Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Imeeona kaka?? Imashangaza sana kwakwel.Yaan ,
Wanakopesha bila kua na data base ya wakopeshwaji wapo wapi..
Uko sahihi.Siku zoteee Mimi huona pesa za HESLB Ni Kama vile GRANTS😊
Ni vichekesho sana nchi hii kakaHapa wangewatafuta Mana database wanayo wawasiliwane nao, Kama hawana kazi iwatafutie kazi ili wakate hela zao.
Mie nashangaa huko juu Kuna hela za Mana zinapigwa Ila hawaanzishi kampeni kuwa acheni wizi wa Kodi za wananchi ili vijana wasomee.
Waza Kuna mtu anakodi software kutoka India kwa bilioni 78 just kufuatilia umeme umekatika wapi..
Hatujawa serious na kusimamia Mali zetu kwa wachungu.
Kwanza mfano chai ikulu bajeti yake ni bilioni ngapi.
Hela tunazonunua magoli tungesomesha vijana wangapi may be.
Tuweni serious kufuatilia hela ambazo huwa cag anaibua jamani kuwa zimetumika vibaya hao watu wafukuzwe kazi,wafungwe, wengine wanyongwe, pia tuna miktaba Kama 200 ya ovyo tuiweke wazi tu renew iyo contracts kwa terms zenye manufaa na nchi yetu.
Mbona dp world walisemehewa Kodi na mktaba wa milele sijui kelele zikapugwa ndio ikakubalika walipe na hatujui Kama wanalipa.
So why na wasomi wasisamehewe hela Mana Kodi za ama pesa za watanzania na sio za mtu binafsi.
Naweza nikaandika mpaka kesho.kuna symbion, epa,iptl etc
BondsImeeona kaka?? Imashangaza sana kwakwel.
Uko sahihi.
Na hii ni mitazamo walio nayo hata hao wanaoitwa wakopeshwaji.
Kwakifupi zoezi la kukopesha pesa ili lionekane serious, kwanza ilitakiwa kuwe hata na dhamana zinazoshikiliwa ili mtu awe makini kujua kweli huu ni mkopo. Tofauti na hapo hiz ni grants tu.
Naona hayo madeni yafutwe maana Ni kidogo mno na kabisaaa kabisaaa tuna mengi Sanaa ya kufanyia kazi Kama ilivyo elezaHapa wangewatafuta Mana database wanayo wawasiliwane nao, Kama hawana kazi iwatafutie kazi ili wakate hela zao.
Mie nashangaa huko juu Kuna hela za Mana zinapigwa Ila hawaanzishi kampeni kuwa acheni wizi wa Kodi za wananchi ili vijana wasomee.
Waza Kuna mtu anakodi software kutoka India kwa bilioni 78 just kufuatilia umeme umekatika wapi..
Hatujawa serious na kusimamia Mali zetu kwa wachungu.
Kwanza mfano chai ikulu bajeti yake ni bilioni ngapi.
Hela tunazonunua magoli tungesomesha vijana wangapi may be.
Tuweni serious kufuatilia hela ambazo huwa cag anaibua jamani kuwa zimetumika vibaya hao watu wafukuzwe kazi,wafungwe, wengine wanyongwe, pia tuna miktaba Kama 200 ya ovyo tuiweke wazi tu renew iyo contracts kwa terms zenye manufaa na nchi yetu.
Mbona dp world walisemehewa Kodi na mktaba wa milele sijui kelele zikapugwa ndio ikakubalika walipe na hatujui Kama wanalipa.
So why na wasomi wasisamehewe hela Mana Kodi za ama pesa za watanzania na sio za mtu binafsi.
Naweza nikaandika mpaka kesho.kuna symbion, epa,iptl etc
SasaYaan ,
Wanakopesha bila kua na data base ya wakopeshwaji wapo wapi..
Siku zoteee Mimi huona pesa za HESLB Ni Kama vile GRANTS😊
Umeongea point moja matata sana.Naona hayo madeni yafutwe maana Ni kidogo mno na kabisaaa kabisaaa tuna mengi Sanaa ya kufanyia kazi Kama ilivyo eleza
Aiseee,Sasa
Umeongea point moja matata sana.
Ila Ujue hicho kiproject cha kufuatilia wadaiwa wenye vipato ni dili jamaa wanapiga posho za kufa mtu.
Hao HESLB kuna waliokuwa wafanyakazi hapo wamekopa Hel ndefu wamesepa wanashindwa kuwadai, wana revolving fund ya kukopeshana hapo mhudumu wa ofisi anaweza kupa hadi milioni 50.
Unakuta hata hawajalipaWapuuzi sana Hawa! Wao walishalipa??
Details ulizonazo.akowa shuleni....kwenye ajira hasa binafsi uta trace vipi ?? Labda kwa uchache utumoe database pssf na nssf...ingawa wengine hawapeleki michango huko hada sekta binafsi....wengi hawana ajira rasmiHawao serious ,hivi unaweza kumkopesha mtu halafu usiwe na details zake
Yaa Ni kweli,Details ulizonazo.akowa shuleni....kwenye ajira hasa binafsi uta trace vipi ?? Labda kwa uchache utumoe database pssf na nssf...ingawa wengine hawapeleki michango huko hada sekta binafsi....wengi hawana ajira rasmi
Viongozi wengine wazee sasa sabuni za kufulia na Mikate na siagi walianza kujifunzia kula wakiwa shuleni/ vyuoni Tena bureee..Hela wanachezea Viongozi huko na magari ya anasa na ndio wengi walisoma bure kabisaa..
Ni kweli wafuatilie Mambo ya maana yapo mengi TUFatilieni kwanza pesa alizosema mkaguzi wa pesa za serikali zipo wap...acheni kusumbua watu...tupo na t.r.a huku na nyie mnaleta mamb ya ajabu!!
BalaaHa ha ha! eti wananchi kutekeleza jukumu la kizalendo! hamna kitu hapo!
Mkuu unawapa mbinu kabisa... ushauri mzurWaweke utaratibu wa kukopesha wenye TIN na NIDA