Bomba la mafuta EACOP toka Uganda lazima lijengwe

Bomba la mafuta EACOP toka Uganda lazima lijengwe

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Big Up Mheshimiwa Cassim Majaliwa Kassim, Waziri Mkuu wa JMT.

Suala la bomba la mafuta toka Uganda kuelekea Tanga, inapitia kwa umbali mrefu zaidi nchini Tanzania.

Uchumi wa Tanzania utafaidika sana na ujenzi wa bomba hili, kwani kuna wananchi watafaidika moja kwa moja kwa kupata kazi na mafao mengine.
Zaidi ya hapo uchumi wa Tanzania utafaidika kwa vile hii ni biashara ambayo itawashirikisha wengi toka nje ya nchi na mataifa mengine zaidi ya Uganda na Tanzania.

Kelele tulizoona zinapigwa vikundi vya mazingira, hao ni wabaya wetu kimaendeleo.
Tumeona watu hao hao wakipinga kuondolewa wamasai mapori tengefu Loliondo na Ngorongoro.

Kumbe kuwa watu toka Kenya wanaingiza ng'ombe na kulisha/kunenepesha ng'ombe hao Tanzania.

Na hili la bomba la East African Crude Oil Pipeline(EACOP), wanaopinga ni wale wale waliokosa tender na sasa wanataka kuuvuruga mradi wenye faida kwa nchi zetu.

Mbaya zaidi ni mataifa ya Ulaya kulibebea bango suala hili, hili halijakaa vizuri.

Inabidi EU nao wajieleze kwa Watanzania na Waganda kwa nini hawataki nchi hizi ziendelee na kujitegemea.

Hivyo basi nampongeza sana Waziri Mkuu Kassim kwa kupigilia nyundo kuonyesha azama ya nchi zetu hizi kujitegemea kiuchumi kwa mradi huu.

Big up Bro Kassim Majaliwa!

WADAU WAMEANZA KUKUBALIANA NA MH. MAJALIWA
20220927_105336.jpg
 
Big Up Mheshimiwa Cassim Majaliwa Cassim, Waziri Mkuu wa JMT.

Suala la bomba la mafuta toka Uganda kuelekea Tanga, inapitia kwa umbali mrefu zaidi nchini Tanzania.
Uchumi wa Tanzania utafaidika sana na ujenzi wa bomba hili, kwani kuna wananchi watafaidika moja kwa moja kwa kupata kazi na mafao mengine.
Zaidi ya hapo uchumi wa Tanzania utafaidika kwa vile hii ni biashara ambayo itawashirikisha wengi toka nje ya nchi na mataifa mengine zaidi ya Uganda na Tanzania.

Kelele tulizoona zinapigwa na ati vikundi vya mazingira, hao ni wabaya wetu kimaendeleo.
Tumeona watu hao hao wakipinga kuondolewa wamasai mapori tengefu Loliondo na Ngorongoro.
Kumbe kuwa watu toka Kenya wanaingiza ng'ombe na kulisha/kunenepesha ng'ombe hao Tanzania.
Na hili la bomba la East African Crude Oil Pipeline(EACOP), wanaopinga ni wale wale waliokosa tender na sasa wanataka kuuvuruga mradi wenye faida kwa nchi zetu.

Mbaya zaidi ni mataifa ya Ulaya kulibebea bango suala hili, hili halijakaa vizuri.
Inabidi EU nao wajieleze kwa Watanzania na Waganda kwa nini hawataki nchi hizi ziendelee na kujitegemea.

Hivyo basi nampongeza sana Waziri Mkuu Cassim kwa kupigilia nyundo kuonyesha azama ya nchi zetu hizi kujitegemea kiuchumi kwa mradi huu.
Big up Bro Cassim Majaliwa!

Hahahaha Lazima lijengwe Kwa ela gani?
 
Bora ninyi mnapingwa kwenye makaratasi huo mradi,pale Msumbiji wanakotaka kuanza ujenzi, engineer na timu yake wanakoswakoswa na risasi si usiku si mchana.Kinachohuzunisha ni mwanachama mwenzao wa EU,mbaya zaidi ni wanachama wenzie wawili wa EU walompelekea kundi la ISIS.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora ninyi mnapingwa kwenye makaratasi huo mradi,pale Msumbiji wanakotaka kuanza ujenzi, engineer na timu yake wanakoswakoswa na risasi si usiku si mchana.Kinachohuzunisha ni mwanachama mwenzao wa EU,mbaya zaidi ni wanachama wenzie wawili wa EU walompelekea kundi la ISIS.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri Mkuu katusemea watanzania.
Sisi kiusalama tupo vizuri, wangekuta tupo hohe hahe, wangelianzisha.
 
PM wa kwenda kufungua magereza naona kafanya jambo njema Sana kongole kwake but aache uongo

"Rais ni mzima na ana chapa kazi"Pm Majaliwa
 
Big Up Mheshimiwa Cassim Majaliwa Cassim, Waziri Mkuu wa JMT.

Suala la bomba la mafuta toka Uganda kuelekea Tanga, inapitia kwa umbali mrefu zaidi nchini Tanzania.
Uchumi wa Tanzania utafaidika sana na ujenzi wa bomba hili, kwani kuna wananchi watafaidika moja kwa moja kwa kupata kazi na mafao mengine.
Zaidi ya hapo uchumi wa Tanzania utafaidika kwa vile hii ni biashara ambayo itawashirikisha wengi toka nje ya nchi na mataifa mengine zaidi ya Uganda na Tanzania.

Kelele tulizoona zinapigwa na ati vikundi vya mazingira, hao ni wabaya wetu kimaendeleo.
Tumeona watu hao hao wakipinga kuondolewa wamasai mapori tengefu Loliondo na Ngorongoro.
Kumbe kuwa watu toka Kenya wanaingiza ng'ombe na kulisha/kunenepesha ng'ombe hao Tanzania.
Na hili la bomba la East African Crude Oil Pipeline(EACOP), wanaopinga ni wale wale waliokosa tender na sasa wanataka kuuvuruga mradi wenye faida kwa nchi zetu.

Mbaya zaidi ni mataifa ya Ulaya kulibebea bango suala hili, hili halijakaa vizuri.
Inabidi EU nao wajieleze kwa Watanzania na Waganda kwa nini hawataki nchi hizi ziendelee na kujitegemea.

Hivyo basi nampongeza sana Waziri Mkuu Cassim kwa kupigilia nyundo kuonyesha azama ya nchi zetu hizi kujitegemea kiuchumi kwa mradi huu.
Big up Bro Cassim Majaliwa!
Ukweli ni kwamba halitajengwa! Sio kwasababu wazungu hawalitaki, ila kwasababu wakati wa kujenga miradi mikubwa ya mafuta ya petrol na dizel umekwisha kutokana na mwenendo wa hali ya uchafuzi wa mazingira duniani. Tunaofuatilia maswala na renewable energy transition tunajua kuwa si zaidi ya miaka 15 ijayo magari yanayotumia petrol au dizel yatakuwa machache sana na kwa nchi nyingi tu duniani yatakuwa yamepigwa marufuku. Hivyo ya nini kuwekeza kwenye mradi matrilioni yote haya na mradi hautafanya kazi miaka michache tu ijayo?
 
Big Up Mheshimiwa Cassim Majaliwa Cassim, Waziri Mkuu wa JMT.

Suala la bomba la mafuta toka Uganda kuelekea Tanga, inapitia kwa umbali mrefu zaidi nchini Tanzania.
Uchumi wa Tanzania utafaidika sana na ujenzi wa bomba hili, kwani kuna wananchi watafaidika moja kwa moja kwa kupata kazi na mafao mengine.
Zaidi ya hapo uchumi wa Tanzania utafaidika kwa vile hii ni biashara ambayo itawashirikisha wengi toka nje ya nchi na mataifa mengine zaidi ya Uganda na Tanzania.

Kelele tulizoona zinapigwa na ati vikundi vya mazingira, hao ni wabaya wetu kimaendeleo.
Tumeona watu hao hao wakipinga kuondolewa wamasai mapori tengefu Loliondo na Ngorongoro.
Kumbe kuwa watu toka Kenya wanaingiza ng'ombe na kulisha/kunenepesha ng'ombe hao Tanzania.
Na hili la bomba la East African Crude Oil Pipeline(EACOP), wanaopinga ni wale wale waliokosa tender na sasa wanataka kuuvuruga mradi wenye faida kwa nchi zetu.

Mbaya zaidi ni mataifa ya Ulaya kulibebea bango suala hili, hili halijakaa vizuri.
Inabidi EU nao wajieleze kwa Watanzania na Waganda kwa nini hawataki nchi hizi ziendelee na kujitegemea.

Hivyo basi nampongeza sana Waziri Mkuu Cassim kwa kupigilia nyundo kuonyesha azama ya nchi zetu hizi kujitegemea kiuchumi kwa mradi huu.
Big up Bro Cassim Majaliwa!
Wenye mali ndio wataamua ambao ni Uganda na Total Wala sio PM hata angejigamba vipi hana huo uamzi wa mwisho.
 
Pamoja na kuwa litajengwa lakini faida nyingi zitaenda ubeberuni.yaani tunapeleka malighafi yakachakatwe ulaya na masalia mengine yabaki ulaya halafu watuletee tena mafuta yaliyichakwatwa kwa matumizi kwa bei kubwa
 
Back
Top Bottom