KERO Bodaboda wa Tanzania wameshindikana kwa tabia zao barabarani au wameendekezwa?

KERO Bodaboda wa Tanzania wameshindikana kwa tabia zao barabarani au wameendekezwa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
🤣anayezaliwa leo lini atapiga kura?
Aliyezaliwa leo wakati mwingine mzazi wake mmoja ni miongoni mwa waliokumbwa na umauti kutokana na ajali hivyo atabaki na mzazi mmoja mwenye shida lukuki na hivyo kulazimika kuegemea kwa wanasiasa na na hivyo kupelekea na huyu mtoto kukua huku akiamini kuwa msaada wake unapatikana kwa hao wanasiasa hasa wa chama kinachotawala taifa hilo na atakuwa mwanachama mtiifu.
 
Kwahiyo huyo boda akikupeleka kwa basha wako unamlipa nyapu, Angalia utapata ngoma.
Mi ndio namlipia demu wako ela ya vicoba na kausha damu na ukienda kwenye phone book amenisave boda wangu na mda mwingine unamtuma anipigie ili uwahi kujenga mwili na nikirudi kukupeleka na yeye namoelekea moto.
 
Mi ndio namlipia demu wako ela ya vicoba na kausha damu na ukienda kwenye phone book amenisave boda wangu na mda mwingine unamtuma anipigie ili uwahi kujenga mwili na nikirudi kukupeleka na yeye namoelekea moto.
Pole sana, Sasa kwa mwendo huo si utakuwa na masela wengi sana wanaokutafuna.

............Jitahidi umwombe mumeo akufungulie hata genge uache kudanga utakufa kwa kuliwa.
 
Pole sana, Sasa kwa mwendo huo si utakuwa na masela wengi sana wanaokutafuna.

............Jitahidi umwombe mumeo akufungulie hata genge uache kudanga utakufa kwa kuliwa.
Nampenda mkeo na wewe pia nakutafuna kama kachumbari.
 
Back
Top Bottom