Boeing kuliinua zaidi AirTanzania yatoa ndege kwa Fujo kwa AirTanzania


Anatuletea hekaya.
Muache maana bado anaugulia maumivu ya maandamano ya NCHI ya KUSADIKIKA YA Insta.

CC: https://www.jamiiforums.com/members/bak.1397/ pole mambe kimangi (the goddess) atakusaidia utajisikia vizuri tena.
 
umezungumzia nigeri vs UAE je populationa umeangalia????

nigeria ina watua zaidi ya 700 million

UAE haizidi watu zaidi ya 10 million
 
Ndugu zangu watanzania kuna Mapunga humu ya kitanzania hasa mabeba box ,yameshajiona mazungu hivyo kila afanyacho Magufuli yatapinga

Nashauri yapuuzeni
 
Hilo shiriki likiendeshwa kiufanisi basi hizo ndege zitakuwa na faida kubwa mno, kama ilivyo shirika la Ethiopian.

Ila likiendeshwa kwa matamko ya kisiasa kila aliyechaguliwa wa jengo la kule Dodoma anatoa tamko juu ya hilo akijisikia, ilimradi aonekane kaongea. Awamu ya tano haishi litaporomoka na ndege zitabaki makopo tu ya kuonesha wageni
 
Straight from my mind! Are you psychic?
 
this is a golden chance, JPM do it b'couse never happen again ever, do'nt listen what's what jelous shout against, HOPE OUR DESTINATION LOOK GREAT AND PRECIOUS, watanzania tusiwe watumwa kamwe na mabeberu kifikra
yani umegonga broken hatari alafu unaongelea utumwa! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ungeanza kwa kiswahili, ukamalizia kwa kiswahili. Yani ungeonekana bonge la HB. Ila saivi πŸ™
 
Nimecheka sana audio yake anavyotaja entrepreneur
Acheni bhana, thats personal. Nakumbuka secondari nilikua napata shida sana kutamka "mitochondria" ila A na B+ zilikua zinanihusu sana kwenye biology.
Cut him some slack.......
 
Ndege zinatusaidia nini sasa
Zinapoleta watalii direct package ya kutalii kule nje inakua na unafuu hivyo kuvutia watalii wengi ambao watafanya kampuni za tours kuwa bize, madereva, wahudumu hotel, wauza vinyago, waongoza watalii, nk kuwa na vipato na mwisho kukua kwa uchumi. Inahitaji elimu ya uchumi na kuzunguka nchi za wengine kuelewa maana yake hasa
 
Heheeee kweli tubaki tu na hizi IDs feki coz usilolijua ni sawa na usiku wa giza
 
Ndege zinatusaidia nini sasa
Mkikosa ndege mnasema, mkipata mnasema. Hivi sisi tumekuwa watu wa aina gani!!?

Juzi juzi hapa niliona thread moja watu wakiisifia KQ kwa kuwa na direct flight to USA na hvyo kuwa rahisi kuteka soko la watalii EA.

Leo na ssi tunakwenda mwelekeo ule tena kwa kasi zaidi, watu wanaweza! Kweli Utz kazi!
 
umezungumzia nigeri vs UAE je populationa umeangalia????

nigeria ina watua zaidi ya 700 million

UAE haizidi watu zaidi ya 10 million

Are you for real and serious with this? Seems you were a familiar stranger in some makeshift school!
 
MMBURULA mwingine huyu!!!! Watanzania wenye uwezo wa kusafiri kwa ndege ni wachache sana hawafiki hata 5% ya Watanzania wote hivyo hizo ndege zitakuwa zinasafiri tupu majority of the time therefore forget about the possibility of making profits. ATCL is a loss making company for so many years to come, in TANZANIA there is no MARKET TO PENETRATE.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…