Bodi ya Ushauri wa Hospitali Binafsi yazionya Hospitali Binafsi kutokupokea Wagonjwa Wa dharura na Kuwa Discharge Wagonjwa mahtuti

Bodi ya Ushauri wa Hospitali Binafsi yazionya Hospitali Binafsi kutokupokea Wagonjwa Wa dharura na Kuwa Discharge Wagonjwa mahtuti

W
Wewe unawajua Wateja wa Agha Khan lakini? 😂
Wako wangapi hao unaowafikiria? Watanzania wengi ni wakununua Panadol na kutafuna mishe zinaendelea hili ndio kundi no 1 Kwa ukubwa na 2 ni hao wa Nhif na 3 .walio wachache ndio hao unaowasema.Jf imejaa ujuaji na dhahiri shairi ni sehemu ya kupima kiwango Cha unafiki wa Watanzania. Mazungumzo ni muhimu Kwa mustakabari wa afya za Watanzania huu mgogoro hauna tija.
 
Swali ni kuwa Kuna shida gani hapo kuna nini kwanini Inatumika Nguvu nyingi sana?

Kwanini tusijadili hicho.kitita kuliko kutumia Nguvu?
Serikali ya ccm siku zote inatumia nguvu, sasa watasemaje mbele ya walala hoi(Siye). Wamezoea kutuambia mama anaupiga mwingi, sasa kwenye hili Serikali haitaki mjadala wanataka kutumia nguvu na blackmail. Serikali inatoa vibali na usajili wa hospitali binafsi zote nchini, hiyo ndiyo karata yake. Utasikia hospitali isiyotaka kupokea wagonjwa wa NHIF tutaifungia kutoa huduma, hawana jingine.

Jamani tuwe fair na biashara za wenzetu, kama serikali inaona hicho kitita ni kizuri na kinafaa, iboreshe Hospitali za serikali na wagonjwa wote waende huko, wakiwemo Rais, makamu,mawaziri wakuu, mawaziri, wabunge, yani wote bila kujali hadhi ya mpata huduma nasi wananchi wote twende huko hospitali za serikali.

Hospitali binafsi hawapati subsides kwenye vitendanishi, wala dawa. Hawanunui MSD. Huduma zao ziko ghali zaidi kwasababu ya gharama za vitendea kazi, na gharama za utoaji huduma pia. Hivyo NHIF iwalipe kulingana na huduma zao, siyo kuwalinganisha na hospitali za serikali.

Naungana nao kwamba waachwe wajitafutie wateja wa cash kama hawa wa bima hii ya NHIF hawalipi kulingana na huduma inayotolewa. Wanapotoa huduma, wanapeleka bills kwa NHIF, hawa NHIF wanaanza longolongo kwenye malipo, utasikia tunahakiki, mara hatuwezi kulipa hii ni kubwa sana, kwanini ulifanya hiki na sio kile, sasa huo usumbufu wa malipo halafu unakuja baada ya huduma kuwa imeshatolewa, kama huko private ni gharama sana basi wenye bima za NHIF waende huko huko serikalini basi.

Kwanini kulazimishana?
 
Dada yangu Ummy shikilia hapohapo, kuna wahuni wachache wanataka kufanya huduma za afya kuwa biashara kwa expenses za mgonjwa.

Biashara Zipo nyingi lakini siyo Afya za watu tafadhali, kama ni utajiri wakachimbe madini au wakafungue maduka kariakoo na kuagiza mizigo kutoka nje waje wauze wanavyotaka wao. hao wanaijaribu serikali na kujaribu Ku temper na nafasi yako ya Uwaziri wa Afya. Usiwachekee
 
Dada yangu Ummy shikilia hapohapo, kuna wahuni wachache wanataka kufanya huduma za afya kuwa biashara kwa expenses za mgonjwa.

Biashara Zipo nyingi lakini siyo Afya za watu tafadhali, kama ni utajiri wakachimbe madini au wakafungue maduka kariakoo na kuagiza mizigo kutoka nje waje wauze wanavyotaka wao. hao wanaijaribu serikali na kujaribu Ku temper na nafasi yako ya Uwaziri wa Afya. Usiwachekee

Asipokua makini atakua chambo mtu aibuke asolve hiyo shida watu wapige makofiiii👏👏
Wana ccm wazee wa propaganda wapate ya kuzungumza wakiombea kura
 
Kitita hakina tatizo hawa binafsi wamezoea dawa ya 200 wanachaji 1000, binafsi ningezifungia leseni haospitali mbili za mfano mpaka sasa
😅😅
Kuna wakati si Vibaya Kunyamaza kama huna ufahamu wa kitu sio Dhambi kufanya hivyo..

Unajua bei za Dawa huwa wanapanga nani??
Bei za Bima za kitita huwa anapanga nani..
Nyamaza kama hujui sio lazma kila mada uchangie
 
Dada yangu Ummy shikilia hapohapo, kuna wahuni wachache wanataka kufanya huduma za afya kuwa biashara kwa expenses za mgonjwa.

Biashara Zipo nyingi lakini siyo Afya za watu tafadhali, kama ni utajiri wakachimbe madini au wakafungue maduka kariakoo na kuagiza mizigo kutoka nje waje wauze wanavyotaka wao. hao wanaijaribu serikali na kujaribu Ku temper na nafasi yako ya Uwaziri wa Afya. Usiwachekee
SIku ukielewa kuna Hospitali aina Nne utakuwa umekua kiakili..
Kuna FBO (Ambazo ni za kidini) hawa ni Non profit organisation
Kuna Serkali (Gavo)
Kuna Private ambao ni profitable Organisation
Na kuna private ambao ni charity organisation wanafnaya kazi chini ya Non profit..

Sasa huwezi kulazimisha Profitable organisation kuifanya iwe non profit..

Kuna nyimbo ya nyuma kidogo ya banza stone na Ali choki (Mchinga sound) inasema Elimu ya Mjinga ni majungu..
 
Ni aibu kuona magonjwa yamekuwa mtaji mbele ya baadhi ya binadamu!
Kwani kunashida gani hii fedha ikazunguka humo humo serikalini kwa kuanzisha vituo vya kutoa huduma hadimu kila wilaya!!? Maana ni upuuzi dawa ya 30 kwa kidonge unauziwa kwa 5000! Kuna maamuzi engine hayahitaji PHD au masters kuyatekeleza ni uamuzi tu na utendaji! Wapeni jeshi kitengo cha matibabu waje na plan kama huko bingeni hamuwezi!
Hakuna Dawa ya 30 inayouzwa 5000..
Ningeomba mnitajie wote..
Otherwise mnapush #
 
W

Wako wangapi hao unaowafikiria? Watanzania wengi ni wakununua Panadol na kutafuna mishe zinaendelea hili ndio kundi no 1 Kwa ukubwa na 2 ni hao wa Nhif na 3 .walio wachache ndio hao unaowasema.Jf imejaa ujuaji na dhahiri shairi ni sehemu ya kupima kiwango Cha unafiki wa Watanzania. Mazungumzo ni muhimu Kwa mustakabari wa afya za Watanzania huu mgogoro hauna tija.
Kwani Aghkani imeanza kupokea Bima Lini mkuu??
Shida watoto wa siku hizi wanajifanya wanajua halafu kumbe empty
 
SIku ukielewa kuna Hospitali aina Nne utakuwa umekua kiakili..
Kuna FBO (Ambazo ni za kidini) hawa ni Non profit organisation
Kuna Serkali (Gavo)
Kuna Private ambao ni profitable Organisation
Na kuna private ambao ni charity organisation wanafnaya kazi chini ya Non profit..

Sasa huwezi kulazimisha Profitable organisation kuifanya iwe non profit..

Kuna nyimbo ya nyuma kidogo ya banza stone na Ali choki (Mchinga sound) inasema Elimu ya Mjinga ni majungu..
Vyovyote lakini haikupaswa kuacha kupokea wagonjwa na kuwaondoa wagonjwa mahututi wodini ndani ya muda mfupi bila kujali madhara yatakayojitokeza.

Kwa mfano vyovyote itakavyokuwa alafu wale wagonjwa wakapoteza maisha kutokana na huo mgogoro ni Nani anaweza kufidia uhai?
 
La umeme halijaisha tunaletewa drama nyingine tena.Ila hii awamu hii Mungu tu aingilie kati
 
Nchi za dunia ya tatu, usicheze na aliyeshika mpini ukiwa umeshika makali utaumia tu.

Soon wataanza kulia.

Na hii haihusiani na nani yupo right, nani ypo wrong.

Ila namjua atakayelia ni nani mwisho wa hili game.
Tumieni akili sio mabavu! Mmeshindwa kwa hoja sasa mnataka kutumia nguvu…! Kwanini msiseme wote waende muhimbili? Kwanini serikali inataka kuwagandamiza watoa huduma kwa kigezo cha kuwasaidia wapewa huduma? Watu wengi hasa watumishi wa Umma wanakatwa pesa nyingi kwenye mishahara yao halafu mnaleta siasa! Hizo hospitali zitajiendesha vipi?
 
Serikali wawekeeni vikwanzo vya kiuchumi ikibidi ukaguzi mpaka chooni najua watapatikana watakaorudi.
 
Tatizo kubwa naliona ni mkurugenzi wa BIMA ameshupaza sana shingo na anamfanya waziri naye awe mbaya
Ummy anakwenda kutuletea janga…hawa watu kamwe wasigandamizwe wakaendesha huduma kwa hasara kwa kutudanganya kuwa kuna maboresho wakati hayazingatii uhalisia…..! Kitakachotoea ni kwamba na wao wataanza kuwabagua wenye bima na kuwanyima dawa na kuwakatalia baadhi ya Vipimo!
 
Basi wajaribu kuendana na matakwa ya mikataba yao kama ikishindikana wafunge tu. Niliskia pahala walikuwa wanasema polyclinic binafsi zimekuwa nyingi, watu wa sera wanajaribu kuzipunguza maana tusiwe waongo NHIF imewatajirisha wamiliki wengi wa hospitali binafsi.
Sana hizi hospitali zinapiga hela kiujanjajanja sana haswa kwa wagonjwa wa bima
 
Vyovyote lakini haikupaswa kuacha kupokea wagonjwa na kuwaondoa wagonjwa mahututi wodini ndani ya muda mfupi bila kujali madhara yatakayojitokeza.

Kwa mfano vyovyote itakavyokuwa alafu wale wagonjwa wakapoteza maisha kutokana na huo magodoro ni Nani anaweza kufidia uhai?
Samahani Ulikuwa na Umri gani pale Migomo ya madakatri ilipokuwa ikifanyika??

Unafahamu Kuwa Mgomo inaruhusiwa Kisheria ili kulinda maslahi ya Huduma??

Tuanze na hayo maswali kwanza
 
Wale specialist wa hadi dispensary sijui watakula wapi
 
Back
Top Bottom