mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
Hao ni UGANDA sis ni TANZANIA.Halafu pia wakati wa JK tulilalamika kwamba ndege hakuna tunapitwa na RWANDA sasa hivi ndege zinakuja bado tunalaumu.Wabongo tunapenda kuongea na kujisahau sana aiseeJamaa niliwaambia hawajui airline industry hawakuskia. Lazima huo ushamba wa kurukaruka kusherehekea ndege ikiland uwaishe ndio waanza kujua mambo. Wanadhani airline industry ni mchezo? Uganda walijaribu wakafeli.😀
Kwani nyie kinachowasaidia ni nini?Ndege zinatusaidia nini sasa
Mpumbavu ni mtu yeyote anayezungumzia jambo asilolijua kwa undani lakini hataki kuuliza ili aweze kujifunza jambo jipya, haisaidii kuendelea kulimbikiza ujinga.
Hahahahahahaha. Uchambuzi wa Mtatiro[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mie huwa sikurupuki ninapoandika humu. Upumbavu wako mwisho mtaa wa lumumba siyo humu. Ndege chache tu hasara ndani ya miaka miwili ni 223.1 billion kwa miaka miwili tu. Kwanini ziongezwe ndege wakati wasafiri hakuna? Ni upuuzi wa hali ya juu kuongeza ndege wakati ushahidi uko wazi ni hasara kubwa kwa Taifa.
Uchambuzi wa Mtatiro J kuhusu ATCL kujiendesha kwa hasara
Utaambiwa una IQ ndogo.
Nimecheka sana audio yake anavyotaja entrepreneurKabisa mwenye IQ kubwa ana Phd uchwara kiswahili hajui na kiingereza pia hakijui.
Mlitaka JPM awe mwalimu wa kiswahili na kiingereza? Nchi si shule ya msingi na Rais si mwalimu wa lughaKabisa mwenye IQ kubwa ana Phd uchwara kiswahili hajui na kiingereza pia hakijui.
Mlitaka JPM awe mwalimu wa kiswahili na kiingereza? Nchi si shule ya msingi na Rais si mwalimu wa lugha
Hahahahahahaha. Uchambuzi wa Mtatiro[emoji2] [emoji2] [emoji2]
we jamaa JPM unamuwaza kuliko unavyomuwaza bibi yakoMie huwa sikurupuki ninapoandika humu. Upumbavu wako mwisho mtaa wa lumumba siyo humu. Ndege chache tu hasara ndani ya miaka miwili ni 223.1 billion kwa miaka miwili tu. Kwanini ziongezwe ndege wakati wasafiri hakuna? Ni upuuzi wa hali ya juu kuongeza ndege wakati ushahidi uko wazi ni hasara kubwa kwa Taifa.
Uchambuzi wa Mtatiro J kuhusu ATCL kujiendesha kwa hasara
Hapo ndio tatizo linapoanzia huku Africa, so long as ameandika vile unavyopenda wewe unaita ni ukweli, kwa yule ambaye ana mitazamo tofauti na Mtatiro atasema ni uongo,sasa tusimamie wapi sisi ambao ni neutral?. Kwa watu walioendelea ki akili huwa wanathamini sana professionals, lazima huyo mtu anayetoa huo uchambuzi ni mtu aliyebobea katika eneo husika, sio kila mtu anaweza kuzungumzia topic yoyote kwasababu ni mwanasiasa au ni mtu maarufu.Hakuandika uongo, ni ukweli mtupu na Serikali ya waongo kimyaaaa!
Hapo ndio tatizo linapoanzia huku Africa, so long as ameandika vile unavyopenda wewe unaita ni ukweli, kwa yule ambaye ana mitazamo tofauti na Mtatiro atasema ni uongo,sasa tusimamie wapi sisi ambao ni neutral?. Kwa watu walioendelea ki akili huwa wanathamini sana professionals, lazima huyo mtu anayetoa huo uchambuzi ni mtu aliyebobea katika eneo husika, sio kila mtu anaweza kuzungumzia topic yoyote kwasababu ni mwanasiasa au ni mtu maarufu.
Kama kuna tajiri aliyepata utajiri kwa kujua tu kingereza namuomba chief na mimi nikawe tajiri kama yeyeWapi nilipoandika nilitaka awe Mwalimu!? Usipotoshe kile nilichoandika vile utakavyo wewe.
Nakwambia hakuna shirika la ndege la kibiashara halichukui mkopo kwenye ununuzi wa ndege. Nasema hakuna.
Hapo ndio tatizo linapoanzia huku Africa, so long as ameandika vile unavyopenda wewe unaita ni ukweli, kwa yule ambaye ana mitazamo tofauti na Mtatiro atasema ni uongo,sasa tusimamie wapi sisi ambao ni neutral?. Kwa watu walioendelea ki akili huwa wanathamini sana professionals, lazima huyo mtu anayetoa huo uchambuzi ni mtu aliyebobea katika eneo husika, sio kila mtu anaweza kuzungumzia topic yoyote kwasababu ni mwanasiasa au ni mtu maarufu.
Kujua kuongea kiswahili na kiingereza ndio qualification ya maana sana kwa kazi ya Rais? Fikira za kuku hiziWapi nilipoandika nilitaka awe Mwalimu!? Usipotoshe kile nilichoandika vile utakavyo wewe.
Nadhani nimekueleza vizuri sana, kwamba wenye kukubaliana na Mtatiro kama wewe, mtamuelewa haraka sana, wenye kupingana naye wtamponga hata kama anachosema ni sawa, kwasababu tu hana authority au uhalali wa kuzungumzia hilo eneo, yeye ni maoni yake ambayo hayana nguvu ya kukublika kwa sababu sio mtaalamu wa eneo hilo, hata kama ni kweli anachokizungumza.Acha upumbavu hivi unafikiri Serikali ingekaa kimya kwa Mtatiro kuandika kuhusu hasara ya bilioni 223.1 kwa ATCL!? Akili za wapi hizi!?