Tetesi: Bodaboda wachoma gari(SUV) Arusha

Tetesi: Bodaboda wachoma gari(SUV) Arusha

Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.

Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.

My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Huo ushirikiano wangekuwa wanauonesha kwa kukamata waharifu na kuwafikisha polisi wangesifiwa sana, lakini wao hujichukulia sheria mkononi.
 
Wakinikuta nishaweka Ndovu zangu kichwani huwa nawatumbukiza sana mitaroni hao shwaini..
 
Ushawahukumu boda boda, na wataka kituo kifunguliwe, boda boda wa kipindi hiki wana busara sana, wana uongozi etc .... nakumbuka Prado ya kwanza kuchomwa moto, Yule Mama aliwaambia hawezi beba maiti yenye damu kwenye gari yake..... huo ndo ulikuwa mwanzo wa ugomvi mpaka kuchomwa, usiwahukumu kabla hujajua
Kwahiyo mtu kukataa gari yake isibebe maiti yenye damu ndio kuchukua maamuzi ya kuchoma moto gari yake?
Akili hizi zipo kwa watanzania tu
 
Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.

Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.

My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Wewe ndio ulimshauri DC wa hai akaharibu shamba la wenyewe kwa ushauri wa kibwegebwege namna hii! Kamsaidie kulipa!
 
Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.

Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.

My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Gari aina ya SUV ni toleo jipya?
 
mleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Hakuna gari aina ya SUV acha kulisha watu matango pori
 
Ushawahukumu boda boda, na wataka kituo kifunguliwe, boda boda wa kipindi hiki wana busara sana, wana uongozi etc .... nakumbuka Prado ya kwanza kuchomwa moto, Yule Mama aliwaambia hawezi beba maiti yenye damu kwenye gari yake..... huo ndo ulikuwa mwanzo wa ugomvi mpaka kuchomwa, usiwahukumu kabla hujajua
Yaani mtu akatae gari yake kubeba maiti watu waitie moto unaona sawa?
 
Mleta mada habari kasimuliwa alafu yeye mwenyewe kaamua kuwa hakimu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kama ni kweli hao boda boda watakua wamezidi, mana walishawahi kuchoma moto landcruser ya mjeda mmoja hapo hpo sakina
 
Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.

Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.

My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
TATIZO LA ARUSHA NI CCM
 
mleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] umemaliza, vijiswali ingine bhana duuh asante mkuu

Jesus is my saviour and a friend
 
Wenye magari wananyodo sana. Nawaunga mkono hao bodax2
Yaan nimekosa jibu la kukuambia but fikir kwanza madhara ndo ulete wivu wako hapa.

Maana sijaona nyodo za wenye magari ila nimeona una wivu sana mkuu. Sorry kama nimekuuzi

Jesus is my saviour and a friend
 
Back
Top Bottom