Bombardier iliyokuwa imeshikwa imeanza safari kutokea Canada to Tanzania.

Bombardier iliyokuwa imeshikwa imeanza safari kutokea Canada to Tanzania.

Itawasili 31/03/2018 11:35 Asubui. Uwanja wa zamani karibuni nyote
 
Hizi mbili zinakuja mwezi wa 6,
Tutapaa Nairobi, Entebe, Harare, N.k
IMG_20180330_181432.jpg
 
We una roho mbaya ya wivu na uchawi, kafie mbele hukooo!! Rais wetu yuko vizuri, wapinzani uchwara jinyongeni kwa kuwa hamlitakii taifa mema.
Achana na me mbwea wewe!!
Vitu ambavyo ni wajibu wa rais kuvifanya cwez kuvisifia c anatimiza wajibu wake???
Tena chini ya chama lenu LA ajabu miaka 50+ Leo ndo mnaleta ndege????
 
We una roho mbaya ya wivu na uchawi, kafie mbele hukooo!! Rais wetu yuko vizuri, wapinzani uchwara jinyongeni kwa kuwa hamlitakii taifa mema.
Wakijinyonga maiti zao ndo itakuwa chakula ya mkeo au?
 
Back
Top Bottom