Tetesi: Boeing 787 5H TCG Kutua Nchini Ijumaa 06/07/2018

Tetesi: Boeing 787 5H TCG Kutua Nchini Ijumaa 06/07/2018

Trudo Justine ni dogo wa miaka chini ya nusu ya watawala wengi,Anazuaia matumizi ya Kijinga lakini mafanikio yanaonekana,look at you,Maisha hayaeleweki hata yanapelekwa sayari gani,tunajaza white elephant projects bila kuangalia where are the Farmer who need market,where are the propers seeds,where are the tangible market strategy.Poor us.
Mambo yote hayawezi kwenda kwa pamoja mkuu,kwa kuwa resources hazitoshi.Sijui kama unajua concept ya prioritization kweli wewe na sijui kama unajua kwamba priority yako inaweza isiwe yangu kweli.Hata hivyo tukumbuke kwamba serikali hii ipo kisheria na tumeipa mamlaka ya kutuongoza.Sasa kwa kuwa tumekubali kwamba ituongozee,ni lazima tuiache ifanye kazi.Jambo la msingi ni kwamba tunaona matumizi ya fedha yetu.Mbona serikali tatu zilizopita hazikutufanyia lolote,si afadhali hii tunaona tangible results.Mtu mmoja mmoja unaweza usikubaliane na mambo serikali inayofanya,lakini mimi naamini kwamba majority ya watu wanakubaliana na kile serikali hii inachofanya.Siku zote tukumbuke kwamba ufalme uliogawanyika hauwezi kusimama,kwa hiyo tumuunge mkono Rais kwa maendeleo chanya ya taifa letu.Tukiwa na umoja the sky will be the limit.
 
Mambo yote hayawezi kwenda kwa pamoja mkuu,kwa kuwa resources hazitoshi.Sijui kama unajua concept ya prioritization kweli wewe na sijui kama unajua kwamba priority yako inaweza isiwe yangu kweli.Hata hivyo tukumbuke kwamba serikali hii ipo kisheria na tumeipa mamlaka ya kutuongoza.Sasa kwa kuwa tumekubali kwamba ituongozee,ni lazima tuiache ifanye kazi.Jambo la msingi ni kwamba tunaona matumizi ya fedha yetu.Mbona serikali tatu zilizopita hazikutufanyia lolote,si afadhali hii tunaona tangible results.Mtu mmoja mmoja unaweza usikubaliane na mambo serikali inayofanya,lakini mimi naamini kwamba majority ya watu wanakubaliana na kile serikali hii inachofanya.Siku zote tukumbuke kwamba ufalme uliogawanyika hauwezi kusimama,kwa hiyo tumuunge mkono Rais kwa maendeleo chanya ya taifa letu.Tukiwa na umoja the sky will be the limit.
But,kuna double standard,hebu imagine Veta inavurugwa nyuma ya pazia stahiki zote zinakatwa kwa kisingizio cha kutekeleza amri za juu,mkurugenzi anakaimu kwa zaidi ya miaka sits,this is insane,Haya mambo hayatawaacha salama,laana itawafuata had kwenu,ni wazi furaha.
 
Back
Top Bottom