Bodaboda ni kazi iliyo na vijana wengi kuliko kazi yoyote nchini

Bodaboda ni kazi iliyo na vijana wengi kuliko kazi yoyote nchini

Ni kazi ambayo pia inachukua maisha ya vijana wengi sana na wengine kubakia vilema na umasikini mkubwa.

Waendesha bodaboda wengi ni vijana wenye nguvu nyingi na kwa Taifa ndio nguvu kazi inayopaswa kutumika vizuri na kulijenga Taifa.
 
Ni kazi ambayo pia inachukua maisha ya vijana wengi sana na wengine kubakia vilema na umasikini mkubwa.

Waendesha bodaboda wengi ni vijana wenye nguvu nyingi na kwa Taifa ndio nguvu kazi inayopaswa kutumika vizuri na kulijenga Taifa.
Nina mwanangu mmoja alikuf kwa ajali ya bodaboda. Nomewsiliana nae asubuhi tumeegana fresh halafu jioni napata taarifa kutoka kwa demu wake mshkaji amekufa. Bodaboda ni roho mkononi
 
Nina mwanangu mmoja alikuf kwa ajali ya bodaboda. Nomewsiliana nae asubuhi tumeegana fresh halafu jioni napata taarifa kutoka kwa demu wake mshkaji amekufa. Bodaboda ni roho mkononi

Ni kazi moja ya hatari sana ukizingatia miundombinu yetu bado sio rafiki, madereva wengi barabarani sio competent basi shida tu.

Kinachonisikitisha ni pale tunapochezea nguvu kazi ya vijana ambayo ndio ilipaswa kuwa direct kwenye production na huku kwenye usafiri tungeboresha usafiri wa umma na miundombinu yetu Tu.
 
Hayaa sasa anaye bisha aje na yake anayoona inaizidi bodaboda tumuone.Na ukiwekeza kwenye boda boda ujue unakula faida nyingi sanaa . Shtuka
Unajua nchi hii kuna vijana wangapi ni walimu ? Unajua UVCCM ina vijana wangapi ? Chadema wana vijana wangapi ? Sekta ya Afya imeajiri vijana wangapi ? Uvuvi kuna vijana wangapi na vijana wangapi ni machinga na wauza simu ?

Bodaboda ni vijana wengi ila hawazini hayo maeneo niliotaja
 
Back
Top Bottom