kwa kweli hiki kisago si cha kawada - Israel si wa kuwachoza, hii itakuwa ni fundisho kwa wengine.Lazima itumike maana wao ndio walianza kushambulia Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kweli hiki kisago si cha kawada - Israel si wa kuwachoza, hii itakuwa ni fundisho kwa wengine.Lazima itumike maana wao ndio walianza kushambulia Israel
allah ameagiza muitane Kwa majina ya baba! Kwa nini unamuita Kwa jina la mama Yake??Wewe unadhani ndo mwisho?
Mpaka mtoto wa mariam arudi.aje awahukumu
1. Kwahiyo na wewe umeenda mpk Israel ukajua km kuna vita kati ya Israel na Gaza?Ritz mara hii umeshaenda Gaza umeshatathimini scale of destruction na umeshakusanya zako mabaki ya roketi na umeshapata jibu ni bomu la aina gani teyari.
Hakuna vita kati ya Israel na Palestina.Air strike lazima lazima inches crater( shimo)
Na wangepiga mengi tu hata huko waliko watu wengine, kwasababu ni uchokozi wa hali ya juu kwenda kwenye tamasha la muziki kwenda kuua watu bila sababu.Sawa tu ila Hamas hawatarudia kujichomoa akili tena for centuries
Two incomparable scenarios, hii scenario inahitaji specialist na muda pia kung'amua na kuleta majibu ya uhakika bila kuleta bias upande wowote na sio wewe upigiwe simu na mpalestina akiwa kwenye tukio akwambie ni bomu fulani. Hiyo 1, 2 na 3 yako haioani kabisa na scenario husika.1. Kwahiyo na wewe umeenda mpk Israel ukajua km kuna vita kati ya Israel na Gaza?
2. Ukajua km kuna waisrael wameuwawa na wapelestina?
3. Ukafika na kujua kuwa kuna kundi la HAMAS?
Inashangaza
Israeli waonyesha video kama ushahidi kwamba hawahusiki na ulipuaji wa hospital 🤔Ni mjinga tu anayeweza kusema hamas anahusika kwa sababu kila kitu kipo wazi.
Baba yake issa unamjua?allah ameagiza muitane Kwa majina ya baba! Kwa nini unamuita Kwa jina la mama Yake??
[emoji116][emoji116]
ادْعُوهُمْ لِآبَائِهِمْ هُوَ أَقْسَطُ عِندَ اللَّهِ ۚ فَإِن لَّمْ تَعْلَمُوا آبَاءَهُمْ فَإِخْوَانُكُمْ فِي الدِّينِ وَمَوَالِيكُمْ ۚ وَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ فِيمَا أَخْطَأْتُم بِهِ وَلَـٰكِن مَّا تَعَمَّدَتْ قُلُوبُكُمْ ۚ وَكَانَ اللَّهُ غَفُورًا رَّحِيمًا
[ AL-AH'ZAB - 5 ]
Waiteni kwa baba zao, maana huo ndio uadilifu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ikiwa hamwajui baba zao, basi ni ndugu zenu katika Dini, na rafiki zenu. Wala si lawama juu yenu kwa mlivyo kosea. Lakini ipo lawama katika yale ziliyo fanya nyoyo zenu kwa makusudi. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Na wewe hutumii akili kujua kwanza kila evidence wanayotoa Israel ni uongo? wanajaribu kujitetea lakini ukweli unajulikana na silaha zilizotumika zimetoka kwa mabwana zao na ndege ilionekana Kabla ya shambulio.Israeli waonyesha video kama ushahidi kwamba hawahusiki na ulipuaji wa hospital [emoji848]
.....
![]()
IDF releases drone footage showing that parking lot took most of blast damage, hospital fully standing
* * *www.timesofisrael.com
Mungu hawezi kubariki wauaji,mashoga Nk.tumieni akili.Mungu ibariki Israel
Magaidi ninyi wapigania Allah mnaweza fanya lolote. TakbirrrrNi mjinga tu anayeweza kusema hamas anahusika kwa sababu kila kitu kipo wazi.
Tatizo. Watoto wadogo mmevamia mitandao, kwa taarifa yako wapalestina walishazoea vifo, mambo hayo wameanza kufanyiwa miaka mingi sana nafkiri hata baba alikua hajzaliwaSawa tu ila Hamas hawatarudia kujichomoa akili tena for centuries
Nimelaani uchokozi wa Hamas umesababishia watoto maafa....Huruma ya mamba?
Umelaani mauwaji?
Ndiyo unafik wenyewe huo, unamlaani aliyeingiliwa kwao siyo mwizi aliyemuingilia.Nimelaani uchokozi wa Hamas umesababishia watoto maafa....