Bodi ya Ligi yakataa ombi la Simba kutumia Chamazi.

Mkuu uwanja ukichagua hakuna kubadilisha ndio maana El Mereikh walishindwa kwenda marakesh Morocco. Kuwa mpole
Mpira umeingiliwa! Kwamba ukiuchagua hakuna kubadilisha? Viwanja vilifungiwa katikati ya msimu, timu haikubadilisha?
 
Hivi Kuna ukweli kuhusu hili? Maana naona umeandika tu kwahisia, yaani umeandika bila chanzo chochote unalengo gani hasa? Au ndo unataka kuleta chuki?... Hebu leta vyanzo vya huu uvumi wako na sio hisia zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…