ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
ivi wakuu, kwa wale walopitia diploma wanaweza ku submit progressive report kwenye kipengele cha matokeo? mana matokeo kwa sasa bado, je! wanaweza kuweka matokeo ya semista ya kwanza? halafu ikitoka batch ya pili warekebishe? mana hapo transcript itakuwa ishatoka.