Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Kweli mkuu tunatofautiana, simu na perfume zinaniuma balaa kununua.
Duh kama simu inakuuma pia inamaana unatumia za aina gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu tunatofautiana, simu na perfume zinaniuma balaa kununua.
hii hali imenifanya hata perfume situmii
nikijipulizia mara2 tu nagawa.mwili wangu kuwa na harufu ngeni ptuuuu! siwezi
Wanawake wakipagawa watakua wanaiulizia jina lake tu na wenyew wakaitafute
Duh kama simu inakuuma pia inamaana unatumia za aina gani?
mm binafsi pafyumu haina kipaumbele kwanguYaani na huwa sizimalizi, baada ya muda kidogo naichoka tu harufu yake natafuta nyingine.
Sanaaa aiseeHaha haya bhn but kunukia kuzuri aisee
Perfume inategemea uwezo wako ni upi mkuu...
Mfano mimi napenda kuchanganya Acqua di gio Profumo na the one ya Dolce & Gabanna.... nyingine ni Bleu de Chanel na Alure home sport ya Chanel... ya tatu ni Aventus Creed na Dior Sauvage
Perfume ninazotumia zenyewe tu na zina harufu strong na nzuri ni;
- Nautica voyage
- Cool water
- Le Male ya Paul Gaultier
- Acqua Di Gio Essenza ya Giorgio Armani
- Tomford Noir
-Guess Seductive Home
-Spice bomb ya Victor & Rolf
NB: hizo perfume hapo ni very expensive.
Hahahahaaa!! Za bei rahisiiii.
Simu ghali nilowahi kununua ni ya laki4 walahi hela yangu iliniuma kila nikiiangalia simu napatwa hasira ilibidi nimpe dogo tu.
Wazee wa kunukia ..unyunyu kama woteKweli mkuu unazijua zote za ukweli hata mi nnazo Nautica Voyage, Spice bomb, Tom Ford Tobacco' vanille, Azarro wanted ,Giorgio Amani Aqua DI, Angel Men etc kitu ambacho wabongo wengi hawajui kuanzia Blackfriday ianze nyingi zimepungua bei zaidi ya 50% online purchase ktk Top supermarket USA
Teh teh kweli tunatofautiana mi simu natumia kwa model ya mwaka mfano iPhone ya mwaka huu ikitoka nahamia huko kutumia iPhone ya nyuma najikuta mzee nisiyeenda na wakati.
Wazee wa kunukia ..unyunyu kama wote
Kweli mkuu unazijua zote za ukweli hata mi nnazo Nautica Voyage, Spice bomb, Tom Ford Tobacco' vanille, Azarro wanted ,Giorgio Amani Aqua DI, Angel Men etc kitu ambacho wabongo wengi hawajui kuanzia Blackfriday ianze nyingi zimepungua bei zaidi ya 50% online purchase ktk Top supermarket USA
Wabahili tuendelee na spray zetu za buku 5[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa!!
hii hali imenifanya hata perfume situmii
nikijipulizia mara2 tu nagawa.mwili wangu kuwa na harufu ngeni ptuuuu! siwezi
We jamaa ni mrembo hatariPerfume inategemea uwezo wako ni upi mkuu...
Mfano mimi napenda kuchanganya Acqua di gio Profumo na the one ya Dolce & Gabanna.... nyingine ni Bleu de Chanel na Alure home sport ya Chanel... ya tatu ni Aventus Creed na Dior Sauvage
Perfume ninazotumia zenyewe tu na zina harufu strong na nzuri ni;
- Nautica voyage
- Cool water
- Le Male ya Paul Gaultier
- Acqua Di Gio Essenza ya Giorgio Armani
- Tomford Noir
-Guess Seductive Home
-Spice bomb ya Victor & Rolf
NB: hizo perfume hapo ni very expensive.
Wabahili tuendelee na spray zetu za buku 5[emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu hizo perfume za laki moja[emoji23][emoji23] daaah sitawezaTumia high end perfume hutojuta
hongera kwa kumaliza kidato cha nne, umekuja lini mtaani? simu umenunuliwa mpya au umepewa used na shangazi? vipi mitihani ilikuaje lakin?habari
kama kichwa kinavojieleza hapo kuna sehem nilisikia ukichanganya baadhi ya pyafum au body spray zaidi ya moja znatoa harufu nzur halafu unique ningependa kujua mnapendekeza zipi
asanteni
We jamaa ni mrembo hatari
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Rungu + hit = hirungu