Bodaboda jela miaka 30 kwa kumbaka abiria wake mkoani Kigoma

Bodaboda jela miaka 30 kwa kumbaka abiria wake mkoani Kigoma

Sambamba na hukumu hiyo, mahakama imetaifisha pikipiki iliyokuwa ikitumiwa na mshitakiwa huyo yenye namba za usajiili MC 601 DLB na sasa ni mali ya serikali.

Mwendesha mashitaka wa polisi aliieleza mahakama kwamba Septemba 7 mwaka jana, mshitakiwa huyo alikodiwa na msichana mwenye miaka 24 ampeleke Kijiji cha Kidahwe, baada ya kukosa usafiri katika eneo hilo, na ndipo mwanaume huyo alipotekeleza ukatili huo walipokuwa njiani.
Pikipiki angepewa huyo victim kama fidia
 
Sambamba na hukumu hiyo, mahakama imetaifisha pikipiki iliyokuwa ikitumiwa na mshitakiwa huyo yenye namba za usajiili MC 601 DLB na sasa ni mali ya serikali.

Mwendesha mashitaka wa polisi aliieleza mahakama kwamba Septemba 7 mwaka jana, mshitakiwa huyo alikodiwa na msichana mwenye miaka 24 ampeleke Kijiji cha Kidahwe, baada ya kukosa usafiri katika eneo hilo, na ndipo mwanaume huyo alipotekeleza ukatili huo walipokuwa njiani.
Pikipiki angepewa huyo victim kama fidia
 
Na vitoto vya shule videm vimchepuko
Wanatmbw sna na bodaboda
Utakuta hawa walikubaliana sema boda kageuziwa kibao

Ova
 
Kubakwa abakwe mwingine fidia ya piki piki ichukue serikali jamn
 
Back
Top Bottom