Bodi ya Ligi Hasira zenu za Mayele kukosa Ufungaji Bora msizihamishie katika Tuzo

Bodi ya Ligi Hasira zenu za Mayele kukosa Ufungaji Bora msizihamishie katika Tuzo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi Kuu ya NBC ) na hilo Bichwa lako Kubwa kama Papai za Mgeta Mkoani Morogoro huo Uyanga wako na hizo Pesa za Kuhongwa na GSM zitakutokea Puani Siku Moja.

Bodi ya Ligi ( TPLB ) chini ya Mwenyekiti wake Almasi Kassongo hivi mliwaza nini mpaka mkasena kuwa Tuzo ya MVP ya Msimu ishindaniwe na akina Yannick Bangala Yanga SC, Henock Inonga Simba SC na Fiston Mayele Yanga SC?

Hivi kuna Mpumbavu au hata Mwendawazimu ambaye kwa haya Majina tu hatojua kuwa hapa mnayetaka ashinde MVP wa NBC Premier League ni Fiston Mayele wa Yanga SC ili Kumpoza kwa Kukosa Kwake Kiatu cha Dhahabu cha Ufungaji Bora?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) nakuuliza Swali Fiston Mayele angeshinda Ufungaji Bora Juzi katika hii 'Category' yako ungemuweka?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) kama kweli huna au huhitaji Upendeleo wowote kwa Fiston Mayele kwanini katika 'Category' hii ya Tuzo mnazoziandaa hujamuweka George Mpole? Kwani ukiwa Mfungaji Bora huwezi pia kuwa MVP wa Ligi Kuu ya NBC?

GENTAMYCINE nikiwaambieni hamna Akili na Uyanga wenu pamoja na Pesa za GSM Wanazowahongeni zinawatesa mnanikasirikia.

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi) sasa Mimi GENTAMYCINE nakuamuru upesi sana ili twende sawa na tutende Haki mtoe hapo Yannick Bangala na muweke George Mpole ili 'Nominees' wa hiyo Tuzo wabakie kuwa ni Henock Inonga Simba SC, George Mpole Geita Gold FC na Fiston Mayele Yanga SC sawa?

Badilika upesi Almasi Kassongo Oky?
 
Kwani Kuna upendeleo wowote Fiston kubeba iyo tuzo!!
 
Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi Kuu ya NBC ) na hilo Bichwa lako Kubwa kama Papai za Mgeta Mkoani Morogoro huo Uyanga wako na hizo Pesa za Kuhongwa na GSM zitakutokea Puani Siku Moja.

Bodi ya Ligi ( TPLB ) chini ya Mwenyekiti wake Almasi Kassongo hivi mliwaza nini mpaka mkasena kuwa Tuzo ya MVP ya Msimu ishindaniwe na akina Yannick Bangala Yanga SC, Henock Inonga Simba SC na Fiston Mayele Yanga SC?

Hivi kuna Mpumbavu au hata Mwendawazimu ambaye kwa haya Majina tu hatojua kuwa hapa mnayetaka ashinde MVP wa NBC Premier League ni Fiston Mayele wa Yanga SC ili Kumpoza kwa Kukosa Kwake Kiatu cha Dhahabu cha Ufungaji Bora?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) nakuuliza Swali Fiston Mayele angeshinda Ufungaji Bora Juzi katika hii 'Category' yako ungemuweka?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) kama kweli huna au huhitaji Upendeleo wowote kwa Fiston Mayele kwanini katika 'Category' hii ya Tuzo mnazoziandaa hujamuweka George Mpole? Kwani ukiwa Mfungaji Bora huwezi pia kuwa MVP wa Ligi Kuu ya NBC?

GENTAMYCINE nikiwaambieni hamna Akili na Uyanga wenu pamoja na Pesa za GSM Wanazowahongeni zinawatesa mnanikasirikia.

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi) sasa Mimi GENTAMYCINE nakuamuru upesi sana ili twende sawa na tutende Haki mtoe hapo Yannick Bangala na muweke George Mpole ili 'Nominees' wa hiyo Tuzo wabakie kuwa ni Henock Inonga Simba SC, George Mpole Geita Gold FC na Fiston Mayele Yanga SC sawa?

Badilika upesi Almasi Kassongo Oky?
Kasongo ni mpuuzi flani hivi asiyejitambua na tamaa za hapa na pale,
Uchawa unamcost

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi Kuu ya NBC ) na hilo Bichwa lako Kubwa kama Papai za Mgeta Mkoani Morogoro huo Uyanga wako na hizo Pesa za Kuhongwa na GSM zitakutokea Puani Siku Moja.

Bodi ya Ligi ( TPLB ) chini ya Mwenyekiti wake Almasi Kassongo hivi mliwaza nini mpaka mkasena kuwa Tuzo ya MVP ya Msimu ishindaniwe na akina Yannick Bangala Yanga SC, Henock Inonga Simba SC na Fiston Mayele Yanga SC?

Hivi kuna Mpumbavu au hata Mwendawazimu ambaye kwa haya Majina tu hatojua kuwa hapa mnayetaka ashinde MVP wa NBC Premier League ni Fiston Mayele wa Yanga SC ili Kumpoza kwa Kukosa Kwake Kiatu cha Dhahabu cha Ufungaji Bora?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) nakuuliza Swali Fiston Mayele angeshinda Ufungaji Bora Juzi katika hii 'Category' yako ungemuweka?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) kama kweli huna au huhitaji Upendeleo wowote kwa Fiston Mayele kwanini katika 'Category' hii ya Tuzo mnazoziandaa hujamuweka George Mpole? Kwani ukiwa Mfungaji Bora huwezi pia kuwa MVP wa Ligi Kuu ya NBC?

GENTAMYCINE nikiwaambieni hamna Akili na Uyanga wenu pamoja na Pesa za GSM Wanazowahongeni zinawatesa mnanikasirikia.

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi) sasa Mimi GENTAMYCINE nakuamuru upesi sana ili twende sawa na tutende Haki mtoe hapo Yannick Bangala na muweke George Mpole ili 'Nominees' wa hiyo Tuzo wabakie kuwa ni Henock Inonga Simba SC, George Mpole Geita Gold FC na Fiston Mayele Yanga SC sawa?

Badilika upesi Almasi Kassongo Oky?
Unatafuta rocky yaani BAN
 
Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi Kuu ya NBC ) na hilo Bichwa lako Kubwa kama Papai za Mgeta Mkoani Morogoro huo Uyanga wako na hizo Pesa za Kuhongwa na GSM zitakutokea Puani Siku Moja.

Bodi ya Ligi ( TPLB ) chini ya Mwenyekiti wake Almasi Kassongo hivi mliwaza nini mpaka mkasena kuwa Tuzo ya MVP ya Msimu ishindaniwe na akina Yannick Bangala Yanga SC, Henock Inonga Simba SC na Fiston Mayele Yanga SC?

Hivi kuna Mpumbavu au hata Mwendawazimu ambaye kwa haya Majina tu hatojua kuwa hapa mnayetaka ashinde MVP wa NBC Premier League ni Fiston Mayele wa Yanga SC ili Kumpoza kwa Kukosa Kwake Kiatu cha Dhahabu cha Ufungaji Bora?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) nakuuliza Swali Fiston Mayele angeshinda Ufungaji Bora Juzi katika hii 'Category' yako ungemuweka?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) kama kweli huna au huhitaji Upendeleo wowote kwa Fiston Mayele kwanini katika 'Category' hii ya Tuzo mnazoziandaa hujamuweka George Mpole? Kwani ukiwa Mfungaji Bora huwezi pia kuwa MVP wa Ligi Kuu ya NBC?

GENTAMYCINE nikiwaambieni hamna Akili na Uyanga wenu pamoja na Pesa za GSM Wanazowahongeni zinawatesa mnanikasirikia.

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi) sasa Mimi GENTAMYCINE nakuamuru upesi sana ili twende sawa na tutende Haki mtoe hapo Yannick Bangala na muweke George Mpole ili 'Nominees' wa hiyo Tuzo wabakie kuwa ni Henock Inonga Simba SC, George Mpole Geita Gold FC na Fiston Mayele Yanga SC sawa?

Badilika upesi Almasi Kassongo Oky?
Hapo kwenye bichwa Kama papai za mgeta sasa....
 
Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi Kuu ya NBC ) na hilo Bichwa lako Kubwa kama Papai za Mgeta Mkoani Morogoro huo Uyanga wako na hizo Pesa za Kuhongwa na GSM zitakutokea Puani Siku Moja.

Bodi ya Ligi ( TPLB ) chini ya Mwenyekiti wake Almasi Kassongo hivi mliwaza nini mpaka mkasena kuwa Tuzo ya MVP ya Msimu ishindaniwe na akina Yannick Bangala Yanga SC, Henock Inonga Simba SC na Fiston Mayele Yanga SC?

Hivi kuna Mpumbavu au hata Mwendawazimu ambaye kwa haya Majina tu hatojua kuwa hapa mnayetaka ashinde MVP wa NBC Premier League ni Fiston Mayele wa Yanga SC ili Kumpoza kwa Kukosa Kwake Kiatu cha Dhahabu cha Ufungaji Bora?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) nakuuliza Swali Fiston Mayele angeshinda Ufungaji Bora Juzi katika hii 'Category' yako ungemuweka?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) kama kweli huna au huhitaji Upendeleo wowote kwa Fiston Mayele kwanini katika 'Category' hii ya Tuzo mnazoziandaa hujamuweka George Mpole? Kwani ukiwa Mfungaji Bora huwezi pia kuwa MVP wa Ligi Kuu ya NBC?

GENTAMYCINE nikiwaambieni hamna Akili na Uyanga wenu pamoja na Pesa za GSM Wanazowahongeni zinawatesa mnanikasirikia.

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi) sasa Mimi GENTAMYCINE nakuamuru upesi sana ili twende sawa na tutende Haki mtoe hapo Yannick Bangala na muweke George Mpole ili 'Nominees' wa hiyo Tuzo wabakie kuwa ni Henock Inonga Simba SC, George Mpole Geita Gold FC na Fiston Mayele Yanga SC sawa?

Badilika upesi Almasi Kassongo Oky?
Tatizo la kuwaza kupiyia matakoni ndio hii sasa
 
Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi Kuu ya NBC ) na hilo Bichwa lako Kubwa kama Papai za Mgeta Mkoani Morogoro huo Uyanga wako na hizo Pesa za Kuhongwa na GSM zitakutokea Puani Siku Moja.

Bodi ya Ligi ( TPLB ) chini ya Mwenyekiti wake Almasi Kassongo hivi mliwaza nini mpaka mkasena kuwa Tuzo ya MVP ya Msimu ishindaniwe na akina Yannick Bangala Yanga SC, Henock Inonga Simba SC na Fiston Mayele Yanga SC?

Hivi kuna Mpumbavu au hata Mwendawazimu ambaye kwa haya Majina tu hatojua kuwa hapa mnayetaka ashinde MVP wa NBC Premier League ni Fiston Mayele wa Yanga SC ili Kumpoza kwa Kukosa Kwake Kiatu cha Dhahabu cha Ufungaji Bora?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) nakuuliza Swali Fiston Mayele angeshinda Ufungaji Bora Juzi katika hii 'Category' yako ungemuweka?

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi ) kama kweli huna au huhitaji Upendeleo wowote kwa Fiston Mayele kwanini katika 'Category' hii ya Tuzo mnazoziandaa hujamuweka George Mpole? Kwani ukiwa Mfungaji Bora huwezi pia kuwa MVP wa Ligi Kuu ya NBC?

GENTAMYCINE nikiwaambieni hamna Akili na Uyanga wenu pamoja na Pesa za GSM Wanazowahongeni zinawatesa mnanikasirikia.

Almasi Kassongo ( Boss wa Bodi ya Ligi) sasa Mimi GENTAMYCINE nakuamuru upesi sana ili twende sawa na tutende Haki mtoe hapo Yannick Bangala na muweke George Mpole ili 'Nominees' wa hiyo Tuzo wabakie kuwa ni Henock Inonga Simba SC, George Mpole Geita Gold FC na Fiston Mayele Yanga SC sawa?

Badilika upesi Almasi Kassongo Oky?
Dah!! Papai za Mgeta!!? kazi kweli kweli
 
MVP NO DOUBTS !

Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)

[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.

[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.

[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.

[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.

[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.

[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.

[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.

[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)

Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili

Cc:[emoji368] Tom Cruz

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
MVP NO DOUBTS !

Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)

[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.

[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.

[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.

[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.

[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.

[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.

[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.

[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)

Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili

Cc:[emoji368] Tom Cruz

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Mkuu umeua lakini kwa mapenzi ya wengi kwa Mpole chongo huita kengeza
 
Back
Top Bottom