Boko Haram waua wanajeshi 40 wa Chad

Nilijua hauwezi kosekana🤣
 
Basi huyo anayeshabikia ugaidi ni mpumbavu.
Maana uislam haukubali ugaidi ndio maana hata hao Chad,Burkinafaso ambazo nchi za waislam wengi wanawachukia hao Bokoharam.
Bokoharam ni kikundi chenye maslahi yake binafsi kinachotumia mlengwa wa kidini.
Huwezi jiita wewe muislam halafu unateka wanawake.
Hii katika uislam haikubaliki.
 
I don't want to go into details about utekaji wa wanawake na Uislamu but the thing is, kwanini watumie DINI na baadhi ya watu wa dini yao wawaunge mkono? Na wanatajaga hadi AYA za kuhalalisha ushetani wao; sina kumbukumbu kama nimewahi kumsikia sheikh au kiongozi wa Kiislam popote akiwakemea hawa wanao haribu "dini ya mnyazimungu" but nawasikia mara nyingi wakipinga vitu ambavyo wala havina msingi, wala havina uhusiano na either wao au nchi.
 
Kwa hiyo hapo chad ni wamarekani wanaishi hapo? Hii dini ni laana ya dunia
Kwani wamarekani waliwahi kuishi Iraq Syria Afghanistan au Libya hio dini isio kua laana ya dunia mngeambiwa na mungu wenu papa mufirane
 
Boko Haram wako hata Tanzania wengine ndio nyie lakini sisi hatutavumilia huo upumbavu wenu ufanyieni tu huko Nigeria, Chad, Cameroon na Niger.
Hata wewe boko haram ila bado hujaota mbawa mimi sipo Tanzania tuheshmiane
 
Wazayuni wa jf mna matatizo sana kwamba mtu akiamua kuua halafu akasema Tanzania ama Kenya oye atakua katumwa na Tanzania mashekhe labda uwe hujafatilia na kama tuseme wakiwa hawajasema qur imesemaje
 
Uhujui uislam kaa kimya hao ni wapigania jihad hawana tofauti na Hamas, Hizbullah.
Huna akili hakuna jihadi inapigwana dhidi ya muislam wenzako pia hamas na hizbullah wanapigania ardhi zao
 
'wanamgambo wa Kiislamu wanajulikana kufanya operesheni zao'Kama wanajulikana kwanini hizo serikali haziwachukulii hatua,au wanataka wapate kichapo kama kile anachokifanya Israel kule Palestina na Lebanon...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…