Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Oct 13, 2024 #61 Duh aiseee
The Loyalty King JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 1,298 Reaction score 2,124 Oct 13, 2024 #62 Xi Jinping said: Wanarudi nyumbani Ona CEO alichowaambia: "Tunajua maamuzi haya yatasababisha ugumu kwenu, familia zenu , na ninatamani kwa dhati tungeepuka kuyachukua, hata hivyo, ili tuokoe biashara yetu kwa siku zijazo tunahitaji kuchukua hatua kali." Click to expand... 🤣
Xi Jinping said: Wanarudi nyumbani Ona CEO alichowaambia: "Tunajua maamuzi haya yatasababisha ugumu kwenu, familia zenu , na ninatamani kwa dhati tungeepuka kuyachukua, hata hivyo, ili tuokoe biashara yetu kwa siku zijazo tunahitaji kuchukua hatua kali." Click to expand... 🤣
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 3,651 Reaction score 11,548 Oct 13, 2024 Thread starter #63 zithromax said: Inflation print more dollar Click to expand... Umesema vyema
The Loyalty King JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 1,298 Reaction score 2,124 Oct 13, 2024 #64 Ausar said: Ndo hivyo kua miaka 50 kwenye game haijalishi chochote kwa dunia ya sasa Click to expand... Ni Sawa na kuwa wakwanza kuzaliwa ktk family halafu mdogo wako wa mwisho akupite kiuchumi🤣
Ausar said: Ndo hivyo kua miaka 50 kwenye game haijalishi chochote kwa dunia ya sasa Click to expand... Ni Sawa na kuwa wakwanza kuzaliwa ktk family halafu mdogo wako wa mwisho akupite kiuchumi🤣
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 3,651 Reaction score 11,548 Oct 13, 2024 Thread starter #65 Ausar said: Ndo hivyo kua miaka 50 kwenye game haijalishi chochote kwa dunia ya sasa Click to expand... Miaka ya 70s Marekani aliteka soko la dunia kwenye ship building, kufikia miaka ya 80s mpaka 90s Mkorea Kusini na Japan wakamreplace Marekani Miaka ya 80s Japan ilikuwa global top exporter wa electronics baada ya kui-overtake Marekani Miaka ya 90s Japan na Marekani zilikuwa na global market share kubwa sana kwenye uzalishaji na uuzaji wa solar tech kama panel, cells n.k Hadi kufika miaka ya 20s Japan na Ujerumani zilikuwa the top biggest exporters wa magari duniani Kufikia miaka ya mwanzoni mwa 2020 Ujerumani likuwa the top exporter wa machinery worldwide Guess what? Kwenye sekta zote hizo Mchina kapindua meza yeye ndiye top Nakubaliana na maneno yako; "kua miaka 50 kwenye game haijalishi chochote kwa dunia ya sasa"
Ausar said: Ndo hivyo kua miaka 50 kwenye game haijalishi chochote kwa dunia ya sasa Click to expand... Miaka ya 70s Marekani aliteka soko la dunia kwenye ship building, kufikia miaka ya 80s mpaka 90s Mkorea Kusini na Japan wakamreplace Marekani Miaka ya 80s Japan ilikuwa global top exporter wa electronics baada ya kui-overtake Marekani Miaka ya 90s Japan na Marekani zilikuwa na global market share kubwa sana kwenye uzalishaji na uuzaji wa solar tech kama panel, cells n.k Hadi kufika miaka ya 20s Japan na Ujerumani zilikuwa the top biggest exporters wa magari duniani Kufikia miaka ya mwanzoni mwa 2020 Ujerumani likuwa the top exporter wa machinery worldwide Guess what? Kwenye sekta zote hizo Mchina kapindua meza yeye ndiye top Nakubaliana na maneno yako; "kua miaka 50 kwenye game haijalishi chochote kwa dunia ya sasa"
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 3,651 Reaction score 11,548 Oct 13, 2024 Thread starter #66 Numbisa said: Duh aiseee Click to expand... Wanavuna walichopanda
A Adiosamigo JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 7,681 Reaction score 9,892 Oct 13, 2024 #67 Laana hio kuwauwa watoto wa Gaza na wanawake wagaza wadio na hatia sababu ndege zao F16 F15 na F35 zinahusika wacha na bado.
Laana hio kuwauwa watoto wa Gaza na wanawake wagaza wadio na hatia sababu ndege zao F16 F15 na F35 zinahusika wacha na bado.
Kapumpuli JF-Expert Member Joined Aug 11, 2018 Posts 2,040 Reaction score 2,674 Oct 13, 2024 #68 Xi Jinping said: Umesema vyema, so far Boeing imesharudi nyuma njia imekuwa nyeupe kwa Airbus Click to expand... Hakika... Airbus washindwe wenyewe Sasa....
Xi Jinping said: Umesema vyema, so far Boeing imesharudi nyuma njia imekuwa nyeupe kwa Airbus Click to expand... Hakika... Airbus washindwe wenyewe Sasa....