T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Leta hiyo link ya gazeti la Marekani lilipodai limeona mabaki ya bomuNaona unaleta fikra zako watu wameona mabaki ya bomu na gazeti la Marekani wameandika wewe upo kimara suka unapinga umefika eneo la hospital ukaona kilichotokea.
Jeshi la anga la Israel limesema kuwa limerusha mabomu 6,000 huko Gaza.
Nokuulize hayo maeneo yote umeona uharibufu wake acha ushabiki mandazi.
Napenda Sana unavyoelezea mambo. Ukiacha kupiga punyeto utafika mbali.Wewe huijui Mk-84 ndio bomu linalotumika sana na Israel na halichomi moto bali mlipuko wa kupasua na kuvunja. Mk-84 inaacha crater na kubomoa. Majengo karibia yote yaliyoporomoka hapo Gaza ni Mk-84 imehusika.
Hapo hospitalini video ya Aljazeera na video nyingine za CCTV zinaonyesha makumi ya maroketi yakirushwa in background, angani roketi moja linatoa moto na kudondoka, bright flash kubwa inatokea hospital na moto unawaka. Na hakuna crater yoyote pale.
It's very likely ni fuel ya rocket imewasha ule moto mkali. Mk-84 inafanya kama hivi
View: https://twitter.com/clashreport/status/1712086195620954592?t=FzHT1BUek7R1ZJltsjpGUw&s=19
Leta hiyo link ya gazeti la Marekani lilipodai limeona mabaki ya bomu
Kulikuwa na PLO ya Abu Ammar.HAMAS ina miaka 30 tu tangu ianzishwe, na kabla ya HAMAS haijakuwepo Israel ilikuwa inawafanyia Wapalestina mambo hayahaya.
HAMAS isitumike kama kisingizio cha udhalimu.
Hii ndio Wallstreet Journal? Ina mana WSJ wakiandika kitu hawaandiki kwao, wanalipa jarida uchwara mtandaoni liwaandikie?American Wall Street Journal Confirms That The Bomb Dropped On The Al Ahli Arab Baptist Hospital In GAZA Was An American MK-84 | KossyDerrickent
Information reaching Kossyderrickent has it that American Wall Street Journal confirms that the bomb dropped on the Al Ahli Arab Baptist Hospital in GAZA waswww.google.com
KawateteeHAMAS ina miaka 30 tu tangu ianzishwe, na kabla ya HAMAS haijakuwepo Israel ilikuwa inawafanyia Wapalestina mambo hayahaya.
HAMAS isitumike kama kisingizio cha udhalimu.
Mungu hayupo.Hii dunia kuna wakati kuna matukio yanahuzunisha sana,why killing of innocent people?tunagombania nini?,pesa au mali au ardhi?ndio maana watu wanasema binadamu ni kiumbe hatari sana kuliko kitu kingine chochote,tunasahau kuwa mwisho wa siku tutaacha kila kitu hapa duniani,tunajimaliza wenyewe kwa upumbavu wetu wenyewe,narejea maandiko ya Mungu,Hosea 4:6."Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako"....
Chukua hiiHii ndio Wallstreet Journal? Ina mana WSJ wakiandika kitu hawaandiki kwao, wanalipa jarida uchwara mtandaoni liwaandikie?
Leta link ya WSJ wakisema kwamba wameona ni bomu. Hizi ni porojo umezitoa sijui kossyderrickent.com
Kuna watu wengine ndugu hata nguruwe anafahamu huyo dogo hajui Israel ndio itaingusha America, si vile America wanategemea eti kama haipo Israel tungeteneza Israel kwa faida yetu hayo maneno aliongea Biden zamani😂Una umri gani? Uwafahamu Wapestina wewe.
mwisho wa Hamas ushafika - islael watakula nao sahani moja mwanzo mwisho.Hamas ndio waliolipua hiyo hospital 🤔
.....
Gaza hospital strike 'done by other team', says Biden tells Netanyahu during Israel trip
Biden, during his visit to Israel in a demonstration of solidarity, supported the Jewish nation's assertion that Palestinian militants were responsible for a shocking hospital strike in Gaza. He also said that Hamas has been a source of "only suffering."www.wionews.com
Ni mjinga tu anayeweza kusema hamas anahusika kwa sababu kila kitu kipo wazi.Hamas ndio waliolipua hiyo hospital [emoji848]
.....
Gaza hospital strike 'done by other team', says Biden tells Netanyahu during Israel trip
Biden, during his visit to Israel in a demonstration of solidarity, supported the Jewish nation's assertion that Palestinian militants were responsible for a shocking hospital strike in Gaza. He also said that Hamas has been a source of "only suffering."www.wionews.com
Baada ya kipigo hiki, watakuwa watoto wazuri.HAMAS ina miaka 30 tu tangu ianzishwe, na kabla ya HAMAS haijakuwepo Israel ilikuwa inawafanyia Wapalestina mambo hayahaya.
HAMAS isitumike kama kisingizio cha udhalimu.
Lazima itumike maana wao ndio walianza kushambulia IsraelHAMAS ina miaka 30 tu tangu ianzishwe, na kabla ya HAMAS haijakuwepo Israel ilikuwa inawafanyia Wapalestina mambo hayahaya.
HAMAS isitumike kama kisingizio cha udhalimu.