kumtelekeza kwenye vichaka baada ya kumfunga kwa waya. Walivyokaza zile waya mpaka mikono ilikuwa imevimba. Angeendelea kukaa pale kwa muda mrefu hata yeye mikono ingekatwa.Wabongo makatili
Ova
mwanaume unakaaje na kamba siku tatu [/QUOTE]mwanaume unakaaje na kamba siku tatu na meno unayo?Unajua hizo kamba amesema walichanganya na mipira ile ya manati hivyo ina maana ilizuia damu kusafiri kufika sehemu za viganjani ndiyo maana tissues (nyama) zinazoishia sehemu aliyofungwa zilikufa na kuoza.
huyo mwamba ni kibogoyo? alishindwaje kutumia meno kukata kamba?Hakukaa siku ambazo angeweza kufa. Kma nakumbuka vizuri nadahni alisema siku mbili au tatu. Hizi mtu hawezi kufa kwa njaa. Ila hao jamaa ni zaidi ya mashetani.
mwanaume unakaaje na kamba siku tatu na meno unayo?mwanaume unakaaje na kamba siku tatu
mwanaume unakaa na kamba siku tatu na meno unayo, we mwanaume gani sasa?
Wanafunga kwa nyuma. Wewe mikono igeuziwe kwa nyuma halafu na miguu ifungwe utajifunguaje? Hili zoezi unaweza kujaribu. Tafuta rafiki yako mwambie aku-tight na kamba halafu uonyeshe umwamba wako.huyo mwamba ni kibogoyo? alishindwaje kutumia meno kukata kamba?
kwa hyo mungu aliwatuma malaika wamshushie mana? mbona hawakumfungua kamba mpaka akaoza?Afe kwa njaa we ndo mungu
mkuu unanijua au unanisikiaga tu, njoo unifunge wewe umezavo halafu uache namba yako ya simu, kama kabla ya nusu saa kwisha sijakupigia nikikuambia njoo ufunge tena.Wanafunga kwa nyuma. Wewe mikono igeuziwe kwa nyuma halafu na miguu ifungwe utajifunguaje? Hili zoezi unaweza kujaribu. Tafuta rafiki yako mwambie aku-tight na kamba halafu uonyeshe umwamba wako.
Haya uwe unasimulia na kuyaacha huko huko kijiweni. Ukiyaleta hapa kuna watu wenye experience na uzoefu wa kila aina.mkuu unanijua au unanisikiaga tu, njoo unifunge wewe umezavo halafu uache namba yako ya simu, kama kabla ya nusu saa kwisha sijakupigia nikikuambia njoo ufunge tena.