Ah lazima besty...hapa fabo hapa mbususu unataka nini tena hapa dunianiAiseee wewe una mambo sana ila ndo vzr dunia inachangamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah lazima besty...hapa fabo hapa mbususu unataka nini tena hapa dunianiAiseee wewe una mambo sana ila ndo vzr dunia inachangamka
Hakika hamna cha ziada upande wako hahahaaAh lazima besty...hapa fabo hapa mbususu unataka nini tena hapa duniani
Inonga yupi? Thubutu.Mechi ya ngao ya jamii Yanga walistahili adhabu pia kupitia mlango mwingine uwanjani wakati wa kuingia ,vile vile foul ya Inonga ilistahili adhabu
Haikuwa mechi ya kwanza Gongowazi kupita mlango usiokuwa rasmi, karibia mechi nyingi za Derby wanafanya hivyo.Yanga inaendeshwa kihuni sana hata fainal ya FA arusha waliwafanyia vurugu mashabiki wa coastal union na kuwapiga halafu wakipewa adhabu wanalalamika siku ya mechi ya simba walipita mlango usio rasmi wakaacha basi lao wakaja na coaster kwa mafungu mafungu kama abiria wa buza.
Tulia wewe! Mbona timu yako ndiyo inaendeshwa kama nyumba ya mtu na kimada wake lakini hatusemi!Yanga inaendeshwa kihuni sana hata fainal ya FA arusha waliwafanyia vurugu mashabiki wa coastal union na kuwapiga halafu wakipewa adhabu wanalalamika siku ya mechi ya simba walipita mlango usio rasmi wakaacha basi lao wakaja na coaster kwa mafungu mafungu kama abiria wa buza.
Haikuwa mechi ya kwanza Gongowazi kupita mlango usiokuwa rasmi, karibia mechi nyingi za Derby wanafanya hivyo.
Hii ni kuonyesha kwamba kama ni adhabu ya faini kwao si tatizo..! Labda kuwe na adhabu nyingine ndo watakoma.
We ulisikia simba wakilalamika walipopewa adhabu ila nyinyi kila kitu mnalalamika yule nguruwe pori anawaharibu sana wana yanga.Tulia wewe! Mbona timu yako ndiyo inaendeshwa kama nyumba ya mtu na kimada wake lakini hatusemi!
Akikohoa tu kimada wa Mudi, nyinyi wote mnaufyata mkia.
Halafu umesahau ile adhabu mliyopewa na CAF ya kulipa dola elfu 10 za Kimarekani baada ya kufanya vitendo vya kishirikina kule Afrika ya Kusini!!
Unawazungumzia hawa?Wale waliocheza karate ( rafu mbaya) ndo imeisha hiyo?
Kidau na Karia kumbukeni hakuna chenye mwanzo kisichokuwa na mwisho!!!
Ilikuwa ni tambiko hatarishi mkuu nikuweke sawa hapoTulia wewe! Mbona timu yako ndiyo inaendeshwa kama nyumba ya mtu na kimada wake lakini hatusemi!
Akikohoa tu kimada wa Mudi, nyinyi wote mnaufyata mkia.
Halafu umesahau ile adhabu mliyopewa na CAF ya kulipa dola elfu 10 za Kimarekani baada ya kufanya vitendo vya kishirikina kule Afrika ya Kusini!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna jipyaaa, ni kilio tyuuh poleeeeehTulia wewe! Mbona timu yako ndiyo inaendeshwa kama nyumba ya mtu na kimada wake lakini hatusemi!
Akikohoa tu kimada wa Mudi, nyinyi wote mnaufyata mkia.
Halafu umesahau ile adhabu mliyopewa na CAF ya kulipa dola elfu 10 za Kimarekani baada ya kufanya vitendo vya kishirikina kule Afrika ya Kusini!!
Utopolo hawana uwezo wa kuifunga simba bila mzee Mpili kuwaongoza.Yanga wanafanya hayo yote kukimbia uchawi wa Makolo..
Hii timu inayoitwa makolo wamezidi sana kuwa wachawi.. Hadi caf na FIFA wanajua.. Sasa unashindwaje kujiami ukiwa unacheza na Machawi kama Makolo fc..
Makolo mukipunguza uchawi kidgo nasi tutapita kwenye hill mnlolitaka nyie.. Ela kutimbwa kupo palepale