mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
- Thread starter
- #21
propagandists😆propaganda hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
propagandists😆propaganda hiyo.
Tumepika bomu
Sasa hivi jamaa wanaleta vitimbi vyao hadharani na hamna kitu unaweza kuwafanya.
Ni kama wana utawala wao wapo dunia yao isiyo na sheria. Wao ndio mabingwa wa kubebana mishikaki na kuchomekea wengine kwa mbele kwa kisingizio cha wana haraka.
Ni kosa kubwa sana hiliCcm inawaita maofisa usafirishaji😂
daah hawa jamaa usiombe akupakie ile asbh maana wengi wanatoka bila kuswaki sasa hiyo hatufu inaiyotoka mdomoni usiombe kabisa akusemeshè🙌🙌🙌🤣Wakamatwe wote wafungwe kamba za katani na kunyolewa nywele zao chafu.Marabook kabisa!
Na huwa wengi wao wameshakula tutu aka jani.Kazi ipo kazini.daah hawa jamaa usiombe akupakie ile asbh maana wengi wanatoka bila kuswaki sasa hiyo hatufu inaiyotoka mdomoni usiombe kabisa akusemeshè🙌🙌🙌🤣
Pia kuwawaisha wake zenu kwa michepuko yao.Ndio wanaongoza kubamizwa barabarani.....
mamlaka zinawagopaTumepika bomu
Hawa bila kudhitiwa hawataheshimu sheria wala taratibu za jamii ya kistaarabu
nan anataka kusumbua wapiga kura wetu?😂Bodaboda ni majanga,wameendekezwa
Hakuna sheria kali za kuwadhibiti
WamekuchomekaMBELE ndugu!
Sasa hivi jamaa wanaleta vitimbi vyao hadharani na hamna kitu unaweza kuwafanya.
Ni kama wana utawala wao wapo dunia yao isiyo na sheria. Wao ndio mabingwa wa kubebana mishikaki na kuchomekea wengine kwa mbele kwa kisingizio cha wana haraka.
Ni kuwasumbua au kuwaokoa na dhahma za barabarani?Hata mtoto ukimuacha adekedeke tu bila kifinyo lazima akufurahishe mbeleni.nan anataka kusumbua wapiga kura wetu?😂
Hio mindset ndio imeleta matatizo yote haya,wanaendesha pikipiki rafu,wanaona wao wana haki ya utumiaji wa barabara kuzidi wengine,na hua wana haraka muda wotenan anataka kusumbua wapiga kura wetu?😂
✅️HTUTAKI KUBUGUDHI WAPIGA KURA WALIOJIAJIRI!
Jamaa wanavuka barabara ovyo hadi kwenye red light wanakatiza tu hata hawajali usalama wao na abiria waoHio mindset ndio imeleta matatizo yote haya,wanaendesha pikipiki rafu,wanaona wao wana haki ya utumiaji wa barabara kuzidi wengine,na hua wana haraka muda wote
Serikali inawaangalia tu
wanatatua tatizo la ajira na kuanzisha tatizo kubwa la ulemavu na vifoHTUTAKI KUBUGUDHI WAPIGA KURA WALIOJIAJIRI!