Bodi ya Ligi Hasira zenu za Mayele kukosa Ufungaji Bora msizihamishie katika Tuzo

Bodi ya Ligi Hasira zenu za Mayele kukosa Ufungaji Bora msizihamishie katika Tuzo

MVP NO DOUBTS !

Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)

[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.

[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.

[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.

[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.

[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.

[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.

[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.

[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)

Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili

Cc:[emoji368] Tom Cruz

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
MAKOLOKOLO watapinga [emoji16]
 
Wameamua kumpa tu Hyo tuzo. Etie mayele mchezaji bora?? Kigezo ni kipi??? Unamuacha mfungaji bora kwenye tatu bora yako
 
Watu wa Simba mnataka kumalizia hasira zenu kwa Mayele.

Sasa hivi kila mkipoint mchezaji watu wanachukua naona Yusuph Bakheresa kawapora tena kiungo mkabaji.
 
Kwa alichofanyiwa Mayele na Waamuzi wasiojua chochote hata akipewa uMVP nitaona sawa tu. Sijui kwa nini offside za Tanzania ni tofauti na za Kenya?
Vipi kichwa cha kagere vs coastal union, mugalu vs mbeya city?
 
MVP NO DOUBTS !

Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)

[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.

[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.

[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.

[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.

[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.

[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.

[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.

[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)

Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili

Cc:[emoji368] Tom Cruz

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Trash MpeNi na kiatu kabisa
 
Mambo mengi kuhusu maendeleo ya mpira tunajifunza na kutolea mfano huko Ulaya. Msimu wa 2020/2021 mfungaji bora wa EPL alikuwa HK, mfungaji na. 2 alikuwa MS. Katika nomination za mchezaji bora wa EPL HK hakuingia hata kumi bora badala yake MS aliingia kumi bora na ilibakia kidogo aibuke mchezaji bora KDB akawa amechukua. Kilichotokea kwa Mpole ni jambo la kawaida kabisa na ipo mifano mingi.
 
Mambo mengi kuhusu maendeleo ya mpira tunajifunza na kutolea mfano huko Ulaya. Msimu wa 2020/2021 mfungaji bora wa EPL alikuwa HK, mfungaji na. 2 alikuwa MS. Katika nomination za mchezaji bora wa EPL HK hakuingia hata kumi bora badala yake MS aliingia kumi bora na ilibakia kidogo aibuke mchezaji bora KDB akawa amechukua. Kilichotokea kwa Mpole ni jambo la kawaida kabisa na ipo mifano mingi.

IMG_0389.jpg
 
Kasongo alishaonesha anakula vya GSM toka zamani, jamaa ni mswahili corrupt.
 
MVP NO DOUBTS !

Mayele ndiye mchezaji bora wa msimu ligi kuu msimu huu 2021/22 (My opinion)

[emoji419] Fiston Mayele ameipa ubingwa wa ngao ya jamii klabu yake ya Yanga kwa goli lake dhidi ya Simba SC.

[emoji419] Magoli (16) ya Fiston Mayele yamechangia points (35) kati ya points (74) zilizowapa ubingwa wa ligi kuu Young Africans.

[emoji419] Assists na Magoli yake yamechangia 37% ya ubingwa wa Yanga ligi kuu Tanzania bara.

[emoji419] Ndiye mshambuliaji pekee mwenye magoli mengi ambaye hajafunga goli la penati.

[emoji419] Mshambuliaji pekee kwenye tatu bora ambaye hana kadi yoyote ya njano.

[emoji419] Amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi mara mbili ligi kuu.

[emoji419] Moja ya Wachezaji waliotoa Assists nyingi ligi kuu msimu huu.

[emoji419] Goli lake pekee ndilo liliipeleka Yanga hatua ya Robo fainali (FA)

Kwenye akili yako ukiongeza umakini kidogo bila shaka utaona Mayele anastahili

Cc:[emoji368] Tom Cruz

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Utatukanwa hadi basi
 
Back
Top Bottom