Bomu la 3 la Nuclear kutumika duniani muda si mrefu

Bomu la 3 la Nuclear kutumika duniani muda si mrefu

Siyo kweli hata kidogo kwani pamoja na kwamba urusi ana mabom mengi ya atomic bado yeye ndiye anaeongoza kuwa na rocket engine nyingi za kusafirishia huo mzigo kwenda target na wakati wapinzani wake hasa USA anategemea kuyabemba kwa kutumia Strategic bombers ambazo anazo nyingi kupita zote zilizopo hapa duniani,
Sasa ktk dunia ya leo ndege hasa strategic bombers si rahisi kupenetrate ktk baadhi ya nchi yaani itasanuliwa huko huko kabla haijaingiza pua yake kwenye nchi husika.
[emoji16][emoji16][emoji16]unaijua nyuklia kweli? Au hata kuisikia?

Hizo process zako za kusafirisha, au uliona kwenye movie?

Nyuklia si hypersonic wala ICBM kwamba utakuwa unayavurumusha tu kama manati. Ikirushwa moja tu na labda ikajibiwa ni dhahama ya kutosha, habari za sijui rocket na nini hazitokuwepo tena, watu hawatokuwa na hamu.

Putin na ukorofi wake wote hadi leo anasota vitani na madude anayo, unadhani hapendi kumaliza game chapchap? Anajua the consequences.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]unaijua nyuklia kweli? Au hata kuisikia?

Hizo process zako za kusafirisha, au uliona kwenye movie?

Nyuklia si hypersonic wala ICBM kwamba utakuwa unayavurumusha tu kama manati. Ikirushwa moja tu na labda ikajibiwa ni dhahama ya kutosha, habari za sijui rocket na nini hazitokuwepo tena, watu hawatokuwa na hamu.

Putin na ukorofi wake wote hadi leo anasota vitani na madude anayo, unadhani hapendi kumaliza game chapchap? Anajua the consequences.

Umeiweka vizuri, pia ikumbukwe kubonyeza vitufe vya kushambulia kwa nyuklia sio suala la rais tu, yeye mwenyewe hatoshi, itabidi majenerali waridhie, na hao wote wanajua consequences, hawapo radhi kuiona nchi yao ikifutwa, na wao wanapenda maisha, wana familia zao na wapendwa, wanaipenda Urusi yao.

Majenerali wengi na Warusi wote kwa sasa wana hasira sana na Putin japo kimya kimya, kaisababishia nchi aibu kubwa ya kupambana na kataifa jirani hapo.
 
Kuwa na mabomu mengi ya nyuklia sio issue, suala kuu ni kwamba yote hayo ni midoli, hauruhusiwi kutumia hata moja, akifanya launch ya moja tu inabidi apigwe kwa mkupuo wa kumzuia asiyatumie yote, kasome doctrine ya MAD.
Launch ya nuclear inakua detected ndani ya dakika chache na atashambuliwa hata kabla kombora la kwanza halijatua.
Nikuulize haya maswali;
1. umesema lauching ya nuclear inakuwa detected dakika chache na nchi husika itapigwa kabla lake halijatua, this is too theoretical sasa hilo litakalokuja litakuwa linatokea wapi na lilianza safari saa ngapi? Hivi unayajua mazingira halisi ya vita? Mfuma wa Patriot wa US (THAAD) ambao kazi yake ni kulinda anga ulishindwa kujilinda hata wenyewe usihadaike na theoretical simulations ukathani ni kweli.

2. Kama unadhani hizo atomic bombs ni midoli haitumiki kwanini mataifa makubwa yanaendelea kuyatengeneza na wakati huohuo ni ghali?

3. Wakati USA anaipiga japan na mabomu ya nulear kulikuwa na docrine inayoruhusu yatumike?
4. Unadhani kwanini kila uchao nchi hasa urusi na marekani wanagharimika kutengeneza underground bunkers?

Labda nikukumbushe kitu magharibi ndiyo walisema duniani kutumike convetional war lakini aliyekuwa mwenyekiti wa maazimio haya US alipozidiwa na japan kwenye convetional war baada ya kuvamiwa kupitia Pearl Harbour akasafirisha nuclear hadi japan sasa nikuulize wewe mfano wewe ni rais wa nchi na una atomic umepigwa hadi karibu na ikulu hautatumia hilo rungu?
 
[emoji16][emoji16][emoji16]unaijua nyuklia kweli? Au hata kuisikia?

Hizo process zako za kusafirisha, au uliona kwenye movie?

Nyuklia si hypersonic wala ICBM kwamba utakuwa unayavurumusha tu kama manati. Ikirushwa moja tu na labda ikajibiwa ni dhahama ya kutosha, habari za sijui rocket na nini hazitokuwepo tena, watu hawatokuwa na hamu.

Putin na ukorofi wake wote hadi leo anasota vitani na madude anayo, unadhani hapendi kumaliza game chapchap? Anajua the consequences.
Yaani MAYWEATHER apiganane na Karim Mandonga halafu Mayweather atumie bastola? Hautakuwa serious ukraine ni mtoto anaefundishwa adabu ya kuheshim wakubwa na nikwambie tu urusi hajaingia vitani bado labda utakuwa huijui vizuri ukitaka kujua vizuri mtafute marehemu Hitler akupe brief.
 
Nikuulize haya maswali;
1. umesema lauching ya nuclear inakuwa detected dakika chache na nchi husika itapigwa kabla lake halijatua, this is too theoretical sasa hilo litakalokuja litakuwa linatokea wapi na lilianza safari saa ngapi? Hivi unayajua mazingira halisi ya vita? Mfuma wa Patriot wa US (THAAD) ambao kazi yake ni kulinda anga ulishindwa kujilinda hata wenyewe usihadaike na theoretical simulations ukathani ni kweli.

2. Kama unadhani hizo atomic bombs ni midoli haitumiki kwanini mataifa makubwa yanaendelea kuyatengeneza na wakati huohuo ni ghali?

3. Wakati USA anaipiga japan na mabomu ya nulear kulikuwa na docrine inayoruhusu yatumike?
4. Unadhani kwanini kila uchao nchi hasa urusi na marekani wanagharimika kutengeneza underground bunkers?

Labda nikukumbushe kitu magharibi ndiyo walisema duniani kutumike convetional war lakini aliyekuwa mwenyekiti wa maazimio haya US alipozidiwa na japan kwenye convetional war baada ya kuvamiwa kupitia Pearl Harbour akasafirisha nuclear hadi japan sasa nikuulize wewe mfano wewe ni rais wa nchi na una atomic umepigwa hadi karibu na ikulu hautatumia hilo rungu?

Umekimbilia kuandika insha ndefu kabla haujasoma na kuelewa nilichoandika, jifunze kusoma ni muhimu sana, pitia sentensi taratibu na kudadavua unachoambiwa, acha mihemko, utakua aina ya watu ambao mkibishana, yeye badala ya kuskliza hoja yako huwa anasubiria umalize aseme yake.

Nimesema launching ya nuclear inakua detected maana kuna mifumo mingi sana ipo angani kwa ajili ya hilo, na kombora la nuclear lina heat signal tofauti sana na ndani ya dakika chache litakua limefahamika trajectory yake na kufuatiliwa, mtihani unakua namna gani ya kulipiga chini.
Doctrine ya MAD ni kwamba ukishambulia kwa nyuklia, kombora lako la kwanza kabla halijapiga au kutua, wenzako nao watakushambulia kwa manyuklia kama yote, hivyo inafanya kumiliki manyuklia inakua kama midoli tu, maana ukithubutu nawe uwe tayari kufutika duniani, jambo ambalo linaweza kufanywa na mataifa yenye uzombi wa kidini kama Iran, ndio maana huwa wanazuiwa sana kumiliki, hao wanaweza kujitoa ufahamu wafe wakafuate mabikira kule kwa sijui mtume mohammad.
 
Umeiweka vizuri, pia ikumbukwe kubonyeza vitufe vya kushambulia kwa nyuklia sio suala la rais tu, yeye mwenyewe hatoshi, itabidi majenerali waridhie, na hao wote wanajua consequences, hawapo radhi kuiona nchi yao ikifutwa, na wao wanapenda maisha, wana familia zao na wapendwa, wanaipenda Urusi yao.

Majenerali wengi na Warusi wote kwa sasa wana hasira sana na Putin japo kimya kimya, kaisababishia nchi aibu kubwa ya kupambana na kataifa jirani hapo.
Wakati marekani anadondosha mabomu ya nuke kule japan zilipigwa sahihi ngapi kuliruhusu? Majenerali wengi wanamchukia putin labda upo sawa sasa kinachowashinda kumtoa ni kitu gani na je huko ukraine wanaopigania upande wa urusi kwanini hao majenerali wasirushe mabomu kremlin ili kumtoa Putin? Hivi ni akili zako au unakopi from US? Unadhani kila linalosemwa na US ni la kweli?
 
Wakati marekani anadondosha mabomu ya nuke kule japan zilipigwa sahihi ngapi kuliruhusu? Majenerali wengi wanamchukia putin labda upo sawa sasa kinachowashinda kumtoa ni kitu gani na je huko ukraine wanaopigania upande wa urusi kwanini hao majenerali wasirushe mabomu kremlin ili kumtoa Putin? Hivi ni akili zako au unakopi from US? Unadhani kila linalosemwa na US ni la kweli?

Tatizo unaandika upupu uliokaririshwa, aidha utakua mvaa kobaz maana ndio huwa wanakaririshana vituko.
Shambulio la atomic bomb dhidi ya Japan ni kitu cha miaka 60 huko nyuma, mifumo mingi ya kiulinzi haikua imebuniwa, ilikua rahisi kwa ndege ya kivita kukatiza inter-continental bila hata kuwa detected, leo hii thubutu, hata kujongea airspace ya mwenzako kwa mbali.

Kilichomo sasa hivi ni kushambulia kwa kombora la mbali na ambalo linakua detected kwa heat signature yake na mkondo au trajectory yake inapigiwa mahesabu ndani ya dakika chache. Sema kama nilitaja hapo awali, ni mtihani sana kupiga chini kombora la nyuklia.

Kuhusu majenerali kutomfanya kitu Putin ni suala la umafia wa klemrin, maana kila mtu anamshuku kila mtu, kama ilivyokua enzi za Hitler, wengi walitaka kumnyofoa ila hapakua na wa kulianzisha, ikabidi wafuate amri za kijinga ambazo zilisababisha anguko la nchi yao na ndio kitu kinaendelea Urusi kwa sasa.

Juzi mzee wa Wagner kalianzisha ila kafanyiwa umafia kwa familia yake ikabidi aachie, na hapo majenerali wakaanza kukamatwa walioshukiwa kuwa naye.
 
Kuwa na mabomu mengi ya nyuklia sio issue, suala kuu ni kwamba yote hayo ni midoli, hauruhusiwi kutumia hata moja, akifanya launch ya moja tu inabidi apigwe kwa mkupuo wa kumzuia asiyatumie yote, kasome doctrine ya MAD.
Launch ya nuclear inakua detected ndani ya dakika chache na atashambuliwa hata kabla kombora la kwanza halijatua.
Hujui hata ulisemalo - sasa kwa akili zako huna habari kwaba kuna makombora/missiles zinazo weza kuwa launched bila ya kupitia angani - adui akajikuta anateketezwa bila ya. kujua kimetokea nini - hupo hupo na ngojera zako - hizo nadharia za kujidanganya eti kuna mataifa yanaweza kujiingiza katika michezo yakutekeleza uwenda wazimu wa mataifa kutekeketezana (M.A.D) for Geopolitical reasons kwa mawazo ya Wamerikani, hivi hawa jamaa walifikiri vitisho hivo vya kiwenda wazimu vya miaka 1980/90 vita watisha nani, Mrusi au. China!!! Wajaribu sasa waone - silaha zao zote zotatowa kiberiti na Mataifa yao kuwa theomuclear waste land.

Jamaa hawa majigambo sana si juzi juzi hapa tuliona dilaha zao zinatiwa kiberiti mfano: Challenger,Leopard,Bradley, HIMARS Ambram ziliponea chupu cthupu kwa kuwa hazikupelekwa front line.
 
Kwa jinsi nchi za ulimwengu unaoitwa wa kwanza zilivyokomaza shingo na kujitoa ufahamu kuhusu mgogoro wa Ulaya mashariki naona sio muda mrefu Dunia itaingia, kwa mara ya pili baada ya miaka mingi, katika matumizi ya silaha ya maangamizi za kiatomiki!

MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA!
Walisema wahenga:

"KAASEKASEKA KAALELALELA!"
Labda Putin apate uchizi ndio atatumia nyuklia
 
Hujui hata ulisemalo - sasa kwa akili zako huna habari kwaba kuna makombora/missiles zinazo weza kuwa launched bila ya kupitia angani - adui akajikuta anateketezwa bila ya. kujua kimetokea nini - hupo hupo na ngojera zako - hizo nadharia za kujidanganya eti kuna mataifa yanaweza kujiingiza katika michezo yakutekeleza uwenda wazimu wa mataifa kutekeketezana (M.A.D) for Geopolitical reasons kwa mawazo ya Wamerikani, hivi hawa jamaa walifikiri vitisho hivo vya kiwenda wazimu vya miaka 1980/90 vita watisha nani, Mrusi au. China!!! Wajaribu sasa waone - silaha zao zote zotatowa kiberiti na Mataifa yao kuwa theomuclear waste land.

Jamaa hawa majigambo sana si juzi juzi hapa tuliona dilaha zao zinatiwa kiberiti mfano: Challenger,Leopard,Bradley, HIMARS Ambram ziliponea chupu cthupu kwa kuwa hazikupelekwa front line.

Sasa ndio umeandika nini mvaa kobaz, huwa nashindwa kusoma hizi insha zako, nimesoma sentensi ya kwanza nikaachia hapo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]unaijua nyuklia kweli? Au hata kuisikia?

Hizo process zako za kusafirisha, au uliona kwenye movie?

Nyuklia si hypersonic wala ICBM kwamba utakuwa unayavurumusha tu kama manati. Ikirushwa moja tu na labda ikajibiwa ni dhahama ya kutosha, habari za sijui rocket na nini hazitokuwepo tena, watu hawatokuwa na hamu.

Putin na ukorofi wake wote hadi leo anasota vitani na madude anayo, unadhani hapendi kumaliza game chapchap? Anajua the consequences.
[emoji23][emoji23][emoji23]
wee kweli ni biya kwani uliambiwa urusi maswla ya vita kayaanza leo watu wanachapana vita tangu enzi na enzi wewe unasema eti anahangaika kumaliza vita ishiii anagalia hapo chini mwamba russia keshazichapa nchi nyingi tuu na wala hajatetereka wala kupoa mpaka leo shenziii..kabisa .[emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji116][emoji116]
Screenshot_20230705-125511.jpg
 
Nadhani nchi nyingi zinaogopana, Putin angepata mlango WA nyuma vita yake na Ukraine ingeisha n vile anajikuta mtu Mwenye msimamo, kwa mtazamo anaonekana anajutia maamuzi yake ya hovyo
Upo sahihi sana
 
Umeiweka vizuri, pia ikumbukwe kubonyeza vitufe vya kushambulia kwa nyuklia sio suala la rais tu, yeye mwenyewe hatoshi, itabidi majenerali waridhie, na hao wote wanajua consequences, hawapo radhi kuiona nchi yao ikifutwa, na wao wanapenda maisha, wana familia zao na wapendwa, wanaipenda Urusi yao.

Majenerali wengi na Warusi wote kwa sasa wana hasira sana na Putin japo kimya kimya, kaisababishia nchi aibu kubwa ya kupambana na kataifa jirani hapo.
Kweli kabisa mkuu, maisha ya warusi kwa sasa hayawezi kubaki vile vile kama awali.
 
Kweli kabisa mkuu, maisha ya warusi kwa sasa hayawezi kubaki vile vile kama awali.

na Ukraine watu wamekuwa wakimbizi uhamishoni je askari Wa Ukraine wanajisikiaje au wanapolazika kuzificha Kwenye mahandaki wakati mwanzo walikuwa wanakula bagac Kwenye open space
 
Kwa jinsi nchi za ulimwengu unaoitwa wa kwanza zilivyokomaza shingo na kujitoa ufahamu kuhusu mgogoro wa Ulaya mashariki naona sio muda mrefu Dunia itaingia, kwa mara ya pili baada ya miaka mingi, katika matumizi ya silaha ya maangamizi za kiatomiki!

MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA!
Walisema wahenga:

"KAASEKASEKA KAALELALELA!"
Sio rahisi
 
Siyo kweli hata kidogo kwani pamoja na kwamba urusi ana mabom mengi ya atomic bado yeye ndiye anaeongoza kuwa na rocket engine nyingi za kusafirishia huo mzigo kwenda target na wakati wapinzani wake hasa USA anategemea kuyabemba kwa kutumia Strategic bombers ambazo anazo nyingi kupita zote zilizopo hapa duniani,
Sasa ktk dunia ya leo ndege hasa strategic bombers si rahisi kupenetrate ktk baadhi ya nchi yaani itasanuliwa huko huko kabla haijaingiza pua yake kwenye nchi husika.
Mkuu kuna sub zina ICBM...Sio lazima yatoke ardhi ya USA.
 
Back
Top Bottom