๐๐๐๐looh!mi mwenyewe majina mengine siyajuagi naangalia msanii tu basi natazama muviMimi nikikosa wakorea naangalia wahindi ila majina ya movie zao kushika ni magumu asee nakumbuka tu Bodyguard na Three Idiots[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Indians na boliwood yao siwapendi siwapendi kama ambavyo hawanipendi....huwezi Ku hit sana kama unatokea kundi Fulani la jamiiiii
Kuna jamaa tulimwangalia tangu tukiwa watoto yeye anapangiwa scenes za ovyoovyo tuu kisa ana asili ya uweusi.....ili uhit boliwodi lazima utokee Tabaka fulani la wakaa Mumbai hahaaaaa tofauti na Hollywood any one can hit any time
Congo siyo Kongowe
Sanaa wahindi wabaguzi mnoo..sasa hivi anafanyaga stand up comedy naonaga matangazo yake kwenye TVYaani yule jamaa ilitakiwa awe tajiri kabisaa lakini mfumo wa kitabaka umemkaba vibaya...watoto wadogo wanamkuta ktk gemu wanatusua kisa tu ni tabaka la juu stupid Indian
Congo siyo Kongowe
Mimi nikikosa wakorea naangalia wahindi ila majina ya movie zao kushika ni magumu asee nakumbuka tu Bodyguard na Three Idiots[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bwana namshukuru Mungu mie nipo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umenifanya nicheke kama mwehu ujuee...
Ndo Mimi dear...za kuadimika bibiee
Sijui. Mara ya mwisho nimeangalia movie za kihindi 2015Ngoja nikukumbushe ile movie ya mwisho kuangalia inaitwa jab tak hai jaan
Sent using Jamii Forums mobile app
I always know SRK is king of romance movie in bollywood and Amir Khan is King of all Khan but I was totally wrong dah!.Nilisoma sehemu moja King khan ni mwanadamu anaejulikana zaidi kuliko Tom Cruise..nikakaaa nikauliza hapa nyumbani wangapi wanamjua Srk woteeee...Tom Cruise hayupo hata mmoja zaidi yangu๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐!!!jibu nikalipata mwenyewe
๐๐๐๐๐absolutely wrong broh!I always know SRK is king of romance movie in bollywood and Amir Khan is King of all Khan but I was totally wrong dah!.
๐๐๐๐๐sasa hapo jitoe Mimi hapa Niko Sony Max mida hii naangalia wahindi namuona SRK na Madhuri hapa
Amir khan hakosei akishusha jiwe basi ni LA ukweliKabeba sana tuzo na tena huyo mpuuz ndio hatar kawashika sana wazingu balaa, wanamjua
Lakin wahindi artist wao bora kula kwa sasa huwa inamuangukia.
Amir Khan.
Sent using Jamii Forums mobile app
I missed you too, narudi nashangaa wahenga wenzangu siwaoni kumbe mmebadilikaSawa dear tupo na site!nilikummis kipindi haupoo
Kijana Mumbai ni kama dar ili utoke kisanaa lazima huishi Maharashastra hasa jiji la Mumbai na ukishakuwa star inakulazimu kuishi Mumbai kama wasanii wa Tz walivyojazana dar.Indians na boliwood yao siwapendi siwapendi kama ambavyo hawanipendi....huwezi Ku hit sana kama unatokea kundi Fulani la jamiiiii
Kuna jamaa tulimwangalia tangu tukiwa watoto yeye anapangiwa scenes za ovyoovyo tuu kisa ana asili ya uweusi.....ili uhit boliwodi lazima utokee Tabaka fulani la wakaa Mumbai hahaaaaa tofauti na Hollywood any one can hit any time
Congo siyo Kongowe
Mimi siyo mgeni ktk bolliwood na najua ninachozungumzaKijana Mumbai ni kama dar ili utoke kisanaa lazima huishi Maharashastra hasa jiji la Mumbai na ukishakuwa star inakulazimu kuishi Mumbai kama wasanii wa Tz walivyojazana dar.
Watu kama SRK na Lakshi Lalwani hawajazaliwa Maharashastra lakini sasa hivi wanaishi huko.
Kuhusu huyo jamaa mweusi kupewa scene mbovu sababu kubwa yaweza kuwa mwonekano kwa mfano Hrish Kapoor alikuwa anacheza kama jambazi kwa sababu ya mwonekano.
Mwonekano wa SRK na Hrithik Roshan unawabeba kupewa nafasi ya juu(sterling) kwenye movie.
Karibu Bollywood.
Sorry Sir.
I do have network problem here therefore i need to retype my post but lemme answer this first
Dude i had never been the Rock fan never i remember the last time to watch a film including him was fast and furious seven since there i did not watch any of his film therefore to tell you truth I know nothing about him generally.