Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Huyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo....
DED hanifa kimbaumbau nimesoma nae, alikuwa nssf leo DED kino
 
Watu wamevunjiwa nyumba Mwanza. Hizo siasa tu ila watu walivunjiwa kama kawaida
Mimi siishi mwanza na niko mbali na mwanza. Haya mambo wewe ndio unaniambia.

No matter what ile haikuwa kauli ya kibinaadamu. Ni ubaguzi wa waziwazi.
 
Wavamizi wazuri na wabaya
Wamefanya tuuze shamba letu chap chap maana kama huna walinzi yan wanavamia mara moja... ingawa wameifanya Mabwe imeendelea hasa ule upande wetu.
 
KATIBA mpya itasimamia sheria ya ardhi ipasavyo na hakutakuwa na simanzi tena kwa wananchi!Bomoa bomoa kiholela itabaki kuwa historia tu!!

TUIMBE KWA PAMOJA WIMBO HUU:-!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya!!
 
Huyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo. Hivyo huyo DED anayesema ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama nikupotezea hilo swala kisiasa.
Ukweli ni kwamba wenye mijengo ya maana iliyokamilika haikuvunjwa, waliovunjiwa ni wale wenye chumba kimoja, viwili na nyumba ambazo hazijakamilika au ambazo siyo kali.

Bomoa bomoa ililenga eneo la NSSF. Ila wazito wanaoishi kwenye eneo hilo na eneo jirani linalopakana na nssf wakaamua kuwaondoa maskini katikati yao ili mji ujengeke (noble neighbour hood)kwa madai kuwa nako ni eneo la serikali(nssf). Kote kulikobomolewa ni maeneo ya uvamizi hivyo hata hao vigogo nao walivamia au kuuziwa na wavamizi ila hawakuguswa
Aiseee....
 
Back
Top Bottom