Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yale makabrasha ya makinikia yalikuwa yanapelekwa wapi vile? Sio Japan?bigboy blockchain
ukiona hivyo wanatapatapa vitu vya kukamata ujue wameshikwa pabaya. kwa nini wasikamate miaka iliyopita??
Ujue JPM Katoa kibano cha kufa mtu.
blockchain
ukiona hivyo wanatapatapa vitu vya kukamata ujue wameshikwa pabaya. kwa nini wasikamate miaka iliyopita??
Ujue JPM Katoa kibano cha kufa mtu.
Yale makinikia ni mali ya acacia na walieingia nae mkataba wa kumuuzia. Sio mali ya serikali yakishachimbwa na kampuni iliyopewa mamlaka ya kuyachimba. Sijui yanaendaga nchi gani?Hivi yale makabrasha ya makinikia yalikuwa yanapelekwa wapi vile? Sio Japan?
Hivi yale makabrasha ya makinikia yalikuwa yanapelekwa wapi vile? Sio Japan?
Ndio vita ya kiuchumi hiyo, piga nikupige. Lakini sasa hivi hatucheki na kimawote ni majizi tu. wanajifanya kukamata kumbe wanalipiza kisasi makinikia yaliyozuiwa.
Lakini walikuwa hawasemi ukweli walikuwa wanapata nini humo ndani ya makinikia. Mkataba ni wa kuchija dhahabu tuu, zaidi ya hapi sio mali yao. Wao kwa miaka 18 wamekuwa wanapata zaidi ya dhahabu lakini hawasemi. Na hiyo dhahabu hawasemi ukweli ni kiasi gani walikuwa wanapata ili wilipe kodi inayo stahiliYale makinikia ni mali ya acacia na walieingia nae mkataba wa kumuuzia. Sio mali ya serikali yakishachimbwa na kampuni iliyopewa mamlaka ya kuyachimba. Sijui yanaendaga nchi gani?
Ndio vita ya kiuchumi hiyo, piga nikupige. Lakini sasa hivi hatucheki na kima
nyie ni wale ambao bado hawajui wanachokitaka ama kijakazi wa mafisadi ambao kazi yao ni kupinga tu.Taifa letu limekuwa tapeli-tapeli
Poleni mazee, hapa naona Kama wtz mmefanya hivi..View attachment 598338
Inabidi tuchill tuone yatakayojiri[emoji3] [emoji125] View attachment 598339
Bombadia nyingine auKonoike company washafungua kesi kutekeleza hukumu ya kuichukua bombardier kutokana na kuvunjwa kwa mkataba na tanroad ya tanzania. Utaratibu wa kuizuia bombardier canada unaanza.
Source:the citizen tanzania, konoike Company
shallow analysisbigboy blockchain
ukiona hivyo wanatapatapa vitu vya kukamata ujue wameshikwa pabaya. kwa nini wasikamate miaka iliyopita??
Ujue JPM Katoa kibano cha kufa mtu.
Vita ya uchumi ni mbaya more than you think..... Huwezi kushinda vita ya Kiuchumi hata siku moja na ukabaki salama isitoshe Tanzania bado ni nchi maskini bado tunatengemea misaada kutoka kwa hao wazungu.......Ndio vita ya kiuchumi hiyo, piga nikupige. Lakini sasa hivi hatucheki na kima
iio vita tunapamban na nani? na tumeshinda ipi?Vita ya uchumi ni mbaya more than you think..... Huwezi kushinda vita ya Kiuchumi hata siku moja na ukabaki salama isitoshe Tanzania bado ni nchi maskini bado tunatengemea misaada kutoka kwa hao wazungu.......
Tanzania kitu ambacho haita fanikiwa kupambana na vita ya uchumi raia kutokubaliana au kutokumunga mkono rais, hapa ndiyo wazungu wanapo pata mwanya wa kufanya yao kama kudaka hizo dreamliner...
Vita ya uchumi ni bora kupambana na vikundi vya waasi kuliko vita vya uchumi
Kijakazi wa llumumbaVita ya uchumi ni mbaya more than you think..... Huwezi kushinda vita ya Kiuchumi hata siku moja na ukabaki salama isitoshe Tanzania bado ni nchi maskini bado tunatengemea misaada kutoka kwa hao wazungu.......
Tanzania kitu ambacho haita fanikiwa kupambana na vita ya uchumi raia kutokubaliana au kutokumunga mkono rais, hapa ndiyo wazungu wanapo pata mwanya wa kufanya yao kama kudaka hizo dreamliner...
Vita ya uchumi ni bora kupambana na vikundi vya waasi kuliko vita vya uchumi