Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Vp mkuu uliipataga?Black cavier ni habari nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp mkuu uliipataga?Black cavier ni habari nyingine
mimi zoote nitatumia lakini nilishagota kwa SEDUCTION.
Sikufanikiwa kupata hapa Tanzania,still natafuta!!nlibahatika kuletewa mbili tu from Dubai,ikawa kama bahatiVp mkuu uliipataga?
If you have a man,mtafutie.ThenVp mkuu uliipataga?
Seduction ina harufu nzuri kwakweli.
Sawa mkuu nkipata man wangu ntamnunulia au ukiagiza niagizie na mimi niitest kwanzaIf you have a man,mtafutie.Then
THANK ME LATER
Sawa MkuuSawa mkuu nkipata man wangu ntamnunulia au ukiagiza niagizie na mimi niitest kwanza
namix na hiz za forever ahh kwatuu.o.
Hizo za malaki!!!
Uwiiii nafwaaa.
inakaa sana ... mie nakaga nayo hy moyo hauumi..itafute
Tupe testimony chief..
Ushawahi kupata attention kisa unyunyu??..or serious complement??!!
Daah me naomba moja tu ya kuchanganyia ntatafuta
Hizo hapo changanya View attachment 949591View attachment 949592
Hahahaaaa!! Mie nahisi nitaumwa walah.
Niliwahi kununuliwa moja ya oriflame kuja kujua bei yake hela iliniuma kama nimetoa mimi. Kati ya vitu naumwaga nikinunua ni simu na perfume.
Haha Espy umenifanya nicheke mrembo unaumia Oriflame ambazo bei zake nyingi hazizidi 150? Mfano mimi hizo nilizoorodhesha hapo bei ya chini ni 70$ labda na hiyo Creed Aventus ni $425 na nipo radhi nilale njaa ila niipate
Wanawake wakipagawa watakua wanaiulizia jina lake tu na wenyew wakaitafuteHizi ni za Wanaume mkuu na huwavutia sana wanawake sasa wewe Ke utawafanya Ke wenzako wapagawe nawe.
Jiangalie kijana nitakuroga maana nimechoKa kuroga watu mpaka nilipigwa BANUtani tu mzee wangu...
Jiangalie kijana nitakuroga maana nimechoKa kuroga watu mpaka nilipigwa BAN
hii hali imenifanya hata perfume situmiiMie harufu nikishaizoea inafikia hatua inanikera, hivyo siwezi kuwa na signature perfume.