Tetesi: Bodi ya Ushauri ya Kimataifa Kuhudhuria Mazungumzo ya Barrick/Acacia na Serikali

Tetesi: Bodi ya Ushauri ya Kimataifa Kuhudhuria Mazungumzo ya Barrick/Acacia na Serikali

Kwa akili zako hapo unaona utashinda nn ?
Mikataba ipo, mlisaini wenyewe na vipengele vyote vipo wazi, every detail clearly stipulated.

God knows wtf did someone lied na kutoa tafsiri ya urongo kuwa wametubu, watalipa. Hapo ndo inabidi msikitike sana maana so called mwizi akitubu si anapewa adhabu au samehewa ?

If it was, as it is claimed to be, basi uchimbaji ungesimamishwa asap, sasa mbona mizigo inaendelea kutoka km kawa.

BTW kuwaita vidume tayari tulishaonyesha weakness kubwa if that is where you base in running your mouth !!

Tunasikitisha sana kwa kweli.

Yaani toka juzi watu washaanza kukubali kushindwa kabla hata ya kuanza kwa hayo mazungumzo kisa tu wameona kuna majina ya wazungu flani flani.

Kwanza nani anajua kama hao watu ndo watahusika na hayo mazungumzo?

Na hata wakihusika, so what? So freakin' what?
 
Dah!

Kwani hao nao si ni watu tu kama sisi!

Yaani tayari watu mshaonyesha hali ya kushindwa hata kabla ya kuanza kwa hayo mazungumzo kisa tu eti ya watu waliomo kwenye hiyo bodi ya hiyo kampuni!

Kwani tunaenda kushindana kurusha maroketi angani?

Bure kabisa!!!!!
wacha tupigwe tu ccm ndio ilitaka yatokee haya
 
Haya ni majina tu, usiogope.
Pia hawa jamaa ndo wenye mali ndo maana wote kwa ujumla Wao wanakuja kujitetea kwa udhalimu wao.
 
Hii bodi ya ushauri nani kaialika? Hawawezi kujialika! Tusiwaruhusu! Maana wezi wetu wanatoka huko huko!
 
Wakuu kazi haitakuwa ya Kitoto na tunatakiwa tuandae jopo letu la wataalamu na wanasheria vichwa n'a makini sana. Inasemekana Bodi ya Ushauri ya Kimataifa itakuwepo katika mazungumzo yajayo kati ya Barrick/Acacia n'a Serikali ya Tanzania. Kazi ya Bodi hii itakuwa ni kutoa Ushauri katika Mikataba iliyosainiwa zamani n'a pande hizo mbili. Sasa huenda katika mazungumzo hayo tukawashinda n'a tukapata pesa zetu au tukaambulia patupu kwa kuwa Mikataba tuliisaini wenyewe n'a makubaliano tuliingia. Na Nadhan watakuja na ushahidi wa picha, vielelezo na video.
Nisiende mbali, Hebu wajue wajumbe wa Bodi hii ya Ushauri ya kimataifa, tukiwajua itakuwa vizuri kujiandaa na kuwaandaa wataalamu wetu:

Bodi Ina members 12 ambapo wako Mawaziri Wakuu wastaafu wawili na mawaziri wengine wanne wa nchi nne tofauti na inaongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Canada, Brian Mulroney. Pia kuna Waziri Mkuu wa zamani wa Hispania, Jose Maria Aznar na Spika wa zamani wa bunge la wawakilishi la Marekani, Newt Gingrich. Yumo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, John Baird na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani, William Cohen na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Shirikisho la Ujerumani, Karl-Theodor zu Guttenberg. Yumo aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Margreth Thatcher na John Major kuhusu masuala ya nchi za nje. Pia yuko Mtanzania na mwafrika pelée Balozi Juma Mwapachu.
Wakuu kazi haitakuwa ya Kitoto na tunatakiwa tuandae jopo letu la wataalamu na wanasheria vichwa n'a makini sana. Inasemekana Bodi ya Ushauri ya Kimataifa itakuwepo katika mazungumzo yajayo kati ya Barrick/Acacia n'a Serikali ya Tanzania. Kazi ya Bodi hii itakuwa ni kutoa Ushauri katika Mikataba iliyosainiwa zamani n'a pande hizo mbili. Sasa huenda katika mazungumzo hayo tukawashinda n'a tukapata pesa zetu au tukaambulia patupu kwa kuwa Mikataba tuliisaini wenyewe n'a makubaliano tuliingia. Na Nadhan watakuja na ushahidi wa picha, vielelezo na video.
Nisiende mbali, Hebu wajue wajumbe wa Bodi hii ya Ushauri ya kimataifa, tukiwajua itakuwa vizuri kujiandaa na kuwaandaa wataalamu wetu:

Bodi Ina members 12 ambapo wako Mawaziri Wakuu wastaafu wawili na mawaziri wengine wanne wa nchi nne tofauti na inaongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Canada, Brian Mulroney. Pia kuna Waziri Mkuu wa zamani wa Hispania, Jose Maria Aznar na Spika wa zamani wa bunge la wawakilishi la Marekani, Newt Gingrich. Yumo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, John Baird na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani, William Cohen na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Shirikisho la Ujerumani, Karl-Theodor zu Guttenberg. Yumo aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Margreth Thatcher na John Major kuhusu masuala ya nchi za nje. Pia yuko Mtanzania na mwafrika pelée Balozi Juma Mwapachu.
Kwanza nani kawaalika hao watu,tumeshiriki katika maamuzi kwamba wawepo?What is going on here.Kuna kitu nyuma ya pazia.Frankly hatuhitaji hao watu katika majadiliano,kwa kuwa haitakuwa kesi mahakamani.Wanachopanga kufanya hawa ni kutu bully.These guys are bullies. Tuhakikishe kwamba kila kitu kinakwenda na kufanywa kufuatana na sheria zetu zilizopo.

Hata hivyo ni kweli kwamba ni lazima tuwe na wataalam mahiri.Ni lazima pia tu-identify clearly their mistakes.Tuende huku tunajua exactly wapi wamejikwaa.
 
Dah!

Kwani hao nao si ni watu tu kama sisi!

Yaani tayari watu mshaonyesha hali ya kushindwa hata kabla ya kuanza kwa hayo mazungumzo kisa tu eti ya watu waliomo kwenye hiyo bodi ya hiyo kampuni!

Kwani tunaenda kushindana kurusha maroketi angani?

Bure kabisa!!!!!
Nyani siku zote ni nyani tu hata akiwa ngabu bado ni nyani tu, kila siku unawasifia wamarekani leo hii ndo unagundua kuwa nao ni binaadam kama sisi
 
Sema wabongo hatuna waandishi mahiri wa propaganda wanaojua kupress mambo. Hii issue ilitakiwa ishadadiwe na international news like CNN etc na issue za rushwa na credibility za taasisi kama lse ziwe questioned. So far tunaonekana mafala tu maana hakuna taasisi yeyote ya kiuchunguzi int. Iliyochukua Hatua madhubuti like other scandal zilizopelekea baadhi ya taasisi kupewa adhabu. Level yetu ya kufikiri na kupambanua mambo IPO questioned, Tumeangalia angle moja na kampuni moja tu tumeacha kiini ambacho ni uwezo wetu wa kujitawala.
 
Back
Top Bottom