Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Hili tatizo jipya WALA WAO HALIWAHUSU.wanatatua tatizo la ajira na kuanzisha tatizo kubwa la ulemavu na vifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili tatizo jipya WALA WAO HALIWAHUSU.wanatatua tatizo la ajira na kuanzisha tatizo kubwa la ulemavu na vifo
kwavipi haliwahusu kiongozi?Hili tatizo jipya WALA WAO HALIWAHUSU.
Nao wanasababu zao tofauti na boda wasiopata mafunzo.Vipi madereva wa mabasi wanavyoendesha rafu hawajajifunza?
Kipaumbele chao ni kifanikisha mipango yao wala siyo vingenevyo.kwavipi haliwahusu kiongozi?
Bodaboda akifa lkn wao wakaingia madarakani hakuna shida.kwavipi haliwahusu kiongozi?
🤣anayezaliwa leo lini atapiga kura?wakazaliwa 6K kwa mwaka kuna hasara gani?
Aliyezaliwa leo wakati mwingine mzazi wake mmoja ni miongoni mwa waliokumbwa na umauti kutokana na ajali hivyo atabaki na mzazi mmoja mwenye shida lukuki na hivyo kulazimika kuegemea kwa wanasiasa na na hivyo kupelekea na huyu mtoto kukua huku akiamini kuwa msaada wake unapatikana kwa hao wanasiasa hasa wa chama kinachotawala taifa hilo na atakuwa mwanachama mtiifu.🤣anayezaliwa leo lini atapiga kura?
Kwanini umezalishwa nje ya ndoa Dada?Kwenye ndoa zenu kuna watoto wa bodaboda anae mfichia mke wako siri.
Moja kati ya usafiri hatari sana hapa jijini
Punguza hasira kwenye phone book ya demu wako kuna namba yangu, imeandikwa boda wangu.Kwanini umezalishwa nje ya ndoa Dada?
utani wa ngumi huu😂Ila ndio unamwaisha demu
Punguza hasira kwenye phone book ya demu wako kuna namba yangu, imeandikwa boda wangu.
Kwahiyo huyo boda akikupeleka kwa basha wako unamlipa nyapu, Angalia utapata ngoma.Ila ndio unamwaisha demu
Punguza hasira kwenye phone book ya demu wako kuna namba yangu, imeandikwa boda wangu.
Utasikia we tulia, Hapa tunatoka. 😆😆
🤣🤣🤣Utasikia we tulia, Hapa tunatoka. 😆😆
Mi ndio namlipia demu wako ela ya vicoba na kausha damu na ukienda kwenye phone book amenisave boda wangu na mda mwingine unamtuma anipigie ili uwahi kujenga mwili na nikirudi kukupeleka na yeye namoelekea moto.Kwahiyo huyo boda akikupeleka kwa basha wako unamlipa nyapu, Angalia utapata ngoma.
Aliongeza shimoUsiwaseme vibaya wapiga kura na waongoza mosafara ya kampeni...
Pole sana, Sasa kwa mwendo huo si utakuwa na masela wengi sana wanaokutafuna.Mi ndio namlipia demu wako ela ya vicoba na kausha damu na ukienda kwenye phone book amenisave boda wangu na mda mwingine unamtuma anipigie ili uwahi kujenga mwili na nikirudi kukupeleka na yeye namoelekea moto.
Nampenda mkeo na wewe pia nakutafuna kama kachumbari.Pole sana, Sasa kwa mwendo huo si utakuwa na masela wengi sana wanaokutafuna.
............Jitahidi umwombe mumeo akufungulie hata genge uache kudanga utakufa kwa kuliwa.
Angalia wasikutafune sana utachakaa.Nampenda mkeo na wewe pia nakutafuna kama kachumbari.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio hao waliniibia simu. Wezi humohumo.