Bomoabomoa Kipunguni, Ukonga walipwe haki zao

Bomoabomoa Kipunguni, Ukonga walipwe haki zao

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Habari za jioni

Kumekuwa na tathmini mbalimbali hapa kati kupisha ujenzi wa uwanja mpya wa ndege maeneo ya Kipunguni, Ukonga.

Mwekezaji ametoa mzigo mzuri watu walipwe, kinachoonekana wale wanaopima wamebadili kuwa dili zao.

Hapa kati walipita nyumba kwa nyumba wakati wa kupima na pia wote kashika karatasi anaandika lakini baada ya kupima hakuna sehemu mnasaini kukubaliana kilichoandikwa.

Sasa basi matokeo yake wakachukua namba za watu wakiwaambia Serikali hailipi jengo bali ardhi kama unataka mnamalizana pembeni.

Wamekuja kuletewa cheki wanashangaa wanalia na na machozi.

Wakiomba tuonyesheni mmetulipa kwa njia ipi wanagoma, bahahati kuna waliogomea cheki hawa ndio wanaenda kusaidia wenzao maana baada ya kuanikwa wameomba wamalize kuwapa cheki wote na waanze kuwapimia upya wenye matatizo

Onyo: Kama kuna wanaofikiria watawaondoa kirahisi bila malipo yao wananchi wa Kipunguni wameungana vibaya kwa mara ya kwanza kudai haki zao

Tunaomba Mh Rais/Waziri husika hizi kelele zinazotolewa pelekeni watu wenu wafuatilie kinachoendelea, hao waliopita inaonekana kama wamekosa matumaini wanapoona wananchi wanadai kupatiwa makaratasi mliotumia vigezo vyenu kuwalipa.

Vyema wakapewa haki zao na kuondoka kwa amani

Mungu ibariki Tanzania
 
Habari za jioni

Kumekuwa na tathmini mbalimbali hapa kati kupisha ujenzi wa uwanja mpya wa ndege maeneo ya Kipunguni, Ukonga.

Mwekezaji ametoa mzigo mzuri watu walipwe, kinachoonekana wale wanaopima wamebadili kuwa dili zao.

Hapa kati walipita nyumba kwa nyumba wakati wa kupima na pia wote kashika karatasi anaandika lakini baada ya kupima hakuna sehemu mnasaini kukubaliana kilichoandikwa.

Sasa basi matokeo yake wakachukua namba za watu wakiwaambia Serikali hailipi jengo bali ardhi kama unataka mnamalizana pembeni.

Wamekuja kuletewa cheki wanashangaa wanalia na na machozi.

Wakiomba tuonyesheni mmetulipa kwa njia ipi wanagoma, bahahati kuna waliogomea cheki hawa ndio wanaenda kusaidia wenzao maana baada ya kuanikwa wameomba wamalize kuwapa cheki wote na waanze kuwapimia upya wenye matatizo

Onyo: Kama kuna wanaofikiria watawaondoa kirahisi bila malipo yao wananchi wa kipunguni wameungana vibaya kwa mara ya kwanza kudai haki zao

Tunaomba Mh Rais/Waziri husika hizi kelele zinazotolewa pelekeni watu wenu wafuatilie kinachoendelea, hao waliopita inaonekana kama wamekosa matumaini wanapoona wananchi wanadai kupatiwa makaratasi mliotumia vigezo vyenu kuwalipa.

Vyema wakapewa haki zao na kuondoka kwa amani

Mungu ibariki Tanzania
Wananchi wa kipunguni amkeni
 
Kwanza hakuna kinachoitwa Upanuzi wa Uwanja wa ndege , ni Waarabu wanapewa eneo ili wajenge maduka makubwa , Shpping Malls
 
Kwanza hakuna kinachoitwa Upanuzi wa Uwanja wa ndege , ni Waarabu wanapewa eneo ili wajenge maduka makubwa , Shpping Malls
Kabisaa mkuu na wametoaa.mzigo mrefuu hawa jamaa sijui wanapata.nguvu gan kumpimia.mtu alafu waandiike bila mhusika kuona kilichoandikwa..

mbunge wa ukonga aanze na hili watu wapewe vilivyoandikwa malizaoi wahakiki ... sio kutishiiwaa unajuaa.mki
kataa serkl airudi tena hapa na mtabomolewa sion njia sahihi hawa watu wana familia zaoo sio wahuni wa manzese ..ombiiiiii tusikubali watuaibishee maana wmepanga kwnda kuomba msaada shirika la.makazi la kimataifa hii n aibu
 
Back
Top Bottom