Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

Umeuliza au kufanya utafiti kwanini hawakuenda na AIR TANZANIA au ndio zetu kwa mihemko au unafikiri ndege kama dala dala inaenda sehemu bila mamlaka uhusika ya masuala ya ANGA?
 
Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS.

Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga mpaka Ethiopia, {kuna mapigano kati ya Serikali ya Abey na wanyonge wa Tigrey] na hapo Ethiopia simba watalala na kuondoke kwenda Aabuja Nigeria siku inayofuata kwa ndege ya ETHIOPIA AIRLINE.

Wakati Tanzania tukijigamba kuwa na ndege inayotoka DAr mpaka Mumbai bila kutua hata kituo kimoja imeshindwaje kuwakodishia simba ndege hiyo waende Nigeria moja kwa moja kupunguza gharama za kuzunguka nchi zaidi ya tatu?

Ukiangalia kwa umakini utagundua ATCL hawana Marketing Managers wala officers, ni waru flani walichomolewa kindugu wakapachikwa hapo lakii hawana strategy yeyote kabisa.

inasemekana Mo-Dewji [Mdosi] alikuwa akiwasilina nao lakini wakadengua na hivyo akaamua kuendelea na maisha yake.

C.EO wa Simba Barbara Gonzalez ambaye pia inasemekana so far ndio "pisi kali kwa Tanzania" alijaribu kuomba ndege kutoka ATCL ikashindikana, siyo kwa msaada, hapana kwa kukodisha.

Nawapongeza wote mliojitahidi kutafuta ATCL na pia maafisa wa ATCL ofisi ku ya Ohio mnakula mshahara na kutembelea magari mazuri lakini hamna mnalofanya, shirika linahitaji overhaul, ninyi mpangiwe kazi nyingine, hata kwenda kufundisha VETA huko Katavi hazina walimu.

Mungu ibariki simba ishinde 2-0.

Ungetafuta kwanza kujua kwa nini Simba ilishindwa kufikia muafaka na ATCL kisha ndio uje kuziweka wazi na kulaumu. Nafikiri, kama ambavyo umejitahidi kusikia kutoka Simba Fc, ni vema pia ungepata mrejesho ATCL. Let's be fair.
 
Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS.

Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga mpaka Ethiopia, {kuna mapigano kati ya Serikali ya Abey na wanyonge wa Tigrey] na hapo Ethiopia simba watalala na kuondoke kwenda Aabuja Nigeria siku inayofuata kwa ndege ya ETHIOPIA AIRLINE.

Wakati Tanzania tukijigamba kuwa na ndege inayotoka DAr mpaka Mumbai bila kutua hata kituo kimoja imeshindwaje kuwakodishia simba ndege hiyo waende Nigeria moja kwa moja kupunguza gharama za kuzunguka nchi zaidi ya tatu?

Ukiangalia kwa umakini utagundua ATCL hawana Marketing Managers wala officers, ni waru flani walichomolewa kindugu wakapachikwa hapo lakii hawana strategy yeyote kabisa.

inasemekana Mo-Dewji [Mdosi] alikuwa akiwasilina nao lakini wakadengua na hivyo akaamua kuendelea na maisha yake.

C.EO wa Simba Barbara Gonzalez ambaye pia inasemekana so far ndio "pisi kali kwa Tanzania" alijaribu kuomba ndege kutoka ATCL ikashindikana, siyo kwa msaada, hapana kwa kukodisha.

Nawapongeza wote mliojitahidi kutafuta ATCL na pia maafisa wa ATCL ofisi ku ya Ohio mnakula mshahara na kutembelea magari mazuri lakini hamna mnalofanya, shirika linahitaji overhaul, ninyi mpangiwe kazi nyingine, hata kwenda kufundisha VETA huko Katavi hazina walimu.

Mungu ibariki simba ishinde 2-0.


Kwani ukiwa na Gari zako nzuri na tena ni nzima kabisa zimepaki katika Parking Lot yako na ukaamua Kukodi UBA au hata Bajaji ni tatizo Kijamii?
 
umeharibu uzi wako uliposema “CEO wa simba ambaye anasemekana so far ndio pisi kali Tanzania”
sasa ulitaka tuhonge ndege ? kisa ni mzuri ndio kigezo cha kusikilizwa ?
 
Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS.

Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga mpaka Ethiopia, {kuna mapigano kati ya Serikali ya Abey na wanyonge wa Tigrey] na hapo Ethiopia simba watalala na kuondoke kwenda Aabuja Nigeria siku inayofuata kwa ndege ya ETHIOPIA AIRLINE.

Wakati Tanzania tukijigamba kuwa na ndege inayotoka DAr mpaka Mumbai bila kutua hata kituo kimoja imeshindwaje kuwakodishia simba ndege hiyo waende Nigeria moja kwa moja kupunguza gharama za kuzunguka nchi zaidi ya tatu?

Ukiangalia kwa umakini utagundua ATCL hawana Marketing Managers wala officers, ni waru flani walichomolewa kindugu wakapachikwa hapo lakii hawana strategy yeyote kabisa.

inasemekana Mo-Dewji [Mdosi] alikuwa akiwasilina nao lakini wakadengua na hivyo akaamua kuendelea na maisha yake.

C.EO wa Simba Barbara Gonzalez ambaye pia inasemekana so far ndio "pisi kali kwa Tanzania" alijaribu kuomba ndege kutoka ATCL ikashindikana, siyo kwa msaada, hapana kwa kukodisha.

Nawapongeza wote mliojitahidi kutafuta ATCL na pia maafisa wa ATCL ofisi ku ya Ohio mnakula mshahara na kutembelea magari mazuri lakini hamna mnalofanya, shirika linahitaji overhaul, ninyi mpangiwe kazi nyingine, hata kwenda kufundisha VETA huko Katavi hazina walimu.

Mungu ibariki simba ishinde 2-0.

Wangeenda tu kukodi ndege za Kenya Airways, au hazikodishiki?
 
Kaka kununua Ndege ni tofauti kabisa na kununua gari kwamba ukishakata bima na "fire extinguisher" basi unaingia tu barabarani kwenda popote utakapo. Ndege ni kitu kingine bro!. Kwanza kabisa kabla hujaruhusiwa kutua kwenye viwanja vya wenzetu kuna taratibu nyingi ambazo lazima zipitiwe kufauru vigezo. Kuna maswala ya kuangalia uwezo wa ndege yenyewe, imenunuliwa wapi, uzoefu wa pilotswa nchi na kubwa zaidi na pengine kuhimu kuliko yote ni uzoefu wa shirika lenyewe la ndge kurusha ndege sehemu mbali mbali duniani (Hapo ndio tunakwama).Hata hivyo pamoja na kufauru vigezo vyoote lazima uwekwe kwenye mda wa uangalizi usiopunguwa miaka kadhaa kuangalia uwezo wa shirika lenu la ndege na menginevyo jinsi mtakavyoweza kuingia nchi za watu kwa usalama. Hii ni kutokana na tahadhari kubwa kutokana na aina ya usifiri wenyewe Sasa ni bahati mbaya sisi tulikurupuka kununua ndege mpya bila kufuata ushauri wa wataalam na waliotoa maaumzi aidha kwa kutokuwa na "exposure" au kwa makusudi walikurupuka kununua wakidhani wananunua magari ndio maana dream liner letu linaozea pale airport.
I.eongea vitu vya kusikia tu au kwa hisia zako kumbe siyo hivyo.

Mkuu document za ICAO na IATA zipo kibao huko mitandaoni kasome uujue ukweli.
 
wameamua kulipa nauli, wewe hupendi?

MATAGA kila kitu mpo negative tu.
Kaka hapa tunaongelea kuhusu Mchezo wa Mpira (Simba FC) na Kampuni ya ATCL na sio Siasa. Hebu tutumie weledi katika kujenga hoja na pia tuwe realistic. Iko hivi;

Mosi; kupitia kichwa cha habari binafsi niliweza kubaini lengo la Muandishi. Hebu tizama hapa, "Bombardier na Boieng ZIMEPAKI wakati Simba wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airlines. Kuna Ukweli hapa, la hasha! Ndege zetu hazijapaki, zinaendelea kutoa huduma ndani na nje ya nchi. Je Simba wamezuiwa KUTUMIA Bombardier/Boing za ATCL?

Pili, umeishutumu Kampuni ya ATCL na baadhi ya Watumishi wake hususan Kitengo cha Masoko "without any facts". Kiuhalisia, ulipaswa kufanya uchambuzi/utafiti kubaini sababu zilizopelekea kushindwa kufikiwa kwa makubaliano ya Kibiashara kati ya ATCL na Simba. Aidha, ungekuwa ktk mazingira mazuri ya kuilaumu ATCL endapo umebaini kwamba, Watumishi wake wametumia UTASHI Binafsi kukwamisha Klabu ya Simba kukodi ndege husika.

Tatu, hata mimi pasipo kunifahamu unanituhumu kuwa ni MATAGA simply kwa kuwa nimechallenge hoja yako!! Kwa kuwa tulikuwa tunazungumzia mchezo wa Mpira, nilidhani, Busara/Hekima ingekuongoza kunituhumu kwamba mimi ni Mshabiki wa Yanga(Mpinzani mkubwa wa Simba), Hata hivyo, kwa kuwa; lengo la awali la Post lilikuwa na Siasa ndani yake, Nimekuelewa vema.

Cheers.
 
Bombadier haina uwezo wakufly Tz to Lagos ila BOEING 787-8 ambayo inabeba watu zaid ya 200 imebebe watu 20 kwenda Lagos mtalipishwa bei gan?
Kwani zile Airbus mbili si zipo na zilinunuliwa kwa ajili ya regional route
 
Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS.

Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga mpaka Ethiopia, {kuna mapigano kati ya Serikali ya Abey na wanyonge wa Tigrey] na hapo Ethiopia simba watalala na kuondoke kwenda Aabuja Nigeria siku inayofuata kwa ndege ya ETHIOPIA AIRLINE.

Wakati Tanzania tukijigamba kuwa na ndege inayotoka DAr mpaka Mumbai bila kutua hata kituo kimoja imeshindwaje kuwakodishia simba ndege hiyo waende Nigeria moja kwa moja kupunguza gharama za kuzunguka nchi zaidi ya tatu?

Ukiangalia kwa umakini utagundua ATCL hawana Marketing Managers wala officers, ni waru flani walichomolewa kindugu wakapachikwa hapo lakii hawana strategy yeyote kabisa.

inasemekana Mo-Dewji [Mdosi] alikuwa akiwasilina nao lakini wakadengua na hivyo akaamua kuendelea na maisha yake.

C.EO wa Simba Barbara Gonzalez ambaye pia inasemekana so far ndio "pisi kali kwa Tanzania" alijaribu kuomba ndege kutoka ATCL ikashindikana, siyo kwa msaada, hapana kwa kukodisha.

Nawapongeza wote mliojitahidi kutafuta ATCL na pia maafisa wa ATCL ofisi ku ya Ohio mnakula mshahara na kutembelea magari mazuri lakini hamna mnalofanya, shirika linahitaji overhaul, ninyi mpangiwe kazi nyingine, hata kwenda kufundisha VETA huko Katavi hazina walimu.

Mungu ibariki simba ishinde 2-0.



Mambo mengine ukisikia maisha yanawasha!
 
Back
Top Bottom