CAG huyo huyo kasema mbowe kajikopesha bilioni mbili,lakini wapambe kuficha aibu mnashabikia ya ccm tu,ili hilo la bilioni mbili lipite na mmefanikiwaTatizo kubwa sana mnalo... Imefika mahala hata CAG hamumuamini kwa vile tu kasema makosa yenu... SI unakumbuka habari ya Bilioni 1,500/- na yale maswali ya bwana mjkubwa kwa CAG?
Mmefika mahala anayewakosoa ni adui yenu
mmefika mahala pa kutowakosoa hata wateule wake pale wanapokosea....