chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
simba kumekushinda umeamia kwa mayele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeandika kisukuma mku🤣Wailea nopigwe ban.
MAKOLOKOLO watapinga [emoji16]MVP NO DOUBTS !
Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)
[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.
[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.
[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.
[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.
[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.
[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.
[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.
[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)
Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili
Cc:[emoji368] Tom Cruz
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Vipi kichwa cha kagere vs coastal union, mugalu vs mbeya city?Kwa alichofanyiwa Mayele na Waamuzi wasiojua chochote hata akipewa uMVP nitaona sawa tu. Sijui kwa nini offside za Tanzania ni tofauti na za Kenya?
Trash MpeNi na kiatu kabisaMVP NO DOUBTS !
Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)
[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.
[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.
[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.
[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.
[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.
[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.
[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.
[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)
Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili
Cc:[emoji368] Tom Cruz
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa akipigagwa ban Huwa tunatulia humu ndani.. nyuzi za kifoolish zinapungua..Unatafuta rocky yaani BAN
Akili ya mtu ikiwa ndogo ni rahisi sana kuitambua,ndio umeandika nini apa we kolo?Trash MpeNi na kiatu kabisa
Mambo mengi kuhusu maendeleo ya mpira tunajifunza na kutolea mfano huko Ulaya. Msimu wa 2020/2021 mfungaji bora wa EPL alikuwa HK, mfungaji na. 2 alikuwa MS. Katika nomination za mchezaji bora wa EPL HK hakuingia hata kumi bora badala yake MS aliingia kumi bora na ilibakia kidogo aibuke mchezaji bora KDB akawa amechukua. Kilichotokea kwa Mpole ni jambo la kawaida kabisa na ipo mifano mingi.
Utatukanwa hadi basiMVP NO DOUBTS !
Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)
[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.
[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.
[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.
[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.
[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.
[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.
[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.
[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)
Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili
Cc:[emoji368] Tom Cruz
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Uliingiaje huku kam ww sii mmjawapo huenda ww ndio samaki mmj uliyeozaUzi huu wamejaa mambumbumbu watupu waliojaa wivu na wana machungu