islander M
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 748
- 2,064
ila yeye urusi anayo mengi kuliko nchi yoyote ....Bomu la Nuclear hana Urusi pekee akilitumia na wenzake wanaweza tumia
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila yeye urusi anayo mengi kuliko nchi yoyote ....Bomu la Nuclear hana Urusi pekee akilitumia na wenzake wanaweza tumia
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji115][emoji115]Nadhani nchi nyingi zinaogopana, Putin angepata mlango WA nyuma vita yake na Ukraine ingeisha n vile anajikuta mtu Mwenye msimamo, kwa mtazamo anaonekana anajutia maamuzi yake ya hovyo
Nadhani nchi nyingi zinaogopana, Putin angepata mlango WA nyuma vita yake na Ukraine ingeisha n vile anajikuta mtu Mwenye msimamo, kwa mtazamo anaonekana anajutia maamuzi yake ya hovyo[/QUOTE[emoji115][emoji115][emoji3][emoji16][emoji23]][emoji23]![]()
Putin Hana ukorofi wowote ndugu,acha kupotosha wasiojua.[emoji16][emoji16][emoji16]unaijua nyuklia kweli? Au hata kuisikia?
Hizo process zako za kusafirisha, au uliona kwenye movie?
Nyuklia si hypersonic wala ICBM kwamba utakuwa unayavurumusha tu kama manati. Ikirushwa moja tu na labda ikajibiwa ni dhahama ya kutosha, habari za sijui rocket na nini hazitokuwepo tena, watu hawatokuwa na hamu.
Putin na ukorofi wake wote hadi leo anasota vitani na madude anayo, unadhani hapendi kumaliza game chapchap? Anajua the consequences.
Sasa kama ni kweli uwaga huna interests ninayo ya comment mimi, why don't you buzz off and get lost,lakini kule tu kushindwa ku-ignore comments na kunifatilia fatliti inaonyrsha unanionaga ni changa moto kwako kwakuwa huwa sikurihusu kuwadanganya members wenzangu kwa kucopy copy highly questionable MSM na tabloid za maghararibi, niyaandikayo mimi uyatoa kichwani kutokana na uzoefu wada mrefu na exposure.Sasa ndio umeandika nini mvaa kobaz, huwa nashindwa kusoma hizi insha zako, nimesoma sentensi ya kwanza nikaachia hapo.
Sasa kama ni kweli uwaga huna interests ninayo ya comment mimi, why don't you buzz off and get lost,lakini kule tu kushindwa ku-ignore comments na kunifatilia fatliti inaonyrsha unanionaga ni changa moto kwako kwakuwa huwa sikurihusu kuwadanganya members wenzangu kwa kucopy copy highly questionable MSM na tabloid za maghararibi, niyaandikayo mimi uyatoa kichwani kutokana na uzoefu wada mrefu na exposure.
Mkuu Russia akipewa nafasi ya kuanza kushambulia kwa nuklia atakuwa amaefanikiwa kuifuta dunia kabla ya hizo nchi nyingine kuifuta! Vita vya nuklia siyo rahisi kutokea kwa sababu it is just a matter of timing!Hilo halipo, ondoa hofu, kushambulia kwa nyuklia ndio kitu Putin hawezi kuthubutu kwa sasa maana anajua taifa lake litafutwa kwenye ramani ya dunia, wacha aendelee tu kulemazwa na hako kataifa jirani hapo.....
Mkuu Russia akipewa nafasi ya kuanza kushambulia kwa nuklia atakuwa amaefanikiwa kuifuta dunia kabla ya hizo nchi nyingine kuifuta! Vita vya nuklia siyo rahisi kutokea kwa sababu it is just a matter of timing!