Bomu liko katika hatua za mwisho lilipuke, Ila Serikali inao uwezo mkubwa wa kulitegua ili lisilipuke

Bomu liko katika hatua za mwisho lilipuke, Ila Serikali inao uwezo mkubwa wa kulitegua ili lisilipuke

K

Tukutane 2025 mtaifahamu kanda ya ziwa
Nusu karne yangu ya kuwa duniani sijawahi kupata kujua wala kuona kama watu wa kanda ya ziwa (Wasukuma, "Wamara" na Wanyamwezi), ni wakabila kama nionavyo sasa hapa JF.
Kwa nini "Lake Zonians" wa JF mmejawa na ujuha mwingi sasa!!??
Hii inafanya tuamini kuwa ninyi (kanda ya ziwa mliopo JF) mlikuwa wanufaika wakuu wa utawala wa mwendazake zaidi ya Watanzania wengine.
Kwa nini msiseme mtawatambua Watanzania "wanyonge" kama kweli aliwapigania hao ambao ndio wengi kuliko kulialia kuwa kanda ya ziwa hivi mara kanda ya ziwa vile!!??
 
Mada imekushinda toka mwanzo.

Badala ya kuiongelea Tanzania unaongelea mtu ambaye amekwishaondoka, na kwamba kwa vile anasemwa kutatokea mabaya?

Mada yako ingejikita kuongelea hawa waliopo, unaowaita serikali wanaoelekea kuiingiza Tanzania katika hiyo hofu uliyoweka ndani ya mada yako.
Mienendo ya hawa watu (watawala walafi) ndiyo itakayosababisha mfarakanyo mkubwa, na siyo swala la kumsema vibaya Magufuli.
Asante mkuu!!
 
Jpm anasemwa kwasababu ya maisha aliyojiamulia eye mwenyewe akiwa hai. Unakumbuka kile kicheko chake cha hiiiiiiiiiiiiiiii wakati akiumiza wenzake ? Ule ulikuwa ni wakati wake wa kutamba ! Unajua familia za aliowaumiza zinajusikiaje huu sasa ni muda wa wengine kusema hiiiiiiiiiiiiiiii kanuni ni moja tu karma kila kipimo unachopimia wengine nawewe utapimiwa.
Kwa hiyo karma indayompata jpm ni ipi?
 
Ukimuuzi mtu au kumkera usimpangie namna ya kureact ...
 
Alikuwa raisi wa kanda ya ziwa? Ficha huu ujinga, kwamba kanda ziwa ndio wenye uchungu sana kuliko Watanzania wengine? Bila kujua unathibitisha tuhuma za muda mrefu hapa kwa marehemu kwamba alipendelea kanda fulani kuliko alivyoipendelea Tanzania.
Subiri kanda ya ziwa Waambiwe ukweli kuhusu kifo cha JPM utaniambia upepo wa kisiasa utakuwaje.
 
Alikuwa raisi wa kanda ya ziwa? Ficha huu ujinga, kwamba kanda ziwa ndio wenye uchungu sana kuliko Watanzania wengine? Bila kujua unathibitisha tuhuma za muda mrefu hapa kwa marehemu kwamba alipendelea kanda fulani kuliko alivyoipendelea Tanzania.
Ndo alikolelewa mkuu!!
 
Hakuna mjadala wowote utafungwa, na hata ikifungwa hapa kuna majukwaa kibao ya kujadili utawala ule wa kidhalimu. Wakati alipokuwa akiumiza watu, kuteka, kuwaua na kunajisi chaguzi za nchi hii mliona ni sawa. Sasa tunaendelea kutoa mrejesho wa utawala ule wa kidhalimu, mnakimbia majibu! Hiyo familia yake waruhusiwe kusema lolote watakalo lakini ukweli mtu wao alikuwa katili na mlevi wa madaraka.

Na huko kanda ya ziwa mnakotaka kujifanya alikuwa na haki miliki watu wataenda, na watapata kura za kishindo kwani kura hupangwa na vyombo vya dola na sio wananchi, na yeye ni muasisi wa uhayawani ule. Sasa vuneni alichopanda, na hili litakuwa fundisho kwa viongozi wengine kutawala kwa mabavu.
Mbona aliemuua Mwangosi, aliemtesa Ulimboka, aliemmwagia tindikali kunenea, alielipua bomu na kuua watu 5 kwenye mkutano wa chadema pale arusha yupo na hamumsemi kwa lolote tena mnamuita ni kipenzi chenu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magu aliwabutua akiwa hai na bado atawabutua akiwa mfu! Na hata uchaguzi wa 2025 utakuwa kati ya ccm & chadema vs pro magu!

Na bado atawabutua sana, si mlimkenulia wenyewe!
 
Acheni ngano na magugu vikue pamoja muda wa mavuno ukifika kika kitu kitajigawa upande wake.

Me naona kila mtu atoe hasira yake vyovyote awezavyo na hata wale wanao mshirikisha Mungu as "katuliza bahari" wote waacheni watoe nyongo 'it's their time'.

Although siku inakuja kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe hakuna cha sijui Magufuri, sijui Nape oooh sijui Jasusi mbobezi nk, kila mtu atajua uzito wa alichobeba!.
 
Sio Chato? Hii inaweza kuwa sababu ya eneo lote kuwa na mahaba mpaka kiasi cha kuwa na hasira ya kifo chake pekee yao mkuu? Kwa maelezo mengi na ushahidi hafifu umekuwa ulitolewa hapa jinsi jpm alivyoleta naendelea kila mahali nchi, kwa nini huoni kwamba wananchi wa kanda zingine nao watapata hasira endapo watajua ukweli wa kifo cha jpm, ukweli ambao kwa maoni yangu upo wazi hata sasa?
Ndo alikolelewa mkuu!!
 
Subiri kanda ya ziwa Waambiwe ukweli kuhusu kifo cha JPM utaniambia upepo wa kisiasa utakuwaje.
Wewe ni zuzu.
Kama kweli kaondolewa, basi itakuwa hao waliomuondoa wamelitendea mema sana Taifa, kwani kwa mujibu wa maandishi yako,JPM alikuwa ni rais wa kanda ya ziwa na si wa Tanzania.
Kwa nini ukweli ukiwekwa wazi nchi nzima upepo wa kisiasa usibadilike iwe ni kanda ya ziwa tu pekee!!??
Mnaandika vitu kwa kutumia makalio hata hamjui inavyowadhalilisha na kumdhalilisha huyo mtu wenu.
 
Sio Chato? Hii inaweza kuwa sababu ya eneo lote kuwa na mahaba mpaka kiasi cha kuwa na hasira ya kifo chake pekee yao mkuu? Kwa maelezo mengi na ushahidi hafifu umekuwa ulitolewa hapa jinsi jpm alivyoleta naendelea kila mahali nchi, kwa nini huoni kwamba wananchi wa kanda zingine nao watapata hasira endapo watajua ukweli wa kifo cha jpm, ukweli ambao kwa maoni yangu upo wazi hata sasa?
Doh!

Na ndiyo maana nikasema! Mengine ni ya kuyaacha tuu, ila mjadara huu usio na faida kwenye nchi yetu ukafungwa basi!

Huu mjadara, unasababisha tusijadili mambo ya mhimu ya nchi yetu!

Unatusahaulisha kumtaja taja hata Raisi wetu wa sasa
 
Alikuwa raisi wa kanda ya ziwa? Ficha huu ujinga, kwamba kanda ziwa ndio wenye uchungu sana kuliko Watanzania wengine? Bila kujua unathibitisha tuhuma za muda mrefu hapa kwa marehemu kwamba alipendelea kanda fulani kuliko alivyoipendelea Tanzania.
Yaani nimeshangaa sana jinsi huyu zoba asivyojua kuwa hili bandiko lake linatuthibitishia ukanda wa JPM.
Mazoba ya JF yanakera kweli.
 
Yaani nimeshangaa sana jinsi huyu zoba asivyojua kuwa hili bandiko lake linatuthibitishia ukanda wa JPM.
Mazoba ya JF yanakera kweli.
Utayafanya nini sasa mkuu!

Hivi unajua na wewe ni mmoja wa hao wajinga unaowasema?

Soma kwanza ulichoandika
 
Anasemwa sana mwalimu Nyerere tena mpaka kuwekewa na makongamano, je mbona kwa miaka yote hii nchi haijalipuka? Kwa nn anaposema jpm tu ndio nchi ilipuke? Hii maana yake ni moja tu, huyu ndio alikuwa tatizo na ameacha tatizo na bila shaka tatizo mojawapo ni wewe mwenyewe mleta mada. Tatizo lako ni ujinga. Jamaa aliwajaza ujinga kiasi kwamba mnahisi ninyi ndio mlikuwa bora na mlifanya bora kuliko wengine wote. Kumbe mliofanya yote nayo ni ujinga tu. Wanapotokea watu kuondoa ujinga wenu kwenye mnakuja na vithread hapa vya kutishia nyau [emoji23]
Ni kweli, matatizo yake yanafahamika kwa sababu yaliwagusa nyinyi wauza unga, mashoga, mafisadi, vyeti feki na wanufaika wa migogo wa wafanyakazi hewa!!

Asiwe tatizo kwa nini mkuu kama aliwapokonya ugali wenu?
 
Tulia ww sukuma gang. Acha tumpe ukweli dhalimu nyie wafuasi wake mkae kwa kutulia. Hiyo 2025 hakuna mtu anajitambua atakwenda kusimama kwenye mstari wa kura kupoteza muda, kwa tume ya kura na katiba hii.
Mbona aliemuua Mwangosi, aliemtesa Ulimboka, aliemmwagia tindikali kunenea, alielipua bomu na kuua watu 5 kwenye mkutano wa chadema pale arusha yupo na hamumsemi kwa lolote tena mnamuita ni kipenzi chenu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magu aliwabutua akiwa hai na bado atawabutua akiwa mfu! Na hata uchaguzi wa 2025 utakuwa kati ya ccm & chadema vs pro magu!

Na bado atawabutua sana, si mlimkenulia wenyewe
 
JPM aliumiza wachache Ili kuponywa mamilion ya watu.
Katika masikio yangu,watu wanaosema huyo kiumbe vibaya ni wengi sana. Jamaa alikuwa na roho mbaya Sana kuliko Yuda Iskari Yote na kilichomchonganisha na watu ni mdomo ulikuwa hauna break.

Mbaya zaidi maaskari aliowapa uhuru wa kupiga raia. Hasira na wapambe wake ndiyo walimponza.

Badala ya kuendesha nchi kwa katiba anaendesha nchi kwa mashairi ya nyimbo za akina Diamond.

CCM mbele kwa mbele!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom