Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaio Huyo Inonga Ndo Anastahili Kuwepo Kwenye Icho Kipengele?Wameamua kumpa tu Hyo tuzo. Etie mayele mchezaji bora?? Kigezo ni kipi??? Unamuacha mfungaji bora kwenye tatu bora yako
Unaangalia ligi ya Kenya?Kwa alichofanyiwa Mayele na Waamuzi wasiojua chochote hata akipewa uMVP nitaona sawa tu. Sijui kwa nini offside za Tanzania ni tofauti na za Kenya?
Bangala je?Kwaio Huyo Inonga Ndo Anastahili Kuwepo Kwenye Icho Kipengele?
Huo ni mfano mmoja tu na iko mingi.Mambo mengi kuhusu maendeleo ya mpira tunajifunza na kutolea mfano huko Ulaya. Msimu wa 2020/2021 mfungaji bora wa EPL alikuwa HK, mfungaji na. 2 alikuwa MS. Katika nomination za mchezaji bora wa EPL HK hakuingia hata kumi bora badala yake MS aliingia kumi bora na ilibakia kidogo aibuke mchezaji bora KDB akawa amechukua. Kilichotokea kwa Mpole ni jambo la kawaida kabisa na ipo mifano mingi.
Na ya IndiaUnaangalia ligi ya Kenya?
Pale matikit yakikutana kujifajiriji,baada kukosa hata kikombe cha chai, utaambulia maji tu mtaa wa msimbaziKasongo ni mpuuzi flani hivi asiyejitambua na tamaa za hapa na pale,
Uchawa unamcost
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app