Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wameendekezwa, ni as if sheria za barabarani zina apply kwa magari tu, ila wao ahhhhh
Sasa hivi jamaa wanaleta vitimbi vyao hadharani na hamna kitu unaweza kuwafanya.
Ni kama wana utawala wao wapo dunia yao isiyo na sheria. Wao ndio mabingwa wa kubebana mishikaki na kuchomekea wengine kwa mbele kwa kisingizio cha wana haraka.
Na haya yote wameyataka serikal