Kwa akili zako hapo unaona utashinda nn ?
Mikataba ipo, mlisaini wenyewe na vipengele vyote vipo wazi, every detail clearly stipulated.
God knows wtf did someone lied na kutoa tafsiri ya urongo kuwa wametubu, watalipa. Hapo ndo inabidi msikitike sana maana so called mwizi akitubu si anapewa adhabu au samehewa ?
If it was, as it is claimed to be, basi uchimbaji ungesimamishwa asap, sasa mbona mizigo inaendelea kutoka km kawa.
BTW kuwaita vidume tayari tulishaonyesha weakness kubwa if that is where you base in running your mouth !!
Mikataba ipo, mlisaini wenyewe na vipengele vyote vipo wazi, every detail clearly stipulated.
God knows wtf did someone lied na kutoa tafsiri ya urongo kuwa wametubu, watalipa. Hapo ndo inabidi msikitike sana maana so called mwizi akitubu si anapewa adhabu au samehewa ?
If it was, as it is claimed to be, basi uchimbaji ungesimamishwa asap, sasa mbona mizigo inaendelea kutoka km kawa.
BTW kuwaita vidume tayari tulishaonyesha weakness kubwa if that is where you base in running your mouth !!
Tunasikitisha sana kwa kweli.
Yaani toka juzi watu washaanza kukubali kushindwa kabla hata ya kuanza kwa hayo mazungumzo kisa tu wameona kuna majina ya wazungu flani flani.
Kwanza nani anajua kama hao watu ndo watahusika na hayo mazungumzo?
Na hata wakihusika, so what? So freakin' what?