Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Hizo ni tuhuma nzito,nipe majina ya waliozikopa,vinginevyo unyamaze.Kwa nini wanazikopa toka ktk mifuko ya jamii ikiwa nao wanahusika? Kama wanahusika kwa nini wafanyakazi walalamike ikiwa mbia mwenzao kachukua pesa?