Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB) kumtumia control namba mtu asiye na ajira ni kumuongezea stress, badilikeni!

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB) kumtumia control namba mtu asiye na ajira ni kumuongezea stress, badilikeni!

Kwamba unashauri abadili namba Ili asisumbuliwe?

Muhimu hapa tushauri Serikali yetu, ije na mkakati Bora utakaowezesha vijana waingie kujiajiri, vikwazo viondolewe, Kodi ziwe Rafiki Ili wapate pesa, wajiajiri na kutengeneza ajira Ili walipe mikopo na Kodi Kwa furaha.

Karibu Kwa ushauri 🙏
Hapana yani nilitaka kujau kama wanatafta namba za watu maana watu wengi bila shaka wanabadili namba. Mimi nimemaliza kabla ya usajili wa namba kwa vitambulisho vya nida. Nimemaliza kabla ya vitambulisho la nida so kubadili namba ilikuwa sana tu ndo maana nimeuliza.
Kuhusu kulipa fedha, mimi naona serikali iache kulipisha watu maana ina fedha nyingi za kunua magari, kulipa wenza wa viongozi, kupeleka wasanii nje lakini si kusomesha watu wake bure. Iweke tu vigezo fulani vya ufaulu watu wapate mikopo bure.
Kwanza itafanya watu wasome sana ili kushindania kupata freee education.
 
Ukiwapa KAZI lini Ili upate uhalali wa kuwadai?

Hapo ukute una miaka zaidi ya 60 lakini Bado ni mtumishi wa Serikali.

Ruto ameshavunja Baraza la mawaziri Kwa shinikizo la Hawa Hawa mnaowadharau.
Andamaneni, vijana wa Tanganyika kofia na Flana zinawatosha.
SOMA HAPO SHERIA YA BODI, wapi wamesema utatafutiwa kazi ili ulipe?

19.-(1) It shall be the duty of every loan beneficiary under this Act torepay his debt to the Government through the Board.
(2) The debt that the loan beneficiary shall be liable to repay to theGovernment under subsection
(1), shall be the total sum of money-
(a) calculated on the basis of student loan agreement;
(b) which shall be established as a fact by the Board as havingreceived by him personally and or through his banka ccount; and

.
 
Hapana yani nilitaka kujau kama wanatafta namba za watu maana watu wengi bila shaka wanabadili namba. Mimi nimemaliza kabla ya usajili wa namba kwa vitambulisho vya nida. Nimemaliza kabla ya vitambulisho la nida so kubadili namba ilikuwa sana tu ndo maana nimeuliza.
Kuhusu kulipa fedha, mimi naona serikali iache kulipisha watu maana ina fedha nyingi za kunua magari, kulipa wenza wa viongozi, kupeleka wasanii nje lakini si kusomesha watu wake bure. Iweke tu vigezo fulani vya ufaulu watu wapate mikopo bure.
Kwanza itafanya watu wasome sana ili kushindania kupata freee education.
ELIMU ni ya thamani, Si vyema kuwa Bure.

Muhimu hapo ufanye KAZI upate pesa Kisha ulipe Kwa furaha bila kufuatwa fuatwa.
 
Andamaneni, vijana wa Tanganyika kofia na Flana zinawatosha.
SOMA HAPO SHERIA YA BODI, wapi wamesema utatafutiwa kazi ili ulipe?

19.-(1) It shall be the duty of every loan beneficiary under this Act torepay his debt to the Government through the Board.
(2) The debt that the loan beneficiary shall be liable to repay to theGovernment under subsection
(1), shall be the total sum of money-
(a) calculated on the basis of student loan agreement;
(b) which shall be established as a fact by the Board as havingreceived by him personally and or through his banka ccount; and

.
Sasa watalipaje bila kuwa na KAZI yenye kuingiza pesa ya kutosha kulipa?

Unaonaje ukiomba msaada wa jeshi likusaidie kuwaminya watu Hawa wasio na KAZI walipe hizo ml 16 wanazodaiwa Kila Mmoja?🤔
 
Sasa watalipaje bila kuwa na KAZI yenye kuingiza pesa ya kutosha kulipa?

Unaonaje ukiomba msaada wa jeshi likusaidie kuwaminya watu Hawa wasio na KAZI walipe hizo ml 16 wanazodaiwa Kila Mmoja?🤔
Mkuu mtu kama hajavaa kiatu chako hawezi akakuelewa unachomaanisha ,Inasikitisha sana watu wanakuja na facts zao za ajabu , sema maisha ni haya haya 🙏
 
Sasa watalipaje bila kuwa na KAZI yenye kuingiza pesa ya kutosha kulipa?

Unaonaje ukiomba msaada wa jeshi likusaidie kuwaminya watu Hawa wasio na KAZI walipe hizo ml 16 wanazodaiwa Kila Mmoja?🤔
Mwanangu, hilo swali ilibidi kabla ya kuomba mkopo uwaambie kuwa hutalipa bila kazi ili wasikupe.
Kumbe tunalaumu serikali kuhusu ufisadi ila SISI WANANCHI ni mafisadi namba 1.
 
Mkuu mtu kama hajavaa kiatu chako hawezi akakuelewa unachomaanisha ,Inasikitisha sana watu wanakuja na facts zao za ajabu , sema maisha ni haya haya 🙏
Nina HAKIKA tungekuwa live ana Kwa ana,

Angeficha Ujinga wake kuepuka Aibu na fedheha Kwa reaction Kutoka Kwa umma!!
 
Mwanangu, hilo swali ilibidi kabla ya kuomba mkopo uwaambie kuwa hutalipa bila kazi ili wasikupe.
Kumbe tunalaumu serikali kuhusu ufisadi ila SISI WANANCHI ni mafisadi namba 1.
Si kutolipa mkopo pekee,

HAKI ya kwanza ya binadamu, ni HAKI ya kuishi.

Serikali Inatakiwa iwape wananchi wasio na ajira posho ya kujikimu Ili wapate HAKI hiyo muhimu,


Wakiona hawawezi kuwapa pesa ya kula, basi wawatengenezee ajira.

Anyway, nikuulize, ikiwa mkopeshaji anajua hakuna uhakika wa kulipwa sababu hakuna ajira, anakopesha Ili iweje?
 
A
Salaam, shalom!!!

Ninapata malalamiko mengi Kwa vijana wangu wengi Walio mtaani wanaopambana kujitafuta Ili wapate chochote kitu Cha kujikimu mahitaji Yao na ya wanaowategemea.

HESLB, bodi ya mikopo, unapomkopesha mwanafunzi wa chuo, lazima unakuwa na taarifa zake, namba ya simu IPO, namba ya nida , nk nk.

Na Kwa kawaida, mtu huyo akipata KAZI serikalini au sekta binafsi, taarifa zake zikipelekwa NSSF, PSPF,nk lazima mtajua kuwa mtu huyo tayari ameingia mfumo wa kupata pesa, hapo ni sawa kumpigia simu au kuwasiliana na waajiri wake Ili kupata namna Bora ya Kupata mkopo mliomkopesha.

Sasa, kumtumia controll namba kwamba mnamdai M. 16, yaani 16,000,000/= kijana aliyemaliza chuo, hajapata KAZI, Hana hata mia, aliyebomolewa Banda lake la biashara na mgambo wa Jiji,wengine wanarandaranda wakifanya vibarua mtaani, ghafula inaingia message yenye ujumbe ulioambatana na bill ya control namba yenye kuonyesha deni analodaiwa na bodi ya mikopo HESLB, hamuoni kuwa Hali hiyo ni kumuongezea stress?

USHAURI.

1. Bodi ya mikopo, HESLB, kupata pesa yenu kirahisi, wasiliana na Waziri Mwigulu Nchemba na waziri wa Ajira Ili mshauriane, ipatikane namna Bora ya kuwaajiri Hawa vijana Kwa namna mbalimbali Ili pesa ya umma iweze kurudi Kwa wakati.

2. Hakikisheni mifumo inasomana, kama kijana hajaajiriwa mnatakiwa kujua Ili kuepuka usumbufu na stress mnazowasababishia Hawa vijana.

3. TRA, Wizara ya Fedha, viwanda na biashara, Ajira, shirikianeni Ili kusaidia vijana Hawa wafungue kampuni, walelewe na kupata msamaha wa Kodi Ili wakuze biashara zao, waongeze tax base na walipe mikopo wanayodaiwa na bodi ya mikopo HESLB na waweze pia kulipa Kodi Ili kukuza Uchumi wa Nchi.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏. Cc: mwigulu nchemba
Hahahaha wamekuwa kausha damu hii nchi ya hovyo sana
 
Si kutolipa mkopo pekee,

HAKI ya kwanza ya binadamu, ni HAKI ya kuishi.

Serikali Inatakiwa iwape wananchi wasio na ajira posho ya kujikimu Ili wapate HAKI hiyo muhimu,


Wakiona hawawezi kuwapa pesa ya kula, basi wawatengenezee ajira.

Anyway, nikuulize, ikiwa mkopeshaji anajua hakuna uhakika wa kulipwa sababu hakuna ajira, anakopesha Ili iweje?
1. Sasa, waambie chama tawala kitunge sera, zipelekwe bungeni , zipitishwe na itungwe sheria, hakuna shida na si tamko kama unavyofikiri.

2. Mpewe ruzuku wakati mda wote mnakesha vibanda vya kubeti mkikuna nywele za ndani na ku-like picha za kina diamond na Mbosso!

3. Unaacha mashamba bikra huko Itilima, Mbozi na Kigozela unakuja Dar kukesha vijiwe vya pweza ?
 
Salaam, shalom!!!

Ninapata malalamiko mengi Kwa vijana wangu wengi Walio mtaani wanaopambana kujitafuta Ili wapate chochote kitu Cha kujikimu mahitaji Yao na ya wanaowategemea.

HESLB, bodi ya mikopo, unapomkopesha mwanafunzi wa chuo, lazima unakuwa na taarifa zake, namba ya simu IPO, namba ya nida , nk nk.

Na Kwa kawaida, mtu huyo akipata KAZI serikalini au sekta binafsi, taarifa zake zikipelekwa NSSF, PSPF,nk lazima mtajua kuwa mtu huyo tayari ameingia mfumo wa kupata pesa, hapo ni sawa kumpigia simu au kuwasiliana na waajiri wake Ili kupata namna Bora ya Kupata mkopo mliomkopesha.

Sasa, kumtumia controll namba kwamba mnamdai M. 16, yaani 16,000,000/= kijana aliyemaliza chuo, hajapata KAZI, Hana hata mia, aliyebomolewa Banda lake la biashara na mgambo wa Jiji,wengine wanarandaranda wakifanya vibarua mtaani, ghafula inaingia message yenye ujumbe ulioambatana na bill ya control namba yenye kuonyesha deni analodaiwa na bodi ya mikopo HESLB, hamuoni kuwa Hali hiyo ni kumuongezea stress?

USHAURI.

1. Bodi ya mikopo, HESLB, kupata pesa yenu kirahisi, wasiliana na Waziri Mwigulu Nchemba na waziri wa Ajira Ili mshauriane, ipatikane namna Bora ya kuwaajiri Hawa vijana Kwa namna mbalimbali Ili pesa ya umma iweze kurudi Kwa wakati.

2. Hakikisheni mifumo inasomana, kama kijana hajaajiriwa mnatakiwa kujua Ili kuepuka usumbufu na stress mnazowasababishia Hawa vijana.

3. TRA, Wizara ya Fedha, viwanda na biashara, Ajira, shirikianeni Ili kusaidia vijana Hawa wafungue kampuni, walelewe na kupata msamaha wa Kodi Ili wakuze biashara zao, waongeze tax base na walipe mikopo wanayodaiwa na bodi ya mikopo HESLB na waweze pia kulipa Kodi Ili kukuza Uchumi wa Nchi.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏. Cc: mwigulu nchemba
Wakizingatia wazo hili hakika tutafika mbali
 
Si kutolipa mkopo pekee,

HAKI ya kwanza ya binadamu, ni HAKI ya kuishi.

Serikali Inatakiwa iwape wananchi wasio na ajira posho ya kujikimu Ili wapate HAKI hiyo muhimu,


Wakiona hawawezi kuwapa pesa ya kula, basi wawatengenezee ajira.

Anyway, nikuulize, ikiwa mkopeshaji anajua hakuna uhakika wa kulipwa sababu hakuna ajira, anakopesha Ili iweje?
Vitu vingine vinatia hasira mno.
 
1. Sasa, waambie chama tawala kitunge sera, zipelekwe bungeni , zipitishwe na itungwe sheria, hakuna shida na si tamko kama unavyofikiri.

2. Mpewe ruzuku wakati mda wote mnakesha vibanda vya kubeti mkikuna nywele za ndani na ku-like picha za kina diamond na Mbosso!

3. Unaacha mashamba bikra huko Itilima, Mbozi na Kigozela unakuja Dar kukesha vijiwe vya pweza ?
Wamekusikia.
 
Pole sana..
Ila Dawa Ya Deni Ni Kulipa...
 
Salaam, shalom!!!

Ninapata malalamiko mengi Kwa vijana wangu wengi Walio mtaani wanaopambana kujitafuta Ili wapate chochote kitu Cha kujikimu mahitaji Yao na ya wanaowategemea.

HESLB, bodi ya mikopo, unapomkopesha mwanafunzi wa chuo, lazima unakuwa na taarifa zake, namba ya simu IPO, namba ya nida , nk nk.

Na Kwa kawaida, mtu huyo akipata KAZI serikalini au sekta binafsi, taarifa zake zikipelekwa NSSF, PSPF,nk lazima mtajua kuwa mtu huyo tayari ameingia mfumo wa kupata pesa, hapo ni sawa kumpigia simu au kuwasiliana na waajiri wake Ili kupata namna Bora ya Kupata mkopo mliomkopesha.

Sasa, kumtumia controll namba kwamba mnamdai M. 16, yaani 16,000,000/= kijana aliyemaliza chuo, hajapata KAZI, Hana hata mia, aliyebomolewa Banda lake la biashara na mgambo wa Jiji,wengine wanarandaranda wakifanya vibarua mtaani, ghafula inaingia message yenye ujumbe ulioambatana na bill ya control namba yenye kuonyesha deni analodaiwa na bodi ya mikopo HESLB, hamuoni kuwa Hali hiyo ni kumuongezea stress?

USHAURI.

1. Bodi ya mikopo, HESLB, kupata pesa yenu kirahisi, wasiliana na Waziri Mwigulu Nchemba na waziri wa Ajira Ili mshauriane, ipatikane namna Bora ya kuwaajiri Hawa vijana Kwa namna mbalimbali Ili pesa ya umma iweze kurudi Kwa wakati.

2. Hakikisheni mifumo inasomana, kama kijana hajaajiriwa mnatakiwa kujua Ili kuepuka usumbufu na stress mnazowasababishia Hawa vijana.

3. TRA, Wizara ya Fedha, viwanda na biashara, Ajira, shirikianeni Ili kusaidia vijana Hawa wafungue kampuni, walelewe na kupata msamaha wa Kodi Ili wakuze biashara zao, waongeze tax base na walipe mikopo wanayodaiwa na bodi ya mikopo HESLB na waweze pia kulipa Kodi Ili kukuza Uchumi wa Nchi.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏. Cc: mwigulu nchemba
Sawa pesa mkopo lazima kulipwa, lakini sio kwa namna hiyo. Imekaa kienyeji sana kudai hivyo. Ni kama wamepaniki yani. Sijui ni nani anatoa mawazo ya namna hii.
.
 
Sawa pesa mkopo lazima kulipwa, lakini sio kwa namna hiyo. Imekaa kienyeji sana kudai hivyo. Ni kama wamepaniki yani. Sijui ni nani anatoa mawazo ya namna hii.
.
Ni nani mwingine kama sio mtunza kibubu?
 
Back
Top Bottom