Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

I.eongea vitu vya kusikia tu au kwa hisia zako kumbe siyo hivyo.

Mkuu document za ICAO na IATA zipo kibao huko mitandaoni kasome uujue ukweli.
Kwa ufupi ukweli ni kwamba ndege zetu haziruhusiwi kutua Nigeria na duniani ( Kuliko endelea...) tuanzie hapo pengine kutamsaidia mtoa mada kuelewa kwanini Simba hawajapanda Bombadier au Dreamliner na ili kupata kibali sio zoezi rahisi hata kidogo (Kuna bureaucracy za kufa mtu)
 
Yakitoka yanakamatwa hayo madege ya Magufuli.
Mwaka wa hasara huu.
 
Hilo ndio jibu sahihi la nini kilichojitokeza.
 
Atcl wana ratiba zao na isitoshwe inawezekana wameona haitalipa au pengine mazingira ya airport ya nigeria hawakuridhika nayo. Pia usilete uzushi, Bombardier haiwezi funga safari hadi Nigeria, na siyo sahihi eti zime park hazina safari.
 
A loss making airline service. Its audit scheme is a security issue.
 
Labda wanaogopa ndege zao kukamatwa.
 
Samahani ndugu wateja kwa muda wote wa kipindi hiki ndege zetu zimejaa na hazitoweza kuvunja ratiba hatutaki mjadala!
 
Ilipoenda kufuata dawa kule Madagasca ilibeba watu wangapi?
Bombadier haina uwezo wakufly Tz to Lagos ila BOEING 787-8 ambayo inabeba watu zaid ya 200 imebebe watu 20 kwenda Lagos mtalipishwa bei gan?
 
Ishu sio bandiko, ukweli wa hayo ayasemayo. Zitolewe details, nani alifuatwa au kupigiwa simu, sio porojo tu halafu mtu uamini. Tujiridhishe, hivyo aturidhishe Kama kweli
Unajua maana ya marketing kwa taasisi zilizomakini? kitendo cha kupata taarifa kua Simba wanataka kusafiri kwenda Abuja ilitosha kwa Atcl kuwafuata ili wafanye biashara siyo Simba mteja kumfuata Atcl.

Jamani kuna majengo makubwa yanajengwa lakini makampuni yanayouza Makangavuke wanakwenda kufanya lobbing kwa client ili wapewe dili.
Badilikeni basi siyo lazima Simba wawafuate Ofisini mwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…