Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hao walimfanyia hivyo wasakwe na wafikishwe mahakamani na adhabu yao iwe ni kumhudumia mahitaji yake yote pamoja na familia yake kwa maisha yake yote. Kuwafunga watatoka baada ya muda fulani huku wakiwa wamemsababishia mtu ulemavu wa maisha
Yaani dume kwa dume! Na ulaaniwe."iwe ni kumhudumia mahitaji yake yote pamoja na familia yake kwa maisha yake yote".
experience ya kufungwa kama mpaka unaoza na meno unayo?Haya uwe unasimulia na kuyaacha huko huko kijiweni. Ukiyaleta hapa kuna watu wenye experience na uzoefu wa kila aina.
We used to have village fools but with internet they have gone global. Pathetic!experience ya kufungwa kama mpaka unaoza na meno unayo?
Kumbe unajua english ya kukariri, ongera boss.We used to have village fools but with internet they have gone global. Pathetic!
Kwani haya mambo yameanza leoBongo ishakuwa kama sauzi saivi
Kumbe hata hujui kuandika maneno ya kiswahili? Siyo ''ongera'' ni hongera.Kumbe unajua english ya kukariri, ongera boss.
sasa unataka upewe hongera kwa kukariri mkuu?Kumbe hata hujui kuandika maneno ya kiswahili? Siyo ''ongera'' ni hongera.
imagine huyo ndio mumeo, utaendelea kumvumilia milele?Aisee
imagine huyo ndio mumeo, utaendelea kumvumilia milele?
Acha mzaha kwenye issue kama hizi, mtu kapata ulemavu wa kudumu we unaona ulete sifa zako hapaexperience ya kufungwa kama mpaka unaoza na meno unayo?
Kweli kabisa mkuu, sasa sijui ni utoto au ni kitu gani kwa kweli, ni zaidi ya ujinga.We used to have village fools but with internet they have gone global. Pathetic!
hakuna mzaha wala sifa nilizofanya hapa, mkuu ukiwa kwenye hatari unatakiwa utumie mbinu zozote kujiokoa.Acha mzaha kwenye issue kama hizi, mtu kapata ulemavu wa kudumu we unaona ulete sifa zako hapa