Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
pumbbavuAnasemwa Baba wa taifa sembuse JPM hivi sukuma gang ni lini mtaacha ujinga
Kama unauchungu nenda Chato kuhani kaburi lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pumbbavuAnasemwa Baba wa taifa sembuse JPM hivi sukuma gang ni lini mtaacha ujinga
Kama unauchungu nenda Chato kuhani kaburi lake.
Kwahiyo mmeamua kugunga legasi ya hayati?Umeongea la maana sana japo wapo wengine watakuponda sioni mantiki ya kuendelea na mjadala huu lakini kwanza waonywe viongozi wakuu wao kila siku lazima wamponde JPM ili wasikike kumbe ndio wanajiharibia hata 2025 itakuwa heka heka
Mbona wanaomsema ni ccm hao haoUmeongea la maana sana japo wapo wengine watakuponda sioni mantiki ya kuendelea na mjadala huu lakini kwanza waonywe viongozi wakuu wao kila siku lazima wamponde JPM ili wasikike kumbe ndio wanajiharibia hata 2025 itakuwa heka heka
Tangu kuondokewa kwa aliyekuwa Amiri Jeshi na Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh JPM
Mitandaoni kote hakujawahi kutulia, nilidhani labda kwa kuwa nchi yetu haijawahi kukumbwa na kadhia hiyo ya Rais kufa akiwa madarakani, ndiyo maana kila mtu anajaribu kuongea lakwake, na kifo chake, wengi hawakuamini, kwa sababu ilikuwa ni ghafla mno
Lakini kwa kuwa mwenye kuamua mtu awe hai au hapana ni Mungu na Siri hizo anazo yeye peke yake, Watanzania tulilipokea, ingawa kwa huzuni na majonzi makubwa, na kifo chake na kuagwa kwake, kulionyesha kuwa ni mtu aliyekuwa ameshiba mioyoni mwa watu!
Nilijipa matazamio kwamba, kwa muda angalau wa nusu Mwaka, tungeliweza kusahau na maisha yakaendelea, lakini ninachokiona kuwa itatuchukua muda mrefu mno na hata kutufikisha sehemu si salama ni hii mijadara inayoendelea kila uchwao mitandaoni
Mijadala hii ina pande mbili, kuna wale wanaompondea kwa sana na kumsema kwa ubaya na dhihaka kubwa licha ya kwamba nao pia ni binadamu wale wale waliokwenye mawindo ya aliyewaumba na kwa muda wowote aweza kuwachukua, lakini madai yao ni kwamba waliumizwa mno na utawala wake kiasi kwamba hawataki wanyamaze, hili najiuliza, Je, ipo faida wanapata wakimsema?
Lakini kundi la pili ambalo haliamini hivyo kama wale wa kundi la mashambulizi kudai kwamba waliumizwa, wao wanaona aliyekuwa kipenzi chao kwa nini anasemwa vibaya licha ya kwamba hayuko ktk dunia hii na wanataka wasahau angalau kuangalia maisha mengine, ila kunapotokea mmoja akimsema vibaya JPM, mioyo yao inaumia, na wanaamini kiongozi wao alifanya mengi mno mazuri na aliwagusa maisha yao
Na ukifuatilia mjadara unaoendelea sasa, utagumdua kuwa, kuna waka moto ktk mioyo ya makundi haya!!
Ni ombi langu kwa Serikali, mjadara kumhusu JPM ufungwe rasimi, utazaa mengine mabaya zaidi na nchi yetu itaingia kwenye historia mbaya zaidi,
Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari,
Tumefika mbali sasa kwa dalili hizi, kwamba mtu Fulani asionekane kanda Fulani??
Chonde chonde, Serikali inaouwezo wa kuzuia Bomu hili lisilipuke
Kwa nini tunagawanyika kwa sababu tuu ya kilichoamliwa na mmiliki wa watu wote..?
DuuhAnasemwa sana mwalimu Nyerere tena mpaka kuwekewa na makongamano, je mbona kwa miaka yote hii nchi haijalipuka? Kwa nn anaposema jpm tu ndio nchi ilipuke?
Hii maana yake ni moja tu, huyu ndio alikuwa tatizo na ameacha tatizo na bila shaka tatizo mojawapo ni wewe mwenyewe mleta mada.
Tatizo lako ni ujinga. Jamaa aliwajaza ujinga kiasi kwamba mnahisi ninyi ndio mlikuwa bora na mlifanya bora kuliko wengine wote.
Kumbe mliofanya yote nayo ni ujinga tu. Wanapotokea watu kuondoa ujinga wenu kwenye mnakuja na vithread hapa vya kutishia nyau [emoji23]
Wewe ni mchochezi,bora umepigwa ban.Ikiruhusiwa hii mkuu, halitaisha tu kwa amani,!
Waliofanya kama ni kweli, Mungu atakutana nao tuu!!
Serikali ilisemee tu ili kusiwepo tena mjadara wowote unaohusu JPM
Hivi ukiulizwa ushawai kumuona marehemu akimuua mtu utajibu?Mke wa Ben saa nane na azory gwanda nawengine wengi wanataka kujua ilipo miili ya ndugu zao au unadhani Ben na wenzake waliopotea walikuwa wanatumia gesi mwilini na sio damu? JPM kabla hajampiga risasi lissu aliongea kwa dharau sana eti this is government khaaaaaa mzee yule au mnadhani damu ya lissu ni ya mercury.
Tumeishalishwa uongo wa kutosha kuwa aliuwawa lakini tulio wengi hatudanganyiki na matango-pori ya wanufaika wa mfumo mbovu wa ubaguzi na ulaghai aliokuwa anauimarisha Magufuri!Subiri kanda ya ziwa Waambiwe ukweli kuhusu kifo cha JPM utaniambia upepo wa kisiasa utakuwaje.
Tena kwa taharifa yako, mjane wa magufuli kanenepa sana, kawa shavu dodo.Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari, ,Tunaomba kauli ya familia ya JPM iruhusiwe kusema au kutoa kauli ya kilichompata JPM?
Hushangai JPM alikuwa na mke na Watoto saba Hakuna alipewa hi kusikilizwa kuhusu kufa cha mume au baba yao?
Mke wa Magufuli alikuwa na kazi gani kama mke kama hawezi kusema yaliyomsibu mume wake hadi akafa ghafla.?
Wapendwa wa akina saa8, azory, kangoye, lissu nao wakae kimya???Ikiruhusiwa hii mkuu, halitaisha tu kwa amani,!
Waliofanya kama ni kweli, Mungu atakutana nao tuu!!
Serikali ilisemee tu ili kusiwepo tena mjadara wowote unaohusu JPM
Na hasara pia hamna pale unapomsema dictator JPMKuna faida unapata ukisha msema??
Tangu kuondokewa kwa aliyekuwa Amiri Jeshi na Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh JPM
Mitandaoni kote hakujawahi kutulia, nilidhani labda kwa kuwa nchi yetu haijawahi kukumbwa na kadhia hiyo ya Rais kufa akiwa madarakani, ndiyo maana kila mtu anajaribu kuongea lakwake, na kifo chake, wengi hawakuamini, kwa sababu ilikuwa ni ghafla mno
Lakini kwa kuwa mwenye kuamua mtu awe hai au hapana ni Mungu na Siri hizo anazo yeye peke yake, Watanzania tulilipokea, ingawa kwa huzuni na majonzi makubwa, na kifo chake na kuagwa kwake, kulionyesha kuwa ni mtu aliyekuwa ameshiba mioyoni mwa watu!
Nilijipa matazamio kwamba, kwa muda angalau wa nusu Mwaka, tungeliweza kusahau na maisha yakaendelea, lakini ninachokiona kuwa itatuchukua muda mrefu mno na hata kutufikisha sehemu si salama ni hii mijadara inayoendelea kila uchwao mitandaoni
Mijadala hii ina pande mbili, kuna wale wanaompondea kwa sana na kumsema kwa ubaya na dhihaka kubwa licha ya kwamba nao pia ni binadamu wale wale waliokwenye mawindo ya aliyewaumba na kwa muda wowote aweza kuwachukua, lakini madai yao ni kwamba waliumizwa mno na utawala wake kiasi kwamba hawataki wanyamaze, hili najiuliza, Je, ipo faida wanapata wakimsema?
Lakini kundi la pili ambalo haliamini hivyo kama wale wa kundi la mashambulizi kudai kwamba waliumizwa, wao wanaona aliyekuwa kipenzi chao kwa nini anasemwa vibaya licha ya kwamba hayuko ktk dunia hii na wanataka wasahau angalau kuangalia maisha mengine, ila kunapotokea mmoja akimsema vibaya JPM, mioyo yao inaumia, na wanaamini kiongozi wao alifanya mengi mno mazuri na aliwagusa maisha yao
Na ukifuatilia mjadara unaoendelea sasa, utagumdua kuwa, kuna waka moto ktk mioyo ya makundi haya!!
Ni ombi langu kwa Serikali, mjadara kumhusu JPM ufungwe rasimi, utazaa mengine mabaya zaidi na nchi yetu itaingia kwenye historia mbaya zaidi,
Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari,
Tumefika mbali sasa kwa dalili hizi, kwamba mtu Fulani asionekane kanda Fulani??
Chonde chonde, Serikali inaouwezo wa kuzuia Bomu hili lisilipuke
Kwa nini tunagawanyika kwa sababu tuu ya kilichoamliwa na mmiliki wa watu wote..?
Mbowe ana husika kwa asilimia 100 kuhusu huyo ben ndiyo maana uwasikii siku hizi wakitaka kujua alipo licha ya JPM KUWA HAYUPO TENA.Nasisi ndugu wa ben saanane unataka tunyamaze? Hebu tupishe mungu apewe sifa kwa kumuondoa replica ya nduli.
Sasa inakuwaje nyie wanyonge wengi mnashindwa na wapigaji wachache?Ni washenzi wachache wapigaji, ambao walizoea kula na kunywa vya wanyonge wengi wanajificha kumtukana JPM kuficha uovu wao. Ni washenzi hii nchi sio ya baba zao.. nao watakufa hakuna atakayebaki duniani
Jk alishaacha uongozi miaka mingi iliyopita akiwa amewasaidia wanajf kibao ajira, elimu na uhuru wa kuongea lakini ndiye raisi anayeongoza kusemwa, kukashifiwa na kuzushiwa; kuanzia yeye mwenyewe hadi familia yake. Kiufupi sijaona raisi aliyependa watu km jk lkn pia sijaona raisi asiyepewa heshima yake (anayechukiwa) kama jk na chuki ilizidishwa dhidi yake kuanzia awamu ya tano maana mwenye nchi mwenyewe alikuwa Kinara wa kumkandia jk.......ghafla bin vuu, taifa zima (la wanyonge) likaanza kucheza wimbo huo na wanyonge hawa hawajaacha kucheza wimbo huo mpaka leo, tena wamejiongeza kwa kumsukumia hadi tuhuma za vifo. Wimbo unaendelea kumuandama hadi mama na wateule wake, kila kitamkwa kinachotoka kwao basi HULAZIMISHWA tafsiri fulani iliyo hasi dhidi ya marehemu; akimsifia jpm wanyonge wanamwita mnafiki anayejikosha, akitoa mapungufu kidogo km yeye alivyokuwa akiyatoa ya wenzake basi wanyonge hupiga kelele kuwa hampendi na kazi yake kumnanga tu.mjadala unafungwaje wakati wako watu wanaomkebehi marehemu kiasi kwamba unasikia hasira ya kujitoa mhanga kama yule aliyeua wanafunzi 19 america.Yani mtu anasema ati MWENYEZI MUNGU AMEAMUA UGOMVI ,MARA YULE JAMAA ALIKUWA MRUNDI ,MARA ALIKUWA MHUTU ,MARA ALIUA WATU WENGI ( ushahidi hawana ) .let us be honest ,kama watanzania wangepewa hata muda wa kumuombea wakati anaumwa haya yasingetokea.mtu mwenye dhamana kubwa katika nchi hii anapodhihaki marehemu tujaiuliza kulikoni na kwa nini haya.Hayati JPM alishalala lakini kuna watu wanamuamsha kila siku kwa dhihaka zao.na nikwambia tu ukweli ni kwamba iko siku wataropoka makubwa mpaka watu wataachwa midomo wazi.
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji....Serikali ipi ilisemee ? Serikali nzima iko upande wa kundi lisilompenda ma kumnenea mabaya JPM .kama serikali ingependa huu mjadala usingekuwepo. Mara ngapi kiongizi mkuu anatoa maneno ya ukakasi kuhusu JPM? Anaowaita vijana wake ndo kutwa wanamsimanga nae kimya. Kumaliza utata wairuhusu familia itueleze kilichompata JPM wetu.
Kama angeondoka na hawa chawa wakafunga madomo yao walau tungekuwa tunafarijika. Kifo utata + masimango ya mtu aliyewapenda watu wake unategemea hii serikali inapanda nini kwenye jamii. Watoke kwa wananchi wamsimange na kuomba kura tuwaone kama ni majemadari .